Uchaguzi 2020 Kutoka viwanja vya CCM, Lindi: Membe atangaza nia ya Urais!

Uchaguzi 2020 Kutoka viwanja vya CCM, Lindi: Membe atangaza nia ya Urais!

Huu msururu wa watangaza nia ndani ya ccm ni mbwembwe tuu.

Hapa tunajua mechi ni kati ya Eddo vs Membe.

Ila tatizo na faida ya Taifa letu ni kwamba mmoja ni Mwizi na wapili hana mvuto kabisa. Hivyo ccm imeshindwa kutoka Raisi.

Na jukumu la kutupatia raisi tunaliachia UKAWA.
 
==== Updates ========

View attachment 258143

KAULI MBIU:
TWENDE NA MEMBE KWA MABADILIKO.

Akiteuliwa kugombea, picha itamsaidia kumpa kura za wamama.

Nakumbuka ata chuo sie tusiokuwa "presentable" tulikuwa tunadisadvantage kwenye angle hiyo maaba viumbe wetu hawa kitu cha kwanza walikuwa wanangalia muonekano wa mtu.Mitaani, vijijini na uswahilini ndio usiseme.
 
Hakika UKAWA wanayo kazi yani wanapigwa kutoka kila mkoa leo watapigwa kutoka Lindi na baadae watapigwa kutoka Dar....! Bavicha hawana jinsi inabidi wacheze ngoma ya CCM maana sasa wameamini Rais wa nchi hii lazima atoke CCM!


Membe anatangaza nia sasa UKAWA wanapigwa vipi hapo? wakati mwingine jitendeeni haki akili zenu kuliko kujishabiisha na vinyesi namna hii.....

Yaani wewe unatia kinyaa Sana bora uendelee kushinda kule kwenye jukwaa la mashosti wenzio...
 
haya haya tena ! magamba yanaendelea kuparurana ! , UKAWA tunawacheki , mzoga unaodondoka tunautupa jalalani .

Hivi kwa hiyo strategy yenu ya kuwa mabubu na kuona aibu kuwatangaza wagombea wenu unadhani mtaingia Ikulu?
 
Hakika UKAWA wanayo kazi yani wanapigwa kutoka kila mkoa leo watapigwa kutoka Lindi na baadae watapigwa kutoka Dar....! Bavicha hawana jinsi inabidi wacheze ngoma ya CCM maana sasa wameamini Rais wa nchi hii lazima atoke CCM!

Yaani huwezi kuongea bila kutaja UKAWA!! Hapa sasa UKAWA inaingiaje wakati CCM mnatifuana wenyewe kwa wenyewe.
 
Yaani huwezi kuongea bila kutaja UKAWA!! Hapa sasa UKAWA inaingiaje wakati CCM mnatifuana wenyewe kwa wenyewe.

CCM ni ndugu moja, haya yanayoendelea sasa ni kawaida sana. Tazameni siasa za kimataifa, je unakumbuka Obama alivyokuwa akitifuana na Hillary Clinton ndani ya chama chao cha Democtratic? Ila baadae alimpa uwaziri kwenye serikali yake.
 
Mbona kama ni kitchen part?

Maana naona ni ushungi umetawala kila maali.
 
Bado mnataka na membe nae awe rais? Mbona mlishatoa rais wa awamu ya tatu bado hamkuridhika? Ina maana makabila mengine hakuna wanaofaa?
Jiheshimuni bwana hata sisi waluguru watani zenu tunautaka huo.
 
Huyo mama za Zanzibar nae hajielewi
 
Back
Top Bottom