Uchaguzi 2020 Kutoka viwanja vya CCM, Lindi: Membe atangaza nia ya Urais!

Uchaguzi 2020 Kutoka viwanja vya CCM, Lindi: Membe atangaza nia ya Urais!

Nyie hamna watu wenye sifa ya kuwa Rais zaidi ya Lipumba na Safari!

Rutta..hata sisi hatuna wote wapiga dili hao..labda ajitokeze Salim Ahmed Salim ndio pekee mwenye maono ya kiuungwana..hao wengine wataidhalilisha IKULU yetu ambayo sasa ni mahala pa kupiga dili sio kuanzisha maendeleo endelevu na kuletabuwiano wa pato na maendeleo.
 
Shughuli ya leo imepambwa na usanii mtupu.Sasa hao wasanii wanini?

Wasanii wa bongomovie njaa tupu zinawasumbua kama Jb na Steve nyerere juzi walikuwa kwa Wassira leo kwa membe
 
Kwa ufupi Bernad C Membe ni ndumilakuwili, muoga na mshirikina...!!
Hatakuwa tofauti na Mrisho.....

Kwa uzoefu anaosema anao hakutakiwa kutoa hotuba ya ulaghai na ya hovyo hovyo kiasi kile kile... Anyway inawezekana watu wa kusini na pwani ndo walivo.... Wanapenda soga!!
nilishasema katika wagombea wote ccm hamna mpuuzi kama MEMBE
hajulikani analolisimamia na analolisema.....yaan anataka sjui aishi kwa undumila kuwili hata simkadirri ufinyu wa akili yake
NI MAKONGORO pekee anayeweza kuinasua CCM
 
mimi sio team membe, lakini kusema ukweli kati ya mamvi na membe, membe ni bora kuliko. bahati mbaya hatateuliwa, monduli atachukua hii nchi na membe atatakiwa kuhama nchi hii. sina mengine zaidi hayao.
 
Nchi hii tunaongozwa na watu weupe sana yani sometimes naonaga Zitto yupo sahihi kusema wazee wapumzike ndio wanaturostisha awa.
 
Hakika UKAWA wanayo kazi yani wanapigwa kutoka kila mkoa leo watapigwa kutoka Lindi na baadae watapigwa kutoka Dar....! Bavicha hawana jinsi inabidi wacheze ngoma ya CCM maana sasa wameamini Rais wa nchi hii lazima atoke CCM!
Pamoja na chama chako kumtosa dada yako bado
umen'gan'gana nacho mpaka kifie mikononi mwako?
Subiri kikulipukie
Na safari hii hakiponi , asipokilipua Slaa, EL
atakilipua,maana mnavyompiga vita mmemfanya mpinzani
halisi na lazima awalipue.:A S-rap:
 
Startv wanatoa historia ya membe ya nini?
 
Sasa Mkuu Ritz kwa nini awaongelee hao jamaa hata kabla hajapitishwa na chama chake?

Nilitegemea kwa kuwa tupo katika mapambano ndani ya chama chake angejikita sana huko, mfano jinsi gani atarudisha imani ya chama chake ambacho kwa matokeo ya serikali za mitaa yanaonesha hawakufanya vizuri kama chaguzi za nyuma.

Angeongea ni jinsi gani atawaunganisha makanda wa juu wa chama chake iwapo atapitishwa na chama chake.

Angeongelea jinsi ambavyo mathalani miladi ya chama itasimamiwa ili kukisaidia chama kutotegemea kwa sehemu kubwa ruzuku toka serikalini!
Angeongelea pia mathalani mianya katika chama chake na ataziziba vipi

Then mwishoni angeongelea maswala ya SERA kwa maana nini serikali yake itasimamia pamoja na uwepo wa ilani ya chama.

Kwa mlengi huo, angeonekana zaidi kama mtia nia wa sisiemu na sio kama tayari yeye ni mgombe mteule katika nafasi ya urais.

Cc Team Membe

Achana na suala la yeye kujikita kwenye mambo yake.

Membe azuiliwi kuzungumza mambo ya upande wa pili huko kwa wapinzani. Chukueni ushauri wake....ufalme sio dili...kila siku mtakuwa mnashindwa halafu mnakuja na sababu zile zile...acheni yeye ahofie mambo yake ya kupitishwa na chama.
 
Last edited by a moderator:
Hao watu wanamwita Membe ni raisi labda wa mtwara

Sikutegemea kuona alichokisema leo. Utumbo mtupu! Hakuna maswali ni wasanii tupu wanacheza. Nani kamwambia tunataka kucheza ngoma wakati nchi imekwama kiuchumi? Namuona makongoro hana mpinzani.
 
Membe, wewe ni msomi wa kiwango cha juu unaposema umeongea na Mwalimu Nyerere kwenye kaburi lake kuhusu wewe kugombea urais umemishangaza sana.

Mwalimu Nyerere ni marehemu sasa hivi sasa unaposema umeongea na marehemu sijakuelewa ujue.

Halafu Nyerere na Mungu hawawezi kujadiliana kuhusu wewe daahh!!!.

Haya tuendelee kukusikiliza.

hahahahahaha....Membe bana,,eti ameongea na Nyerere makaburini,,teh teh teh
 
...Si Membe wala Mtu wako Edo wote hawatafika popote...,kwa kifupi hawafai na watakatwa wote kwenye CC subiri uone!

NAOMBA MUNGU HILI LITOKEE MAPEMA KUIEPUSHA CCM na aibu
Yaan bora mchuano uwe MAKONGORO, MAGUFULI na MWIGULU ila sio hao wengine
 
mimi sio team membe, lakini kusema ukweli kati ya mamvi na membe, membe ni bora kuliko. bahati mbaya hatateuliwa, monduli atachukua hii nchi na membe atatakiwa kuhama nchi hii. sina mengine zaidi hayao.
Wote hafai sijaona jipya zaidi ya mipasho
 
Nakumbuka kwenye uzinduzi wa mkutano wa ACT - Wazalendo kule Mwanza kuna mbunge wa CCM alipata mualiko watu walipiga sana kelele kuwa ACT - Tanzania na CCM lao moja.

Sasa leo kulikoni tena kwenye mkutano wa Membe kutangaza nia ya kugombea urais kumejaa wabunge wa Ukawa.

Cc; Mkandara Mchambuzi Mag3 Nguruvi3

Teh Teh hao hawana imani na Slaa
 
Last edited by a moderator:
Sasa Mkuu Ritz kwa nini awaongelee hao jamaa hata kabla hajapitishwa na chama chake?

Nilitegemea kwa kuwa tupo katika mapambano ndani ya chama chake angejikita sana huko, mfano jinsi gani atarudisha imani ya chama chake ambacho kwa matokeo ya serikali za mitaa yanaonesha hawakufanya vizuri kama chaguzi za nyuma.

Angeongea ni jinsi gani atawaunganisha makanda wa juu wa chama chake iwapo atapitishwa na chama chake.

Angeongelea jinsi ambavyo mathalani miladi ya chama itasimamiwa ili kukisaidia chama kutotegemea kwa sehemu kubwa ruzuku toka serikalini!
Angeongelea pia mathalani mianya katika chama chake na ataziziba vipi

Then mwishoni angeongelea maswala ya SERA kwa maana nini serikali yake itasimamia pamoja na uwepo wa ilani ya chama.

Kwa mlengi huo, angeonekana zaidi kama mtia nia wa sisiemu na sio kama tayari yeye ni mgombe mteule katika nafasi ya urais.

Cc Team Membe
Mkuu wangu Malalika

Nimemsikiliza Membe hotuba yake anatakuwa ajipange sana kuna mambo ya muhimu wananchi wanataka kuyasikia kuhusu mstakabali wa maisha yao wameyakosa, inaonekana Membe alikuwa anajiamini sana lakini kwa hotuba hii inabidi ajipange sana.
 
Last edited by a moderator:
I wish iwe hivyo ... Lowassa atakipasua katikati hilo li chama lao ... Wanazania wamechoshwa kwa matambiko ..
...Si Membe wala Mtu wako Edo wote hawatafika popote...,kwa kifupi hawafai na watakatwa wote kwenye CC subiri uone!
 
Back
Top Bottom