Kutoka uwanja wa Taifa: Simba SC 4 - 5 Sevilla FC

Kutoka uwanja wa Taifa: Simba SC 4 - 5 Sevilla FC

Aisee, uchawi upo! King Messi mwenyewe hupata tabu kuwafunga Sevilla! Eti leo wanafungwa kirahisi na hawa wazee!
 
DAKIKA YA 80,
.
.
.
SIMBA 4-2 SEVILLA!

THIS IS SIMBA...YES WE CAN!
 
Tunawataka Atletco Madrid sasa!!
Baada ya hapo ni Real Madrid...waleeeeee Barcelona nao
Vipi Tp mazembe, Waydad Casablanca, Esperance de Tunis, na Mamelod Sundowns mmeshamalizana nao? Embu jitahidi mmalizane nao ili level za hao uliowataja mkakutane nao FIFA Club World Cup na sio humu kwenye mabonanza
 
Back
Top Bottom