Uchaguzi 2020 Kutoka viwanja vya CCM, Lindi: Membe atangaza nia ya Urais!

Uchaguzi 2020 Kutoka viwanja vya CCM, Lindi: Membe atangaza nia ya Urais!

Bado mnataka na membe nae awe rais? Mbona mlishatoa rais wa awamu ya tatu bado hamkuridhika? Ina maana makabila mengine hakuna wanaofaa?
Jiheshimuni bwana hata sisi waluguru watani zenu tunautaka huo.

Akili fupi!!!! Mawazo ya team Lowassa haya...
 
Naona Mama Salma yuko Pembeni ya Membe!??? Grrrrrrrrrrrr !!!! Kwisha kazi maana Lowassa akikatwa CCM itakufa kibudu ...
 
Professa kaua, anasema amefanya tafiti kwa UKAWA akapata findings kuwa, kumbe sio UKAWA bali ni UKIWA!!!
 
Mzee mtopa kachafua hali ya hewa UKAWA kauita ukiwa 1433669669449.jpg1433669693249.jpg
 
Team Membe

Kila mtu anasema ni chaguo la Mungu. Najiuliza ni Mungu huyu huyu tunaemwamini ama wenzetu wanae mungu wao.
 
Last edited by a moderator:
Safar ya uhakika toka Kwa membe
Sidhan ukusanyaj wa watu kama kawa wamelala kambi toka juz nami nimewaona wakaniambia twende
Na nyimbo wakaomba wapinzani wawatungie
Ni aibu ccm na bahasha Za kaki zimepita nikaona
 
Hahahahaa mbona huuleweki wewe? Ushaona mmezidiwa nini?

Wala sijazidiwa ila naangalia maslah ya taifa kwanza na sio wana kusini tu mimi nipo kizalendo zaidi.
 
Hivi Watanzania mnajua kuwa Membe amekuwa shushushu kwa miaka zaidi ya 20? Tangu enzi za mwalimu Nyerere.

Shushushu wa nini wakati tembo wetu wameibiwa twiga amepandishwa ndege airport. Eti Shushushu ujinga tu.
 
"Dj tupe mziki ili Mh. Membe acheze kidogo, maana huyu Mh. wetu ajachoka kama yule"

kazi ipo
 
membe anatambika uwanjani,dah kweli ushirikina una safari ndefu
 
Hatuwataki wanaoabudu matambiko. Kwenye tukio mhimu kama hili unakaribisha watu wa matambiko? Hakika huku ni kukosa matumaini. Hatutaki rais wa wachawi tanzania
 
Nchi hii kumbe ni ya Matambiko... so Ajali za April zilikuwa kwa ajili hii?... Job true true ...
 
Back
Top Bottom