johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
KARIBU TUELEKEE 'CAANAN' NA LAMECK M. NCHEMBA! teh teh kwenye asali na maziwa.Kiukweli Mwigulu ni jembe ukimlinganisha na Membe.Aliongea kwa muda mrefu tena akiwa na mipango mizuri hadi huchoki kumsikiliza tofauti na leo hotuba fupi halafu hakuna kitu.
Kama mtu katika dakika kama hii muhimu kabisa ktk maamuzi ya maisha yako na matumaini ya Watanzania unatoa speech nyepesi kama ile mtu huyu anafaa kuwa hata diwani?
KARIBU TUELEKEE 'CAANAN' NA LAMECK M. NCHEMBA! teh teh kwenye asali na maziwa.
Kamanda soma hii kiduchu.
Anawaonea huruma wenzao(Upinzani) kuwa tokea mfumo wa vyama vingi hawajawahi kushinda urais.
-Anawashangaa kuwa kila uchaguzi wanaweka mgombea yule yule ambaye anakuwa kama mfamle.
- Kila uchaguzi wanasingizia kuibiwa kura.
- Anasema kuwa wale wafalme hawataki kuachia ngazi na kubadilisha uongozi wa kifalme( Anaelezea sokosoko utakalopata kama ukitaka kugombea nafasi ya juu utafukuzwa kama panya).
- Anasema uongozi ule ule unaoshindwa miaka yote hawawezi kushinda,watachapwa asubuhi mapema.
KARIBU TUELEKEE 'CAANAN' NA LAMECK M. NCHEMBA! teh teh kwenye asali na maziwa.
Kwa hiyo pale alikuwa anaomba ridhaa kwa UKAWA, maana nusu ya hotuba yake amezungumzia Ukawa na nusu iliyobaki kaongelea matambiko na jinsi chama kilivyo na vyama rafiki vya nje.Pale ni kwa ajili ya kutangaza nia tu na kuomba ridhaa kwa chama. Zamani hayo mambo yalikuwa yakifanywa ndani ya chama ila kwa kuwa vikao kama halmashauri kuu inahusisha wana CCM wengi ndio maana wameweka huu utaratibu wa kujitangaza kupitia vyanzo mbalimbali. Hii inawahusu wana CCM tu. Huu mkutano sio wa kuwaomba kura kwa Watanzania....Watanzania tutawafuata baada ya kikao cha julai 12 na 13 kukaa.
Wewe kilaza...ilani ya chama ndio itasema mgombea wa CCM atafanya nini...ila hayo ya sera uwa hayasemwi siku ya kutanga nia...acha ushamba.
Siku hazigandi bandugu!Hata familia yake sidhani kama anaiongoza vizuri
Membe hivi unatangaza nia au upo kwenye mkutano wa kampeni daahh!!
Weupe wa MEMBE usihusishwe na CCM.
Membe ana hormones za kike sana nini?
Bongo movie wote ni team ya Membe