Mkyamise
JF-Expert Member
- Apr 14, 2014
- 482
- 614
Hongera sana ndugu.Ndio mzee Mtashi alifanyaga Mambo yake now naitumikia nchi yangu mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera sana ndugu.Ndio mzee Mtashi alifanyaga Mambo yake now naitumikia nchi yangu mkuu
Ahsante sana, mkuu Mungu ni mwaminifu daimaHongera sana ndugu.
Itakuwa mzee Mtashi alikuingiza jeshi mkuu, nina maana yangu kusema hivi.Ndio mzee Mtashi alifanyaga Mambo yake now naitumikia nchi yangu mkuu
😂😂😂😂Itakuwa mzee Mtashi alikuingiza jeshi mkuu, nina maana yangu kusema hivi.
Ahsante mkuu nimeshapoa japo historia haiwezi futika kichwani mwangu, usijali mkuu tutaoeana connection pale panapowezekana mkuuDaah!!Safari ndefu yenye milima na mabonde,hakika mungu ana maksudi na ww mkuu.R.i.p Mama ila tupeane connection mkuu.
Zitakuja tu mkuu niombe nikipata nafasi vizuri nitaziachia usijaliStory yako inatia moyo na hamasa kaka
Ila ni kama bado umetuacha na kiu. Sijui hizo zingine utatuletea lini
HNdio mzee Mtashi alifanyaga Mambo yake now naitumikia nchi yangu mkuu
Hi 2 mkuu
Hatari sana...
Ahsante mkuu, kuhusu yule mzee nilifanya kila aina ya jitihada maana mawasiliano hakunipa na Wala nyumbani kwake hakunipeleka, kumbuka wakati naenda kuanza safari alinipeleka kulala kwa Dada mmoja na hata nilipofanya jitihada za kumtafuta huyo dada pia juhudi ziligonga mwamba maana nilienda Hadi pale Ila sijafanikiwa kumwona Hadi Leo hii.Story yako ni fundisho kubwa Sana,,swali langu kwako mkuu yule mzee wa dar aliekurudisha shule umechukua jitihada gani kumtafuta ili aghalau umpe mkono wa ahsate?
Hii Kama umepitisha bas na naungana na wew kudhibitisha hiliThis is a fantastic true story. Very interesting.
Karibu sana mkuu nyumbani kwetu pamenoga hapa MtinkoNaifatilia hii story nikiwa kwenu kata ya karakana mitaaa fln hv za manispah ya singidani apa
Ahsante mkuu, hili la kusaidia nimeanza kulitekeleza tangu 2015 now Nina vijana wasiopungua 10 ambao nimefadhili mwenyewe na wengine tayari wamehitimu masomo yao ya elimu ya juu, japo kwa Sasa namuomba Mungu anifanikishe niweze anzisha Foundation ambayo nitaipa jina la "NISHIKE MKONO TANZANIA" iweze kusima maombi yenu kwangu muhimu sana mkuuStory ya kusisimua sana hii. Mungu akujaalie kusaidia wengine kama ulivyosaidiwa.