Kutoka uwanja wa Taifa: Simba SC 4 - 5 Sevilla FC

Kutoka uwanja wa Taifa: Simba SC 4 - 5 Sevilla FC

Nimezipata zote Mtani. Na yale ndio maisha ya soka. Huwezi sema kwamba angemalizia mpira Yanga wakati ipo sehemu ambapo anaeza pata kikubwa zaidi.

Kila la kheri kwake Mtani. Japo kama nawaona mlivyoumia kimoyo moyo kwani mazembe wamewapiga bao la kisigino.
Mtani upo wapi wewe??
Yani tetesi mpya za toka Jana kuhusu ajibu
Hujazisikia? Haha au ndo umeamua ziba masikio mtani ili zisikufikie.
 
Back
Top Bottom