Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante mkuu naendeleaStory imenoga endelea mkuu, wengine tunatiwa moyo kuona watu wema bado wapo katika dunia hii
Ili uhisi eti ?? Endelea kuhisi mkuu🤸🤸🤸🤸😂😂Ukiendelea uni tag! I'm interested! Naamini hii story yako ni ya ukweli! Hivi mkuu wa shule Tabora Schiol kipindi hicho alikuwa nani vile?
Ngoja nilale mkuu japo kidogoMkuu endelea unatuacha na arosto
Acha negativity! Naisubiri story yako!Ili uhisi eti ?? Endelea kuhisi mkuu[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji23][emoji23]
Ahsante mkuu inaendelea usiache kuifuatiliaAcha negativity! Naisubiri story yako!
aahahah nimekuona tu nikafurahi mwandalie maswali mwanaSubscribed
Ameen mkuuDuuh aisee kuna watu wamesota bna daah pole na hongera kwa kutokata tamaa mkuu. Nadhani ukaribu wako na M/Mungu ulijengwa zaidi na kuepuka anasa, vijana wengi tunafeli kwenye mbunye tuuuu. Daah aisee.
Ameen mkuuBas nitarejeaa na mm Niko apa singida karakana karibu ingawa nimetoka Arusha ila pia nilisoma na wanyaturu kadha hakika Hawa watu wakipatia shule wanakuwa wakali mno na wanaelewa vzr sana ingawa vijana waadhiriwa na ulevi na hatimae kashindwa kumalizia shule ama vyioo vikuu ..respect kwako kwa kuweza kufika uliko pia mungu amekuzimamia Sana sifa na utukufu Ni zake