Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
pole sana mkuu , hii mbinu ya ushindi ya wapinzani hata Kinana imemchanganya sana !Hivi kwa hiyo strategy yenu ya kuwa mabubu na kuona aibu kuwatangaza wagombea wenu unadhani mtaingia Ikulu?