Hakika kwani dunia imefuata alichosema na kutenda dhidi ya covid 19
Hakika kwani dunia imefuata alichosema na kutenda dhidi ya covid 19
...🙄🙄🙄....yaani mustakabali wa dunia unawekwa na Rais wa nchi moja iliyoingia "uchumi wa kati chini" miezi michache iliyopita?Nimeona Star TV wakimnadi jiwe kwa jinsi alivyo shughulika na korosho pia Corona. Wamesema kwa Corona ni mfano wa kuigwa na dunia nzima!
Mleta mada umemdunisha jiwe. Kesho anakwenda kuweka mustakabali wa dunia!
Dunia nzima ilikombolewa kutoka kifungo cha Corona baada ya kauli ya JPMNasikia dunia yote itakuwa ime tune TBC kupokea mustakabala.
Dunia nzima itakuwa ime tune TBC online kupata maelekezo.
Yataka kujitoa ufahamu kweli kweli angalau kufanana na jina la mleta mada kutouona ukweli huo.
Kidumu chama cha mapinduziCCM OYEEEEEEE!
Kwa mara ya kwanza tangu Taifa letu liwe huru tunaenda kushuhudia chama tawala kikienda kuweka historia mpya kama ilivyo hulka yake kwa kuzindua kampeni za uchaguzi kwa namna ya kipekee katika makao makuu ya nchi DODOMA.
Haijawahi kutokea kwa Chama chochote kufanya kampeni ya ufunguzi katika jiji la DODOMA ambayo ni makao makuu ya nchi kwa miaka mingi.
Karibu DODOMA ya watanzania:
njoo usikie
1-Mafanikio ya Serikali chini ya CCM
2-Sera halisi na zinatokelezeka kisiasa
3-Utatuzi wa kero za wananchi wa hali ya chini
4-Ujasiri wa viongozi wakongwe ,waliopo na wajao
5-Mbinu za kushinda milipuko na dharura kama Covid 19
6-Ushughulikiaji wa mafisadi na wahujumu uchumi
7-Uboreshaji wa miundombinu
8-Kanuni za kukuza uchumi
9-Uboreshaji wa Afya za watanzania ikiwemo ujenzi wa hospitali ya UHURU
10-Ukusanyaji wa kodi kwa usawa
11-Uhuishaji wa Sera na matarajio ya waasisi wa Taifa letu
12-Misimamo ya Taifa dhidi ya mabeberu na ushoga.
13-Utatuzi wa kero za kijamii,kisiasa na kijamii
14-Mafanikio ya michezo na utamaduni
15-Utekelezaji wa kulinda amani na kuunganisha jamii
16-Ulinzi wa mipaka ya nchi dhidi ya maadui wote wa ndani,majirani na dunia nzima.
17-Uwajibikaji wa watumishi mashirika,asasi kwa jamii
18-Usimamizi wa Sheria,kanuni,taratibu na miongozo tuliyojiwekea
19-Ulinzi wa Rasilimali za nchi kwa minajili ya vizazi vijavyo
20-Sera na muelekeo wa kujitegemea kama Taifa huru kisiasa,kijamii,kiuchumi na kiutamaduni
21-Ukaribu wetu na wasanii,vijana,wazee,walemavu ,na makundi yote maalumu.
22-Sera zetu za kuikomboa Afrika nzima dhidi ya ukoloni mamboleo.
23-Uboreshaji wa Elimu endelevu yenye maudhui ya kujitegemea na kuandaa watu wenye weledi rithi wa kidunia.
24-Mbinu zilizotuingiza uchumi wa kati
25-Njoo umuone Jembe John Magufuli aliyedhibiti mauaji ya Albino bila kutegemea NGO
26-Njoo umuone Mzalendo aliyetumia miaka yake mitano ya Urais akiwahudumia watanzania na sio kuzurura ughaibuni
27-Utegemezi wetu kwa Mungu muumba aliyeashiria mwanadamu wa kwanza alikuwa anaishi Tanzania.
28-Njoo usikie ukweli unaopinga Uongo na Ulaghai
Na mengineyo mengi ambayo yamejiri na yatakayojiri..
HAKUNA MWANAHABARI ATAKAYEFUKUZWA KAMA MBWA
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Dunia nzima ilikombolewa kutoka kifungo cha Corona baada ya kauli ya JPM
Kidumu chama cha mapinduziCCM OYEEEEEEE!
Kwa mara ya kwanza tangu Taifa letu liwe huru tunaenda kushuhudia chama tawala kikienda kuweka historia mpya kama ilivyo hulka yake kwa kuzindua kampeni za uchaguzi kwa namna ya kipekee katika makao makuu ya nchi DODOMA.
Haijawahi kutokea kwa Chama chochote kufanya kampeni ya ufunguzi katika jiji la DODOMA ambayo ni makao makuu ya nchi kwa miaka mingi.
Karibu DODOMA ya watanzania:
njoo usikie
1-Mafanikio ya Serikali chini ya CCM
2-Sera halisi na zinatokelezeka kisiasa
3-Utatuzi wa kero za wananchi wa hali ya chini
4-Ujasiri wa viongozi wakongwe ,waliopo na wajao
5-Mbinu za kushinda milipuko na dharura kama Covid 19
6-Ushughulikiaji wa mafisadi na wahujumu uchumi
7-Uboreshaji wa miundombinu
8-Kanuni za kukuza uchumi
9-Uboreshaji wa Afya za watanzania ikiwemo ujenzi wa hospitali ya UHURU
10-Ukusanyaji wa kodi kwa usawa
11-Uhuishaji wa Sera na matarajio ya waasisi wa Taifa letu
12-Misimamo ya Taifa dhidi ya mabeberu na ushoga.
13-Utatuzi wa kero za kijamii,kisiasa na kijamii
14-Mafanikio ya michezo na utamaduni
15-Utekelezaji wa kulinda amani na kuunganisha jamii
16-Ulinzi wa mipaka ya nchi dhidi ya maadui wote wa ndani,majirani na dunia nzima.
17-Uwajibikaji wa watumishi mashirika,asasi kwa jamii
18-Usimamizi wa Sheria,kanuni,taratibu na miongozo tuliyojiwekea
19-Ulinzi wa Rasilimali za nchi kwa minajili ya vizazi vijavyo
20-Sera na muelekeo wa kujitegemea kama Taifa huru kisiasa,kijamii,kiuchumi na kiutamaduni
21-Ukaribu wetu na wasanii,vijana,wazee,walemavu ,na makundi yote maalumu.
22-Sera zetu za kuikomboa Afrika nzima dhidi ya ukoloni mamboleo.
23-Uboreshaji wa Elimu endelevu yenye maudhui ya kujitegemea na kuandaa watu wenye weledi rithi wa kidunia.
24-Mbinu zilizotuingiza uchumi wa kati
25-Njoo umuone Jembe John Magufuli aliyedhibiti mauaji ya Albino bila kutegemea NGO
26-Njoo umuone Mzalendo aliyetumia miaka yake mitano ya Urais akiwahudumia watanzania na sio kuzurura ughaibuni
27-Utegemezi wetu kwa Mungu muumba aliyeashiria mwanadamu wa kwanza alikuwa anaishi Tanzania.
28-Njoo usikie ukweli unaopinga Uongo na Ulaghai
Na mengineyo mengi ambayo yamejiri na yatakayojiri..
HAKUNA MWANAHABARI ATAKAYEFUKUZWA KAMA MBWA
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Mnawasomba tu ili kuficha aibu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mjomba ...kwani mmeshindwa kuwalipa??
SawaWasanii wote watakuwepo
Msikose show zao
Ova
CCM OYEEEEEEE!
Kwa mara ya kwanza tangu Taifa letu liwe huru tunaenda kushuhudia chama tawala kikienda kuweka historia mpya kama ilivyo hulka yake kwa kuzindua kampeni za uchaguzi kwa namna ya kipekee katika makao makuu ya nchi DODOMA.
Haijawahi kutokea kwa Chama chochote kufanya kampeni ya ufunguzi katika jiji la DODOMA ambayo ni makao makuu ya nchi kwa miaka mingi.
Karibu DODOMA ya watanzania:
njoo usikie
1-Mafanikio ya Serikali chini ya CCM
2-Sera halisi na zinatokelezeka kisiasa
3-Utatuzi wa kero za wananchi wa hali ya chini
4-Ujasiri wa viongozi wakongwe ,waliopo na wajao
5-Mbinu za kushinda milipuko na dharura kama Covid 19
6-Ushughulikiaji wa mafisadi na wahujumu uchumi
7-Uboreshaji wa miundombinu
8-Kanuni za kukuza uchumi
9-Uboreshaji wa Afya za watanzania ikiwemo ujenzi wa hospitali ya UHURU
10-Ukusanyaji wa kodi kwa usawa
11-Uhuishaji wa Sera na matarajio ya waasisi wa Taifa letu
12-Misimamo ya Taifa dhidi ya mabeberu na ushoga.
13-Utatuzi wa kero za kijamii,kisiasa na kijamii
14-Mafanikio ya michezo na utamaduni
15-Utekelezaji wa kulinda amani na kuunganisha jamii
16-Ulinzi wa mipaka ya nchi dhidi ya maadui wote wa ndani,majirani na dunia nzima.
17-Uwajibikaji wa watumishi mashirika,asasi kwa jamii
18-Usimamizi wa Sheria,kanuni,taratibu na miongozo tuliyojiwekea
19-Ulinzi wa Rasilimali za nchi kwa minajili ya vizazi vijavyo
20-Sera na muelekeo wa kujitegemea kama Taifa huru kisiasa,kijamii,kiuchumi na kiutamaduni
21-Ukaribu wetu na wasanii,vijana,wazee,walemavu ,na makundi yote maalumu.
22-Sera zetu za kuikomboa Afrika nzima dhidi ya ukoloni mamboleo.
23-Uboreshaji wa Elimu endelevu yenye maudhui ya kujitegemea na kuandaa watu wenye weledi rithi wa kidunia.
24-Mbinu zilizotuingiza uchumi wa kati
25-Njoo umuone Jembe John Magufuli aliyedhibiti mauaji ya Albino bila kutegemea NGO
26-Njoo umuone Mzalendo aliyetumia miaka yake mitano ya Urais akiwahudumia watanzania na sio kuzurura ughaibuni
27-Utegemezi wetu kwa Mungu muumba aliyeashiria mwanadamu wa kwanza alikuwa anaishi Tanzania.
28-Njoo usikie ukweli unaopinga Uongo na Ulaghai
Na mengineyo mengi ambayo yamejiri na yatakayojiri..
HAKUNA MWANAHABARI ATAKAYEFUKUZWA KAMA MBWA
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Hizo ni technique za siasa hata ulaya wako hivyo
Utakubali kiaina, huuo ndo the world leader sema tu ahatua hela kama taifa ila tungekuwa nazo wangetuheshim tu.Nimeona Star TV wakimnadi jiwe kwa jinsi alivyo shughulika na korosho pia Corona. Wamesema kwa Corona ni mfano wa kuigwa na dunia nzima!
Mleta mada umemdunisha jiwe. Kesho anakwenda kuweka mustakabali wa dunia!
Shida iko wapi wapi?Hakuna haja ya wewe kutukaribisha wakati malori yameanza kutukusanya vijijini kutuleta kwa tangazo la kuwaona wasanii wote bure.
ANGALIZO;
Mkimaliza hili tamasha mturudishe kwetu, kutembea kilometa 50 au 30 ni mateso jamani!
View attachment 1551467
Wanasubiri kuwanunulia jenezaDiamond platnumz na zuchu[emoji848][emoji848][emoji848]
Hayo mabilioni mnayowalipa wasanii si mngewalipa hata walimu malimbikizo yao, raisi wanyonge watanzania mpaka wafe
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Akikujibu pata kilimanjaro water ya bariiiidiJingalao siku za karibuni, mlimuaminisha Mzee kuwa vyama karibu vyote vya upinzani vimekufa. Na hasa baada ya viongozi wengi wa huko kufika bei. Na kwa sababu Mzee amefanya makubwa . Je bado mna msimamo huo ?!.
Na kama kweli ni hivyo. Mbona mnaogopa box la kura ?!. Na je wapinzani kuenguliwa ndiyo kusema Ccm inakubalika sana kwa wananchi ??!!.
Kama hutojali nijibu kiungwana tu [emoji120]
Wewe utajua ni Diamond Jumuiya ya Kimataifa Wakiona Picha watajua ni CCM unawashawishi yule ni Diamondi na Sio CCM Siasa ni Akili picha za Leo Hazitaandika Concert LA Diamond Zitaandikwa Campaign za CCM zaanza Kwa Kishindo so Dunia Itaona Si Mnataka mabeberu Wajue nguvu ya CCM subirini Leo tunakendwa kutuma ujumbeMikutano ya ccm watu wanaenda kuangalia wasanii uthibitisho ni huu Anglia show za diamond watu wanavyojaa tena kwa kulipa kiingilio kama hii ilikuwa iringa
View attachment 1551232
je ukiwa bure itakuwaje