Nna vipele vidogovidogo vyeupe chini ya kichwa cha uume sasa yapata mwaka m1.Nimeenda kwa madokta wawili tofauti nikiwapa maelezo wananiambia nichukue kipimo cha magonjwa ya zinaa,majibu yanakuja 'no reaction' so wanajf naomba msaada wa mawazo yenu inaweza ikawa tatizo gani.haviumi wala kutoa usaha,vipimo vikubwa pia nishafanya.
weka picha tudadavue
Ni studs hizo. hata kwenye condom zipo.
labda ungeweka picha ya uchi wa dadaako[/QU you r vry stupid!
pole kaka angu! me c mtaalam ila hivyo vipele ni vya kawaida hata ......... wangu anavyo! na miaka yote vipo! unawezasema vinausaha lkn hakuna kitu km hicho! me nahisi ni maumbile tu ya mtu huwa vinakuja! ila usijaribu kuvitoboa vinaweza vikakuletea madhara makubwa
Ni studs hizo. hata kwenye condom zipo.
wataka mnyonya!! uh.......!weka picha
Ni studs hizo. hata kwenye condom zipo.
Hiyo ni ngoma tu
umejuaje!!!wataka mnyonya!! uh.......!
Sio kaswende hiyo?