Kutoka vipele kwenye uume

Kutoka vipele kwenye uume

Nna vipele vidogovidogo vyeupe chini ya kichwa cha uume sasa yapata mwaka m1.Nimeenda kwa madokta wawili tofauti nikiwapa maelezo wananiambia nichukue kipimo cha magonjwa ya zinaa,majibu yanakuja 'no reaction' so wanajf naomba msaada wa mawazo yenu inaweza ikawa tatizo gani.haviumi wala kutoa usaha,vipimo vikubwa pia nishafanya.

weka picha tudadavue
 
pole kaka angu! me c mtaalam ila hivyo vipele ni vya kawaida hata ......... wangu anavyo! na miaka yote vipo! unawezasema vinausaha lkn hakuna kitu km hicho! me nahisi ni maumbile tu ya mtu huwa vinakuja! ila usijaribu kuvitoboa vinaweza vikakuletea madhara makubwa
 
Huo ni ukosefu wa kinga mwilini.

Ishi kwa matumaini.
 
pole kaka angu! me c mtaalam ila hivyo vipele ni vya kawaida hata ......... wangu anavyo! na miaka yote vipo! unawezasema vinausaha lkn hakuna kitu km hicho! me nahisi ni maumbile tu ya mtu huwa vinakuja! ila usijaribu kuvitoboa vinaweza vikakuletea madhara makubwa

asante kwa ushauri mzuri dadaangu
 
Mh! kijana, mbona hiyo ni hali ya kawaida kama vile mtu kuota nywele sehemu za siri ama kuota ndevu. Mbona vitu kama vile haujaviuliza au hauna?
Wala hata usihangaike kwani kila mtu anakuwa navyo hasa anapokuwa mkubwa.
 
hvyo kawaida m mwenyewe n navyo na shaenda hosp regency n kakutana na mtaalamu akaniambia n kawaida,ila akanishauli kutumia medicated soap kwa kuogea
 
Ni studs hizo. hata kwenye condom zipo.

usiwe na hofu tena baada ya kufanya vpmo vyote. hivyo vipele ni very common, hata mume wangu anavyo. mamaa akivitolea sana macho mwambie ni studs kama alivosema KakaJambazi.
 
Hiyo ni ngoma tu

Watu kwa kunyoshea wenzao vidole!!!! Wewe umepima au unauwezo wa kumpima mtu kwa maelezo yake tu?
Siyo ustaarabu kama hujui tatizo la mtu ni bora ukanyamaza bado utakuwa mstaarabu kuliko unavyoropoka ...
 
Kwenye uume wangu nimetokwa na vipele vidogovidogo ambavyo vimezunguka kichwa cha uume.NA vipele vyenyewe haviniumi .Kwakweli niponavyo takriban miaka sita hivi.Nilitumia dawa lakini haikunisaidia kabisa.TAFADHALI NISAIDIENI
 
Nina VIPELE vidogo vidogo ambavyo HAVINIUMI, vimezunguka kichwa cha uume.Niko navyo kwa muda wa miaka isiyopungua kumi .Nilikwenda hospitali nikaambiwa ni fungus .Nikapewa dawa lakini haiku nisaidia kabisa.JAMANI ANAYEJUA ANISAIDIE
 
mkuu hyo sio fungus ni vipele tu vinakusaidia kumkuna vzur dem anapata swaga zote
 
Back
Top Bottom