Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mzee anasema mkoa wa MEMBE insteady of lindi aiseeeeeee awajielewii
yaani ndo nashangaa...Kweli mtu wa Pwani ni wa Pwani tu,yaani Ni kama kigodoro fulani cha kumtoa mwali.Hawa ndio tuwape Urais?
Wakati Yeye Akijianda Kucheza Hizo Mechi Zake Tatu Ulizomtajia Hapo Mheshimiwa Profesa Sospeter Muhongo Kaisha Maliza Ligi Nzima Na Ndiyo Rais.
Nyie hamna watu wenye sifa ya kuwa Rais zaidi ya Lipumba na Safari!
Kufa kirahisi kihivyo aisee bado sana tu safari bado ni ndefu na mwaka huu hakuna mteremko ka miaka ya nyuma. Kazi ipo.
Umesema kweli hata Jk 2005 eti walikua wanamsifia mno. Ndo mana hyo mvuto huongeza kitu kidogo ila si kwa zama hizi aisee.
Namkubali sana Membe ila kwa Muhongo wacha tu home boy ampishe Muhongo anatufaa.
Mbona huyu Membe na JK wanatuchanganya?
Nimemwangalia Membe akiwa na mke wake yani hizi sura zimefanana na zile za Jk na first lady
Mbona huyu Membe na JK wanatuchanganya?
Nimemwangalia Membe akiwa na mke wake yani hizi sura zimefanana na zile za Jk na first lady