Uchaguzi 2020 Kutoka viwanja vya CCM, Lindi: Membe atangaza nia ya Urais!

Uchaguzi 2020 Kutoka viwanja vya CCM, Lindi: Membe atangaza nia ya Urais!

Membe amesafirisha wamwela na wafanya matambiko wote wa umwelani eti anataka urais ikulu itajaa waganga wa kienyeji.
Makafara ndio usiseme mana kutanga nia tu wazee njoni mfanye tambiko la kimwela akiwa rais je si taifazima tutaambiwa tutambike kimwela
 
Hamna kitu,tuambie impact yako kwa Tanzania kutokana na hivyo vyeo vyako,siyo kutaja tu umekuwa waziriwa nini sijui nini?Bora hata Muhongo kipindi chake watu wengi wameunganishiwa umeme,kina Fisadi Mengi wakanyimwa vitalu mpaka wakamfanyia zengwe Muhongo
 
Naona wazungu wapo bize kumpiga Membe picha tu. Sijui kama babu Slaa atapata heshima hiyo.
 
Mvuto upi unazungumzia?wa sura?mambo ya kufuata sura nzuri yametu cost..inabidi tusiangalie sura ila uwezo wa kutawala.
 
Ameanza kwa kuapa kuwa jimbo lake kamwe haliwezi kuchukuliwa na upinzani,litabaki mikönoni mwa CCM daima...hapa nimejiuliza hivi wananchi wakiamua kuchagua mbunge wa upinzani itakuwaje?

watachakachua!! ili kauli yake isimame!!!
 
Mbaka sasa niseme cha maana kilichofanyika hapa ni lili TAMBIKO Membe alilotambika tu.
 
kijana umeishia darasa la ngapi ? sasa hapo una maana gani , hatuna wagombea au tunao lipumba na safari ?

Bavicha mnavichwa vigumu...hapo namaanisha Padri hana nafasi...
 
Jamaani huyu hanasifa kabisa ila team luwasa kale ka afya ka mgombea wenu mbona kanatia shaka
 
Membe Bwana anajisifia tu ,sifa sifa sifa tu,tuambie impacts zako kwa Tanzania toka uwe na ma vyeo yote hayo,Bora hata Lowasa aliunganisha bomba la maji Mwanza shinyanga
 
Hivi kweli UKAWA watawezea wapi kuchukua jimbo la Mtama? Mnapenda sana kudanganywa na kupewa moyo. Membe anachana LIVE.
 
Membe is not a presidential materials kabisa. Yani hotuba yake ni hopeless kabisa, kama mtoto vile
 
DIVA kama kweli vile ... nchi hii kunawajinga wengi sana! Usalama sasa inapewa kipaumbele na si Umasikini na Uchumi wa Watanzania wenye Utajiri wa kila aina ...

Sasa vigezo ni uchapaka kazi na uwajibikaji kwa Watanzania. Uswahili Swahili pembeni. Sio baadae wafanye maamuzi yaje kuwa shida mbeleni.
 
Ooooh!, Katambika kaburini butiama. Aibu katika dunia yenye ushindani wa kisayansi.
 
Membe amesafirisha wamwela na wafanya matambiko wote wa umwelani eti anataka urais ikulu itajaa waganga wa kienyeji.
Makafara ndio usiseme mana kutanga nia tu wazee njoni mfanye tambiko la kimwela akiwa rais je si taifazima tutaambiwa tutambike kimwela

Hahahahahahaaaaaa
 
Back
Top Bottom