Kutoka Uganda: Nadhani hii ndiyo njia rahisi ya kufikisha ujumbe kwa walioshika mpini

Kutoka Uganda: Nadhani hii ndiyo njia rahisi ya kufikisha ujumbe kwa walioshika mpini

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Nimesoma mahali wananchi waishio kule Gom's maeneo ya Kivule, Chuo cha Biblia, Air wing, relini kuendelea huko mbele.

Lakini hata wale wanaotoka Mbeya au Mwanza kupitia ile njia ya Chunya hata kwingine huko ulipo, hii hapa tumia kufikisha ujumbe.


IMG_20240118_163153.jpg
IMG_20240118_163259.jpg
IMG_20240118_162950.jpg

Mkipanda mimea mtavuna chakula.

... au nimewakera..?
 
Ukitaka kujua bongo kuna madunduga,utashangaa migomba imetolewa usiku,sasa unabaki kujiuliza aliyetoa alipewa hela ya ukarabati akala??hapendi kuona kijani barabarani??anapendezwa sana naashimo??au hapendi kejeli kwa viongozi goi goi??
 
Sio kwetu hapa.hata wazee ni wajinga wajinga aise.
Mfano lile dumbwana sijui lilipwa sh ngapi kuja na tamko eti la vyama 13.likijinasibu Kwa kusema eti maandamano sio utamaduni wetu
Lile ngese cjui linaishigi wapi.
Ilitakiwa likanyongewe nyumbani kwake lile Debe tupu.
 
Sio kwetu hapa.hata wazee ni wajinga wajinga aise mfano lile dubwana sijui lilipwa sh ngapi kuja na tamko eti la vyama 13 likijinasibu Kwa kusema eti maandamano sio utamaduni wetui lile ngese cjui linaishigi wapi. Ilitakiwa likanyongewe nyumbani kwake lile Debe tupu.
Lile dubwana nimelishangaa sana ila kuna mzee wa ubwabwa jana kalipasha dubwana sawa sawa 😂!.
 
Back
Top Bottom