Kutoka Singida hadi Dar es Salaam kwa matumaini ya kupata msaada wa elimu

Kutoka Singida hadi Dar es Salaam kwa matumaini ya kupata msaada wa elimu

Hongera kwa uhodari uliotukuka, yaani kila kipande cha historia yako kinaamsha hisia kali sana hakika ulipigana kiume nimetokwa na machozi japo najaribu kujikaza kwa sababu umenikumbusha mbali sana.
Hapa home nina wadogo zangu huwa nawaambia kuna watu wamepitia au wanapitia magumu sana kwa hiyo kama mkishindwa kutumia fursa basi mtanikumbuka mkiwa wakubwa na majukumu yenu.

Binafsi nimesota.
Mungu mwaminifu aliacha nipitie magumu ili nije niifurahie maisha
 
Inaendelea.....

Baada ya kupata matokeo hayo mazuri nilianza kuitafuta hela kwa uvudi na uvumba ili kidato Cha tano na sita nisipate shida, Basi nilikimbizana sana na mkaa huku mwingine na kata mwenyewe na mwingine nanunua kwa wenzangu naenda kuuza Pugu, mpaka siku naenda form five nilienda na Tsh 3m, namshukuru Mungu nilipangwa Ilboru secondary na kidato Cha tano na sita sikupata wakati mgumu sana kutoka nilikuwa na connection kidogo nikifunga shule naenda kutengeneza mkaa huko dar maeneo yote King'azi Hadi kwembe na tanuru langu la mwisho ni pale karibu na Mloganzila.

Katika harakati za kukataa mkaa hapa nilionana na mtu mmoja ambae nikimtaja hapa mnaweza shangaa kuwa nae alipita huku lakini alifika mahali akajisahu akawa muuwaji na mwizi, hapa nazungumzia bwana Albert Bashite Daudi☹️☹️☹️ huyu mtu nimekula nae na kupika chakula pamoja na kuendelea kukata mkaa naomba hili niishie hapa.

Mungu mwaminifu Tena mtihani wa mock form six niliambulia 3.15 niliumia lakini kidogo maana mawazo yalianza kuja kuwa mwalimu so hata necta nikipata hiyo sio mbaya naweza kuwa mwalimu na inatosha maana kwa namna nilivyosota inatosha sana.

Itaendeleaa......
 
Inaendelea.....

Baada ya kupata matokeo hayo mazuri nilianza kuitafuta hela kwa uvudi na uvumba ili kidato Cha tano na sita nisipate shida, Basi nilikimbizana sana na mkaa huku mwingine na kata mwenyewe na mwingine nanunua kwa wenzangu naenda kuuza Pugu, mpaka siku naenda form five nilienda na Tsh 3m, namshukuru Mungu nilipangwa Ilboru secondary na kidato Cha tano na sita sikupata wakati mgumu sana kutoka nilikuwa na connection kidogo nikifunga shule naenda kutengeneza mkaa huko dar maeneo yote King'azi Hadi kwembe na tanuru langu la mwisho ni pale karibu na Mloganzila.

Katika harakati za kukataa mkaa hapa nilionana na mtu mmoja ambae nikimtaja hapa mnaweza shangaa kuwa nae alipita huku lakini alifika mahali akajisahu akawa muuwaji na mwizi, hapa nazungumzia bwana Albert Bashite Daudi[emoji3525][emoji3525][emoji3525] huyu mtu nimekula nae na kupika chakula pamoja na kuendelea kukata mkaa naomba hili niishie hapa.

Mungu mwaminifu Tena mtihani wa mock form six niliambulia 3.15 niliumia lakini kidogo maana mawazo yalianza kuja kuwa mwalimu so hata necta nikipata hiyo sio mbaya naweza kuwa mwalimu na inatosha maana kwa namna nilivyosota inatosha sana.

Itaendeleaa......
Sikuiz anajiita Baba Keagan [emoji28][emoji28]uwe una mcheck mkuu umkumbushe alipotoka anaweza kurudi kwny mstari
 
Inaendelea.....

Baada ya kupata matokeo hayo mazuri nilianza kuitafuta hela kwa uvudi na uvumba ili kidato Cha tano na sita nisipate shida, Basi nilikimbizana sana na mkaa huku mwingine na kata mwenyewe na mwingine nanunua kwa wenzangu naenda kuuza Pugu, mpaka siku naenda form five nilienda na Tsh 3m, namshukuru Mungu nilipangwa Ilboru secondary na kidato Cha tano na sita sikupata wakati mgumu sana kutoka nilikuwa na connection kidogo nikifunga shule naenda kutengeneza mkaa huko dar maeneo yote King'azi Hadi kwembe na tanuru langu la mwisho ni pale karibu na Mloganzila.

Katika harakati za kukataa mkaa hapa nilionana na mtu mmoja ambae nikimtaja hapa mnaweza shangaa kuwa nae alipita huku lakini alifika mahali akajisahu akawa muuwaji na mwizi, hapa nazungumzia bwana Albert Bashite Daudi☹️☹️☹️ huyu mtu nimekula nae na kupika chakula pamoja na kuendelea kukata mkaa naomba hili niishie hapa.

Mungu mwaminifu Tena mtihani wa mock form six niliambulia 3.15 niliumia lakini kidogo maana mawazo yalianza kuja kuwa mwalimu so hata necta nikipata hiyo sio mbaya naweza kuwa mwalimu na inatosha maana kwa namna nilivyosota inatosha sana.

Itaendeleaa......
Hii naisave for future use
 
Basi nilivumilia tu na matokeo ya hayo ya mock na nikatulia na kuendelea kupiga msuli vilivyo hatimae necta hii hapa nikaifanya vizuri na nikaondoka shuleni kwenda dar kuhangaika na maisha, lakini kumbukeni mda wote huu sijawahi kurudi nyumbani na nimekuwa na hamu kweli ya kwenda home Ila moyoni napata maonyo usijaribu kwenda ndio utakuwa mwisho wako wa kuendelea na masomo nami nikakomaa kweli ila kila siku lazima kufanya maombi ya machozi mazito niwakute wazazi wangu wakiwa hai tu.

Baada ya pilika kubwa sana hatimae matokeo yakatoka, na naomba hapa ilikuwaje matokeo yakaja tofauti na mock na necta, wakati ilipotolewa ratiba ya mitihani niliweka madhiri na hata kwenda kutoa sadaka kanisani kuwa sihitaji kuwa mwalimu na nataka niende degree moja kwa moja kwa ufaulu mzuri na course za engineer japo sikujuwa ni engineering gani itanifaa coz hapa Kama unavyojua Sina hata mshauri yeyote ambae anaweza kunisaidia kujua course ipi ya engineering ni nzuri, lakini kwenye maombi yangu ni kuja kuwa engineer Basi kabla siku tatu ya mtihani kuanza niliingia kwa maombi siku tatu mfululizo kavu bila kunywa Wala kuonja chochote na mpaka nilipo maliza mtihani wa kwanza ndio nilienda kufungua kunywa uji.

Na hii ndio Siri ya Mimi kubadilisha matokeo yangu na hata kupata 1.3 ya PCM hii ilinifanya niingie kwenye maombi ya siku tatu kavu kumshukuru Mungu kwa matokeo hayo, Basi Mungu mwaminifu katika course niliomba nilibahatika kupata course nzuri japo nilikuja kuipenda baada kufika chuoni mwezi mmoja baadae nikaipenda sana hii course pale UDSM nikiwa na mkopo Safi na kilichonisaidia kingine nikawa na kujiwe Cha kuuzia magazeti Kama vitatu hivi nimeweka madogo napata hela yangu nzuri Hadi kumaliza chuo, Mungu mkubwa nikasepa na GPA ya 4.8 nikawa napiga vidili vya hapa na pale dar.

Itaendeleaa........
 
Sikuiz anajiita Baba Keagan [emoji28][emoji28]uwe una mcheck mkuu umkumbushe alipotoka anaweza kurudi kwny mstari
Ameshupaza shingo Hadi kuingia kanisani na kufanya maigizo, na Bora angeishia tu kufanya maigizo lakini alifika mahali hata kumkufuru Roho mtakatifu, maandiko yako wazi kuwa hii dhambi haisameheki kwa mjibu wa maandiko Ila sijui Mungu mwenyewe anajua zaidi.
 
Wakati wa msako wa ajira ulianza na nikakimbilia Geita mgodini hapa zilitangazwa nafasi nikaomba na kwenda kwenye entervew Kama watu 40 hivi nafasi ni 4 tu Ila nikatoboa nikapata ajira nikaanza kupiga mzigo wangu vizuri, baada ya miezi 6 nilipata ruhusa nikaenda home.

Hapa nilikuta nyumbani walishapelekewa taarifa na mtu kuwa Mimi niliwahi iba duka la mtu na wezi wenzangu tukawa tumeuliwa na kuchomwa Moto so watu wameshalia mama Amelia sana hadi kazoea alafu siku mwanae anaibuka, hapa naomba nitaweka bandiko jingine kwa namna ilivyokuwa Hadi wananipikea maana ni ndefu kidogo😭😭😭😭.

Siku naondoka kurudi kazini Geita nilipita Mwanza na ilikuwa siku ya jumatano so siku ya kuondoka Mwanza ni jtatu ya next week hivyo hapa nilifikia kwa rafiki yangu mmoja ambae tulikuwa wote mgodini japi vitengo tofauti nilipofika tu mapema akaniambia leo kanisani Kuna semina itabidi tuwahi church nikamwambia poa maana nami ndio maisha yangu, tukasepa kwenda church tuliwahi sana sie ndio tukawa watu wa kwanza kufika na kukaa kidogo akaja mchungaji mwenyeji akamsalimia rafiki yangu hapo alikuwa ni mzee wa kanisa maana ni mtu mzima kidogo.

Basi mchungaji akaanza kusema leo kijana wa kuongoza ibaada kapata dharura ngoja nitafute msimamizi wa ibaada, yule rafki yangu mzee wa kanisa akamwambia usipate shida kwa Hilo mchungaji Kuna kijana hapa yupo vizuri mno ni mtumishi tunaabudu nae huko Geita na kazi tunafanya wote hivyo namwamini sana, Basi mchungaji kanikaribisha kwa furaha sana kanipeleka kwa timu ya kusifu na kuabudu kanitambulisha wao pia wakanipokea vizuri mda wa ibaada ukafika nikashika mic nikaaongoza ibaada Hadi mwisho.

Baada ya ibaada yule Mchungaji aliekuja kuseminisha hapo kanisani akaniita Mimi na mchungaji mwenyeji akaniambia kijana Mungu amekujalia neem unaweza kuongoza vizuri hivyo namuomba Mchungaji mwenyeji akupe nafasi mpaka jpili na mchungaji akaniambia kweli umetufanya kuona kitu Cha tofauti sana hapa so tunakuomba uongoze wewe Basi nami nikakubali maana Sina kazi kwa mda huo, nikaaongoza ibaada mpaka jpili na baada ya ibaada ya jpili mchungaji kaniomba kwenda kula chakula na mchungaji mgeni nami nikaenda wakati tunasubiri chakula tukaanza kupiga story za hapa na pale kumbe yule Mchungaji mgeni ni mtumishi wa serikli na ni mtu mkubwa sana.


Tukaendeleza kupiga story na mwisho wa Siku katika maswali aliokuwa ananipiga nikajikuta nimefumuka na kuelezea historia ya maisha yangu yote Hadi mchungaji nilimuona akavuta pumzi.


Itaendeleaa....
 
Mchungaji yule aliniuliza kwa Sasa una kazi gani nikamwambia nipo mgodini kasema sawa, kaniuliza katika ndoto zako ulitaka ufanye Nini katika fani yako hiyo uitumikie vipi nikamweleza akaniangalia sana, akaniuliza unaona Nini mbele yako nikamwambia sioni kitu kingine zaidi ya Mungu, pale anaposema hivi nami sitaweza kumpinga maana ndio kiongozi wangu maisha ni mwangu, Mchungaji alinyamaza akaniambia nitajie majina yako matatu nikamtajia.

Baada ya kumtajia majina yangu aliniuliza unaoa lini nikamwambia bado Sina hata huo mpango, akaniuliza Tena upo kwenye mahusiano nikamwambia sipo kwenye mahusiano na bado sijawahi kuwa kwenye mahusiano tangu utoto wangu hata Sasa.

Chakula kikaja tukala tukamaliza kula tukaagana wakati anaungia kwenye Gari yake akaniita kaniambia kwa maneno ya chini kuwa Mungu anakupenda sana then akaingia kwenye Gari huyoo.

Naomba hapa niwaambie wakazi wa Mwanza kuwa mchungaji huyu ni yupi alienipa baraka MWL JACOBO MUTASHI nahisi mnaomfahamu huyu mzee alikuwa Nani Mwanza kabla haja staff na kabla ya hapo alikuwa Nani mwanzo..........?????? Hapa naomba nipite hivi huyu mzee Mungu amtunze aliko ni baba kwangu na ni mlezi bora chini ya miguu yake.


Naomba niishie hapa kidogo nitakuja kuwapa mbili tatu maishaje yalikuwaje Hadi Sasa na vipi leo nakumbana na jaribu la mahusiano lakini bado nahitaji nguvu za Mungu.

Rose Mhando na Anastazia Mkabwa waliimba wimbo anaekudharau leo atakuja kukusalimia kwa heshima, kwangu ilitimia kwa binamu yangu kunisalimia kwa heshima kitu ambacho ni tofauti kibinadamu.


La mwisho kabisa moyoni Nina majonzi wakati Mungu anatimiza ndoto zangu Malkia wangu wa Nguvu alieniombea usiku na mchana hata nilipopotea miaka mingi lakini aliendelea kuomba kuwa Mungu anilinde nilipo lakini amekuja kuondoka na Ugonjwa ambao Leo hii nilikuwa na uwezo wa kumtibia na kulipa gharama zote😭😭😭😭😭😭😭

I LOVE YOU MAMA JAPO SIKUONI TENA DUNIANI TENA UNAONDOKA BILA HATA KUAGANA NAMI JAPO KIMWILI NALIA LAKINI ROHONI NINA AMANI KWANI ULIAMUA KUOKOKA KABLA YA KAULI YAKO YA MWISHO HAPA MUNGU ALIKUPA SIRI AMBAYO MWANAO NINAYO AMBAYO NDIO NGUZO YANGU MAISHANI.

AHSANTE MUNGU KWA UPENDO WAKO KWANGU😭😭😭
 
Hongera kwa uhodari uliotukuka, yaani kila kipande cha historia yako kinaamsha hisia kali sana hakika ulipigana kiume nimetokwa na machozi japo najaribu kujikaza kwa sababu umenikumbusha mbali sana.
Hapa home nina wadogo zangu huwa nawaambia kuna watu wamepitia au wanapitia magumu sana kwa hiyo kama mkishindwa kutumia fursa basi mtanikumbuka mkiwa wakubwa na majukumu yenu.

Binafsi nimesota.
Mkuu shida ni kwamba Kama hujawahi kupata shida huwa ni ngumu kuelewa,hasa madogo wa Siku hizi hata hawasikii yaani
 
Back
Top Bottom