Kutoka uwanja wa Taifa: Simba SC 4 - 5 Sevilla FC

Hahahaha tulikuwa tunadumisha mila ile siri tuliyofundishwa na mama,mchawi kiuno!!!!!!! Embu jaribu nawe kwa baba naniliu uone mambo yatakavyokunyookea!!!!!
Siyo vizuri Pacha,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Hivi ni dakk ya ngapi?
 
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Taabu tutakayopata leo sipati picha maana watani hawa wanakeleleee, wana manenooo. Sevilla God is watching you.
Kwani unateseka best!!! Hahaha nakusalimu tu habari za masiku mingi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…