Ugumu wangu
JF-Expert Member
- May 6, 2021
- 1,685
- 3,552
- Thread starter
- #121
Inaendelea....
Baada siku nilipokuwa likizo na kuwepo Mwanza ziliisha na nikaondoka kurudi kazini mgodini nikaa mgodini kwa miezi miwili na baadae nikapata ujumbe wa kuitwa dar japo sikuambiwa kuwa ni Nani haswa ananihitaji, niliomba ruhusa kazini kuwa naenda Singida Kuna shida kidogo home niliondoka kwenda Mwanza nikapanda ndege Hadi dar nilifikia Hoteli fulani nikachukua room nikalala.
Usiku huohuo saa 6 nikapigiwa simu namba ile ile ilioniomba kuja dar na kadri ya maelezo ya ujumbe nikaombwa kufika Kunduchi bila kukosa mda huo usiku, Basi niliamka nikatoka na beg langu nikaaga hotelini kuwa kesho Nina safari hivyo ninaetakiwa kusafiria nae ameniomba kwenda nikatafuta usafiri wa tax Hadi Kunduchi, nimefika nikapokelewa sehemu nikaulizwa baadhi ya maswali na swali la mwisho ilikuwa ni Kuna mtu yeyote unaweza kumuaga mda huu nikasema ndio.
Hivyo nilipata wasaa Kama masaa 3 ya kubaki na simu yangu kuaga kazini kwangu na mtu wangu wa karibu na Mambo mengine baadae nikamkabidhi simu yangu mhusika nikapotea.
"Mungu ni wa upendo"
Itaendeleaa.....
Baada siku nilipokuwa likizo na kuwepo Mwanza ziliisha na nikaondoka kurudi kazini mgodini nikaa mgodini kwa miezi miwili na baadae nikapata ujumbe wa kuitwa dar japo sikuambiwa kuwa ni Nani haswa ananihitaji, niliomba ruhusa kazini kuwa naenda Singida Kuna shida kidogo home niliondoka kwenda Mwanza nikapanda ndege Hadi dar nilifikia Hoteli fulani nikachukua room nikalala.
Usiku huohuo saa 6 nikapigiwa simu namba ile ile ilioniomba kuja dar na kadri ya maelezo ya ujumbe nikaombwa kufika Kunduchi bila kukosa mda huo usiku, Basi niliamka nikatoka na beg langu nikaaga hotelini kuwa kesho Nina safari hivyo ninaetakiwa kusafiria nae ameniomba kwenda nikatafuta usafiri wa tax Hadi Kunduchi, nimefika nikapokelewa sehemu nikaulizwa baadhi ya maswali na swali la mwisho ilikuwa ni Kuna mtu yeyote unaweza kumuaga mda huu nikasema ndio.
Hivyo nilipata wasaa Kama masaa 3 ya kubaki na simu yangu kuaga kazini kwangu na mtu wangu wa karibu na Mambo mengine baadae nikamkabidhi simu yangu mhusika nikapotea.
"Mungu ni wa upendo"
Itaendeleaa.....