Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Mmh!!!Ila matajiri wa bongo bwana.
wamekuwa motivational speakers kuliko uhalisia.
Tajiri wa kitanzania na mmiliki wa mabasi ya Super feo anasema yeye alianza na mtaji wa elfu 20 tu na sasa anamiliki mabasi mengiView attachment 3072830
1993/1994 kwenye hiyo habari amesema alianza miaka 30 ilipitaMwaka gani hiyo 20,000
Muongo huyo1993/1994 kwenye hiyo habari amesema alianza miaka 30 ilipita
Ni king Musukuma tu ndiye aaminiwe katika hilo.Utajiri ni siri ya mtu, hakuna anaesema ukweli kwenye hilo.
Matajiri wengi wamepiga sana dili haramu.
Biashara inalipa sana hakuna uchawi hasa ukiwa mtu wa kwanza kuanzisha fursa FulaniUtajiri ni siri ya mtu, hakuna anaesema ukweli kwenye hilo.
Matajiri wengi wamepiga sana dili haramu.
Sikupingi ila walio wengi dili haramu.Biashara inalipa sana hakuna uchawi hasa ukiwa mtu wa kwanza kuanzisha fursa Fulani
Kwanini?Ni king Musukuma tu ndiye aaminiwe katika hilo.
Haukumsikia Dokita Musukuma alivyojieleza kuhusu utajiri wake.Mabonitauni wanasema "amehaso" sana.Kwanini?
Kwa hiyo ukimtaja huyo wa Mwanza utafukuzwa kaziUsimpinge mkuu. Inaweza kuwa shilingi elfu ishirini ya miaka ya 80 au 90. Jana kuna mzee nilikuwa napiga nae story, akaniambia kuna tajiri mmoja anamfahamu, alianza kazi kama mlinzi wa kiwanda, miaka hiyo. Baadae akaanza kuvua samaki, akaanza na mtumbwi mmoja, then miwili, mitatu....mpaka akawa na fleet ya mitumbwi. Anasema kipindi viwanda vya samaki vinaingia Mwanza huyo jamaa alishakuwa supplier mzuri wa sangara viwandani. Kwa maelezo ya mzee, huyo jamaa kwa sasa anaweza kuwa hata na trillion in cash, nyumba zaidi ya 130 na asset moja kubwa ambayo nikiitaja inaweza ku-reveal ID yake. Lakini pia nilisikia na yule mwenye malori na vituo vya mafuta wa Tunduma mwenye jina linalofanania na kiungo pendwa kwenye mboga 🍅 🍅, nae alianzaga na matenga kadhaa........ Ninachotaka kusema hapa, IT IS VERY POSSIBLE.