Uchaguzi 2020 Kutoka uwanja wa Jamhuri Dodoma CCM inaenda kuweka mustakabali wa Taifa

Leo dom mbunye mnauza kwa mafungu,naskia bongo movie unakamua kwa backet moja ya serengeti lite...halafu makada unakamua kwa kvant ndogo
 
Kesho msikose kuja kuangalia tamasha la music kubwa kabisa hapa Dodoma wasanii wakubwa wooote watakuwepo,kiingilio ni bure kabisaaa na muda ni kuanzia saa 2 asubuhi mpk majogooo.
 
Utajiri upi huo? Alioupata wakati anafanya kazi Benki Kuu? Wacheni dhihaka Mbowe ni conman tu! Alipewa Bilicana wakati wa Lowasa ikabidi alipe fadhila tu! Fact the guy anaishi kiujanjaujanja tu. Siku ya kwanza tu kaanza na michango. Na bado michango kila anakokwenda tena kwa shuruti. Ile michango ya wabunge ilikwenda na alijojo.
 
Kama hii kumi na mbili hiii,,,......
 
Sana sana kulipia bili za faru john counter.
 
Mikutano ya ccm watu wanaenda kuangalia wasanii uthibitisho ni huu Anglia show za diamond watu wanavyojaa tena kwa kulipa kiingilio kama hii ilikuwa iringa
View attachment 1551232
je ukiwa bure itakuwaje
Sawa kwana chadema mmekatazwa kuweka wasanii?? ,kuleta wasanii ni moja ya mbinu yakuwavuta raia kwa wingi na kisha kunadi sera za chama katika watu kumi hauwezi ukakosa watu ata watano watakao kuelewa.
 
Sawa kwana chadema mmekatazwa kuweka wasanii?? ,kuleta wasanii ni moja ya mbinu yakuwavuta raia kwa wingi na kisha kunadi sera za chama katika watu kumi hauwezi ukakosa watu ata watano watakao kuelewa.
NO... Tunakwenda kuangalia miunooo

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…