Kutoka Ukumbi wa Mlimani City: Mkutano wa January Makamba Kutangaza nia ya Urais

Kutoka Ukumbi wa Mlimani City: Mkutano wa January Makamba Kutangaza nia ya Urais

Yaan unamlinganisha na prof Mwandosya!!! Sizani kama akili zako ziko sawa
 
Usitake nikutukane bure.Hakuna kipya CCM,huyo Makamba ni sehemu ya Urais wa KIKWETE.Yeye ni Waziri.Kufeli kwa kikwete ni kufeli kwake pia.Aache kutulaghai.

Hebu Twambie kipya kutoka UKAWA na chadema maana kila mwaka mgombea ni yule yule Padri!
 
Kumbe amefanya kazi na jk ina maana atavaa kiatu cha jk

Akishaapishwa tu.anaanza safari za ulaya
 
kijana mwenye uwezo wa kuyaainisha na kuyachambua matatizo na kero za wananchi na kuonyesha namna anavyoweza kuyatatua...big up!
 
Kaongea mambo makubwa sana kwa ajili ya kuivusha Tanzania yetu,ila kwa character yake nothing of all will be put in actions.Uongo mtupu,tokea ile sheria ya kutufunga midomo JANUARY HAFAI TENA
 
Kweli ana akiri ndio maana anatudanganya kama watoto,
Angekuwa na akili basi angeongea ukweli
 
Wanabodi,

Mengi yamesemwa na wagombea urais kupitia ccm wakati wakitangaza nia lakini jamani tuwe wakweli Bwana Mdogo Januari Makamba yupo juu. He has delivered a very sensational speech.

King Cobra.
 
Mkuu umemrarua Ritz! Mkuu Ritz pole sana ndio jf hii
Kamanda kuniambia nikauze pweza ndiyo kanirarua Ahahaha mimi mbona muuza kahawa tu pweza kanikweza sana.

Kwa hiyo kamanda Chadema hawana haja na kura za wauza pweza?

Teh teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Nasikiliza hotuba ya mtia nia J.Makamba kupitia Redio Clauds FM,mimi sio mshabiki wa huyu mtu lakini nimekkerwa na redio hii kukatisha matangazo kila Makamba anapozungumzia jinsi atakavyoshughulikia wala rushwa na wahujumu uchumi,mfano walikatisha matangazo alipofika sehemu ya kuifumua na kuipa meno TAKUKURU halafu wakarudisha alipomaliza maelezo hayo,pia alipofika sehemu ya kuwaomba wananchi kuwapa walarushwa ADHABU ZA KIJAMII kama kususia sherehe zao zilizogharimu mamilioni ya shilingi walikatisha,kwa wenye ufahamu wanatambua kama redio hii wako upande gani kati ya watia nia hata kama wanafanya biashara ya matangazo.

Mkuu sio huko tu hata ITV na STAR pia matangazo yanatika
 
kijana mwenye uwezo wa kuyaainisha na kuyachambua matatizo na kero za wananchi na kuonyesha namna anavyoweza kuyatatua...big up!

Teh teh....hata Kigwangala naye anaweza kuainisha matatizo ya wananchi
 
Serikali isiyofanya biashara inapata wapi pesa zaidi ya kutoza kodi na ushuru? Yeye hizo fedha aseme atatoa wapi maana hazina ni ile ile sio akiingia yeye itajaa mapesa ya kuwapa wanafunzi na wanavijiji kirahisi rahisi wabongo rahisi sana kudanganyika.

Kama mtu muelewa kodi ndo inaongoza nchi katika mfumo wa kuwezesha wanaanchi.. kazi ya kuijenga nchi ni kazi ya kujenga mifumo ya kusapoti wanaachi katika kuwezesha serikali kusaidia wale wasiojiweza..

Kwa miaka mingi mfumo wa nchi umejaa mfumo wa kuudumia wageni na wenye nacho uko pesa za wale ambao awana pesa wakiangaika...
 
Back
Top Bottom