Kutoka uwanja wa Taifa: Simba SC 4 - 5 Sevilla FC

Kutoka uwanja wa Taifa: Simba SC 4 - 5 Sevilla FC

Hahahaaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Aliowashauri hawa sevilla washuke airport ya dar nani. Wangeshuka songwe kama mazembe. Mtawaonea huruma aisee
 
Wakuu naomba tuweke sawa, kuna wanaosema hiki kikosi cha Sevilla Ni kikosi C, wengine wanasema ni kikosi D,
Naomba kikosi A kuna kina nani?
Hivi Navas ni kikosi C? hata B hayupo ni A pure.
1105826

Hiyo ilikuwa 23/01/2019 copa del rey vs Barcelona
 
Back
Top Bottom