Uchaguzi 2020 Kutoka viwanja vya CCM, Lindi: Membe atangaza nia ya Urais!

Uchaguzi 2020 Kutoka viwanja vya CCM, Lindi: Membe atangaza nia ya Urais!

Ccm Wanataka Kutubana Kisheria Haraka Hivi Yaani Kila Kona Ni Wao Wanatangaza Nia October Ndiyo Tunawapuliza Hawa Wote.
 
Nimejaribu kumwangalia na naendelea kumsikiliza Membe KIUKWELI Membe ni moja ya majanga makubwa sana katika siasa hizi za miaka hii. Huyu jamaa hana mvuto wa kiurahisi , hajui hata kuongea pamoja na kuwa ni msomi na jasus mkubwa tu. huyu ana damu nying sana mikonon mwake ni mchafu kuliko ambavyo watu weng wangeweza kudhan. ni aibu kuwa na mtu wa namna hii kama Rais. Binafsi siwezi mpigia kura Membe hata anipe Billion moja.Taifa litakuja kujuta sana kuwa na viongoz mashushu na majasusi kama huyu....
 
Team Membe wamekosa ubunifu - kila kitu wame-cut na ku-paste kutoka kwa Lowassa
 
  • Thanks
Reactions: PPM
Huyu maembe ni j.k type tu...yaani maumivu
 
We Membe hebu ongea yenye mashiko hayo ya nafasi ulizoshika haziwezi kutatua matatizo ya Watanzania
 
Wala sijazidiwa ila naangalia maslah ya taifa kwanza na sio wana kusini tu mimi nipo kizalendo zaidi.
Tupo pamoja katika hili... nipo jirani sana na Mheshimiwa Membe na kiukweli huyu bwana kwangu ni zaidi ya ujirani na kila ninapomwangalia nahisi kama ni usaliti lakini potelea mbali, linapokuja suala la Muhongo, itabidi Membe aniwie radhi kwa kwel... naamini kura yangu moja haiwezi kumwangusha lakini itabidi niikabidhi kwa profesa!!!!
 
"Nani kama Membe.."
Hili jamaa ----- sana. si asubiri asifiwe na sio kujisifia.
 
Hakika UKAWA wanayo kazi yani wanapigwa kutoka kila mkoa leo watapigwa kutoka Lindi na baadae watapigwa kutoka Dar....! Bavicha hawana jinsi inabidi wacheze ngoma ya CCM maana sasa wameamini Rais wa nchi hii lazima atoke CCM!

Time will tell...!!!
 
Mwaka huu tutasikia mengi ila hiki chama kinaelekea kusema bye bye
 
Mwenyekiti wa Mkoa amesema Membe naye yuko kwenye safari ya Matumaini,baada ya kuona kachemsha wakapiga wimbo ili asahihishe kauli,ndo akasema ya kwao ni Safari ya Mafanikio - Team Membe ubunifu ziiiiiiii!
 
Ameanza kwa kuapa kuwa jimbo lake kamwe haliwezi kuchukuliwa na upinzani,litabaki mikönoni mwa CCM daima...hapa nimejiuliza hivi wananchi wakiamua kuchagua mbunge wa upinzani itakuwaje?
 
Back
Top Bottom