Kutoka Singida hadi Dar es Salaam kwa matumaini ya kupata msaada wa elimu

Ameen nekupata mkuu Mungu akubariki πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Nimelibeba lilivyo πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Write your reply...Duuuh mkuu pole sana kwa mapito maana hakika umepitia changamoto nyingi sana japo pia inaonekana una elements za bahati kwa kiasi fulani refer yule baba aliyekupeleka shule na incedent ya kabisani kukutana na aliyekupa connection ya kazi.
Ni wachache wanaweza kuwa na luckyness ya kiwango hicho.
Kuhusu kuoa ushauri wangu kwa kuwa unajitosheleza kwa kila kitu rudi kwa wazee unaowajua na unaowaheshimu wape vigezo vyako unavyovitaka waambie wakitafutie mwanamke.
Mwenyewe inaonekana mpaka hapo zoezi limekuwia gumu. Alafu ukishampata ukaona anakufaa ebu punguza kufatilia mambo mengi sana unaweza jikuta hauoi. Wanawake wa sasa wengi ni changamoto saaaaaaana
 
Ameen mkuu , nauchukua ujumbe huu
 
Pia napishana na mdau aliyesema utafute binti from chuo or underage.
My dear hao nao wanaweza kukupa headache
Refer wimbo wa Lissa.
Ushauri wangu ni kama wa member huyu,

Nyongeza.
Pengine mkuu kutokana na Uwezo wako wa kiuchumi umejikuta unaattract hata wanawake ambao sio.

Kwa nilivyoona baadhi kama sio wote, wanakaa na wewe kwa sababu ya Huduma za kiuchumi unazowapa.

Sikushauri utafute sijui binti ambae yuko chuo, au ambae bado hajajua mambo.
Anaweza kukukubali kwa sababu ya msaada utakao mpa. Lakini baadae akakusumbua sana.
(Ni mara nyingi tumesikia stori kama hizi)

Mwisho Mke mwema anapatikana sehemu yoyote, awe ni mwanachuo, au kamaliza form four tuu, au ana kazi kabisa.
Muhimu ni muombe Mungu(mbona amekusaidia Makubwa, hili hawezi shidwa bana)
 
Ameen, mkuu ahsante sana kwa hili nimelichukua mkuu
 
Bashite mwenyewe alishasimulia alivyochoma mkaa na kuchimba mchanga mbezi louis
 
Haya uliyosimulia tumeyapitia wengi ila tunatofautina kidogo.I wish niongee nawe hata kwa simu nikusimulieeeeee safari yangu mpaka nilipo sasa. Na nilijua kabisa mwisho wa funzo na safari yako ni mambo haya ya Mke(mapenzi).
Sasa brother ni hivi,mimi binafsi nimekutwa na hali ya kusalitiwa juzi tu hapa.Tena kwa mtu niliyeamwamini asilimia 100 na nilijua tayari mke nimepata.Nimemwandaa miaka 4,with all of my respects yule binti nimekuwa naye.Nilikuwa kama wewe yani hakuna kumvua chupi mpaka ndoa kanisani. Sina kipato saaana na sipendi mambo ya masherehe ila kwa yule dada niliamua kumfanyia kila kitu. Nimemsaidia sana katika namna nyingii mpaka amefika hatua nzuri.But amekuja kuvuliwa chupi kirahisi sanaa na jamaa.Nilichokifanya nikamwonesha upendo uleule wiki 1 then nikapotea simtafuti tena mpaka milele. Hapa najua karma ya alichonifanyia itampata tu,ni suala la muda.Nipo nasubiri muda huo.

Ushauri:

Kama ambavyo nimeamua mimi,nawe fanya hivyo.Nimeamua kutulia.Na pindi nitakapompata mtu ninayeona ninaweza ishi naye nampa mimba halafu kitakachofuata kitajulikana mbele. Hawa watu ni wa ajabu sana.Ukisema umpe heshima zote kama ambavyo tumejaribu kufanya anakufanyia kituko unaweza kujinyonga.Mimba kwanza halafu unamsikilizia anasemaje? Hii huwa ni kidhibiti kizuri na hawana ujanja hapo.Anafika mahala anakubaliana na hali na kusonga mbele.Ila et ufuate procedures!ohoooo haichukui muda unakutana na madudu yake hata shetani anamkana.

Ni hayo tu,kila lakher.
 
Ahsante sana mkuu kwa ushauri wako nauchukua πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Umelipasua jipu mujarabu na mubashara.
 
Nimekata nae mkaa tanuru la mwisho na kuagana ni kwembe karibu na Mloganzila
Mimi nikupongeze kwa maisha uliyopitia na ulipofika,story yako imenirudisha katika story ya member mmoja humu kwa jina la Mtoto mdogo Sana ambaye alikuwa chokoraa wa Mwanza.Huyo dogo nilikutana naye akanisimulia kinaga ubaga.Ni maisha yaliyojaa mateso na uvumilivu mwingi.Kuhusu mambo ya mahusiano watakushuri wengine lakini niseme tu,Wanawake ama wasichana wa kileo wengi wameishazoea tendo la ndoa ,na hii inasababishwa na tamaa wakiwa wadogo wanaanza kufanya ili wafanane na akina wema sepetu.Wakipata uhuru kidogo wanaanza kudanga mwisho wa siku wanakuwa addict was ngono.Ukiwa naye halafu hufanyi unasubiri siku ya ndoa,Kwanza anahisi hujakamilika ama una kibamia halafu hapohapo yeye ana kiu,unafikiri itakuwaje? Jibu Ni,atakusaliti ama atakukataa.
 

Ni kweli mkuu wameharibika sana maana mmh hatari Sina la kuelezea sana hapa✍️✍️✍️✍️
 
Ni kweli mkuu wameharibika sana maana mmh hatari Sina la kuelezea sana hapa[emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3578]
Tatizo ni kwamba ndo karibia wote wamekuwa hivyo.Huwa nashangaa Sana nikiwaona Instagram wanatumia nguvu Sana kukata viuno weeee,mpaka unajiuliza,huyu anapata faida gani kwa kufanya hivi?
 
Tatizo ni kwamba ndo karibia wote wamekuwa hivyo.Huwa nashangaa Sana nikiwaona Instagram wanatumia nguvu Sana kukata viuno weeee,mpaka unajiuliza,huyu anapata faida gani kwa kufanya hivi?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwa hiyo Instagram ndio e-commerce yao et πŸ˜‚ πŸ™Œ πŸ™ŒπŸ™Œ Sina mbavu mie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…