Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh mkuu umeongeza Single Mama duniani? Acha hizo basi mwenzako muokoe mbona kumtomba umwmpa mimba? Maana yake unampenda. Kumbuka anakuwa na presha kuwa na mimba huku hajaoleea. Jaribu kuangalia pia ujiweke kwenye viatu vyake.Mkuu umeongea jambo ambalo ndio linalonitokea sasa. Yaani imefika kipindi nikiona call yake tu nachukia. Akitext namjibu muda ambao nitaona unafaa.
Nishajaribu kumrekebisha lakini baada ya siku mbili anarudi kulekule alafu mbaya zaidi ana kiburi flani hivi na vitisho vyakisen.ge kise.n.ge. kisa amebeba ujauzito and in no time from now atajifungua. Nishamwambia kwajinsi ulivyo sahau mimi kukuoa wewe, nitabaki kulea tu huyo mtoto.
HeheheNa akiwa singo maza ndio kabisa anazidi kuchanganyikiwa
Soko lao ni gumu sana
Wanatombesha sana. Ni kama anabet anajisemea moyoni nikipata jinga jinga la kunioa nitashukuru mkeka utakuwa umetik
HahahaSawa na wabunge wa ccm wanavoteseka 2025 na wananchi wao.
Bora hata Single Mother, kidogo hana pressure sana sababu tayari ana mtoto. Kutana na hicho kitu umri umeenda na hana mtoto. Ni kivurugeAwe na kiu ya ndoa, umri umeenda halafu ni singo maza ndio kabisa anazidi kuchanganyikiwa
Soko lao ni gumu sana hawa wa aina hii
Wanatombesha sana. Ni kama anabet anajisemea moyoni nikipata jinga jinga la kunioa nitashukuru mkeka utakuwa umetik
hahahahahahahahamuda wa kupumzika kutafuta round inayofuata ndio anaanza "utanioa lini?"
Hahahaa huwa ananikera sana ndio timing zake umekuwa kama wimbo wa taifahahahahahahahaha
nimechekaaaa
Nilizani ni mimi tu mzee kitombile nakumbana na hizi hadha za wadada kutaka kuwaoa, kila siku utasikia jamani kito utanitambulisha lini mbona siku zinaenda naona kimya, mara mama angu anataka kuongea na wewe, kama shida ni mahali badi nipo tayari kukuchangia ili mradi unione, mara mimi wazazi hawana shida ni wewe tu.... Mambo ni mengi mda ni mchache tuendelee kuchakata mbususu ili tusisumbue wajukuu zetu uzeeni.Hii kitu ni balaa sana,
Uwe unadate na mwanamke anayehitaji kuolewa kwa muda huo, yule anayeona kama umri unamtupa mkono huwezi enjoy hayo maahusiano ni kero mwanzo mwisho,
Maswali kama, "hivi utanioa kweli?"/ "baby utanioa lini"/ "Mbona huji kujitambulisha kwetu?"/ Mbona hunitambulishi kwenu?" n.k. Hata kama ulikua kuna mambo unaweka sawa kwanza ili umuoe unaweza kughairi tu.
Kunyimwa penzi kwa kuona kama unamchezea ni jambo la kawaida. Ukipewa basi inabidi ujihazari, usipotegeshewa mimba basi utabambikiwa ilimradi apate cha kukushikilia.
Mbaya zaidi unakuta alishatumika balaa, speedmeter inasoma kilometa za kutosha.
Kwa hili wanawake mbadilike mjue tu ukiweka presha kubwa ya kupata kitu ndio unakikosa kabisa.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yanafikirisha haya mamboHuyu ukishamuoa tu na akishaanza kuizoea ndoa. Yule msela wake wa chuo ambae unakuta waliachana kwa visa anaanza kumrudia.
Mume unaonekana bonge la ndezi, na unyumba unaanza kupewa kwa kupimiwa. Kutwa visingizio vya kuumwa. Bladifakeni [emoji34][emoji34][emoji34]
Hii kitu hatari mnooDogo sijazama nae bali hiyo binti anaclaim kuwa ana ujauzito wangu. Nilitembea nae maramoja tu, yeye yupo mkoa mwengine tofauti na mimi nilipo na akiwa na shida namsaidia pamoja na kumpa hela za maandalizi ya kujifungua. Nasubiri mtoto azaliwe nikamuone na kama she has been playing me a fool kwa kunibambikia, sitamfanya chochote ila nitakata misaada na kumpotezea mazima
Kabisa mkuu. Nilishawahi kutana na pisi ya namna hiyo. Nimemzidi kama miaka saba hivi kiumri. Sasa wakati kanaanza chuo, mimi nilikua nimeshamaliza kama miaka miwili nyuma na tayari nipo kazini.Ndivyo inavyokua,yaani yeye anachotaka ni aingie ndani,akishaingia,yeye anaanza kisaka maex ambao alikua anawapenda,ila wao wakamtosa,wakaoa wanawake wengine kwasababu walizoziona wao.Na papara anayoionyesha kwako, uwezekano ni mkubwa akawa anawaonyesha wengine pia,ana-bet,atakayrmuoa ayaaa.
Kula nyabe hiyo ya bure alafu pita kushoto kama huna taarifa nayo.Kabisa mkuu. Nilishawahi kutana na pisi ya namna hiyo. Nimemzidi kama miaka saba hivi kiumri. Sasa wakati kanaanza chuo, mimi nilikua nimeshamaliza kama miaka miwili nyuma na tayari nipo kazini.
Kakanivutia nikakatongoza kakasema hakapo tayari kua katika mahusiano wakati ule. Kumbe kuna classmate wake alikua anadate nae pale chuoni. Wakashawishiana wakatoka hostel wakaenda kupanga mtaani na kuanza maisha. Uzuri namba zake sikiwahi kufuta. Akawa full time anapost status na kumpost chalii na makopa kopa.
To cut the story short kipindi cha miaka mitatu alichokua chuoni alishatoa mimba za yule msela mbili. Chuo wamemaliza mwaka juzi na kila mmoja karudi kwa wazazi na mapenzi yakaishia hapo.
Jamaa kavuta pisi nyingine kaizalisha. Binti presha ya kuolewa imemjaa, na hivi hana kazi anaunga unga tu. Naona ameanza kunichatisha anataka niingie mkenge nimuoe. Baharia namzoom tu!
Soma machangizo yangu mengine utaelewa kwanini nina mashaka na huo ujauzito ingawa ninamlea akiwa huko huko mbali nami.Duuh mkuu umeongeza Single Mama duniani? Acha hizo basi mwenzako muokoe mbona kumtomba umwmpa mimba? Maana yake unampenda. Kumbuka anakuwa na presha kuwa na mimba huku hajaoleea. Jaribu kuangalia pia ujiweke kwenye viatu vyake.
Usije kukosa mke mwema kwa sababu ndogo ndogo tu.
Kula mbususu mkuuJamaa kavuta pisi nyingine kaizalisha. Binti presha ya kuolewa imemjaa, na hivi hana kazi anaunga unga tu. Naona ameanza kunichatisha anataka niingie mkenge nimuoe. Baharia namzoom tu!
Wanawake wa siku hizi hawajui kumvutia mwanaume wa matendo yake,wengi wanaamini uzuri ndio kila kitu.Hii kitu ni balaa sana,
Uwe unadate na mwanamke anayehitaji kuolewa kwa muda huo, yule anayeona kama umri unamtupa mkono huwezi enjoy hayo maahusiano ni kero mwanzo mwisho,
Maswali kama, "hivi utanioa kweli?"/ "baby utanioa lini"/ "Mbona huji kujitambulisha kwetu?"/ Mbona hunitambulishi kwenu?" n.k. Hata kama ulikua kuna mambo unaweka sawa kwanza ili umuoe unaweza kughairi tu.
Kunyimwa penzi kwa kuona kama unamchezea ni jambo la kawaida. Ukipewa basi inabidi ujihazari, usipotegeshewa mimba basi utabambikiwa ilimradi apate cha kukushikilia.
Mbaya zaidi unakuta alishatumika balaa, speedmeter inasoma kilometa za kutosha.
Kwa hili wanawake mbadilike mjue tu ukiweka presha kubwa ya kupata kitu ndio unakikosa kabisa.