Hahahaaaa. Mwamshe tu best kisha mwambie siku ingine ashangilie after 90 Mins.
Sababu watu kama wale dkk tano nyingi kwao kubadilisha matokeo.
ππππ
Subir achelewe Kazini ndo itapendeza
Mimi nipo rikizo Mambo swaafi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa. Mwamshe tu best kisha mwambie siku ingine ashangilie after 90 Mins.
Sababu watu kama wale dkk tano nyingi kwao kubadilisha matokeo.
Tungechungulia tu kwenye huu uzi Mkuu. πHiv simba ingekua imeshinda....povu zote hiz zingetoka?
πππ mie nilishangaa ile second half alipofanya zile sub.
Tungechungulia tu kwenye huu uzi Mkuu. π
Japo niwajuavyo tungetafuta pa kujificha kwani mna maneno makali mbaya.
Friendly game, kila mchezaji apate nafasi. Ndio maana uliruhusiwa hata kubadiri timu nzima.πππ mie nilishangaa ile second half alipofanya zile sub.
Hahaaaa. Pole kwake.ππππ
Subir achelewe Kazini ndo itapendeza
Mimi nipo rikizo Mambo swaafi
Hamnazo yule Best.Alijifanya eti anakiwango cha Gudiolaπ€π€
π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Tena page zote ingekuwa maneno ya karaha tu. πππWangeshinda hii thread ingefika PG 60 muda huu.....wenyewe kwa wenyewe πππππ
Oooh. Sawa hivyo jana timu nzima ya Simba hakuna ambaye hajacheza?Friendly game, kila mchezaji apate nafasi. Ndio maana uliruhusiwa hata kubadiri timu nzima.
Niambie Mkuu?Shadeeeeeeeeya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aibu sana ile rafiki. ππ
Pole sana Mtani.Yaani Simba wameniaibisha leo.
Yaani dah, mpira usiupe dhamana kabisa.
Aibu sana ile rafiki. ππ
Pole sana Mtani.
King Ngwaba nimeona like yako sehemu. Walahi leo umejua kupita kimya kimya. Pole Mtani.
Pole sana Mtani histori imeingia doaπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ