Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,563
Sio wote, ila kuna baadhi wako hivyo! Kama walivyo wa UKAWA.
Membe na Lowasa vichwa vyao ni weupe kabisa mbona hawajaulizwa maswali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wote, ila kuna baadhi wako hivyo! Kama walivyo wa UKAWA.
Steve nyerere naye yupo na kwa wassira alikuwepo.
Usanii unaendelea
hah hah hahah membeeeee embe bovu kweli kweli.....nyerere alimjibu nini makaburini...........ulaghai mtupuhahahahahaha....Membe bana,,eti ameongea na Nyerere makaburini,,teh teh teh
Steve nyerere naye yupo na kwa wassira alikuwepo.
... Mbona Wabunge Wa Ukawa Wamejazana Hapo. Namuona Mangungo Na Mama Wa Cdm
chonde chonde vyama vya upinzani wekeni maslahi ya TAIFA mbele,tafadhali sana wekeni mgombea mmoja wa URAISI,Membe kishaahidi kuwalinda maraisi waliopita.Vyama vya upinzani sikilizeni vilio vya watanzania kama kweli mna nia njema na maslahi ya TAIFA
Janauary anatanga nia yake saa ngapi na tv gani wanarusha
Janauary anatanga nia yake saa ngapi na tv gani wanarusha
NAOMBA MUNGU HILI LITOKEE MAPEMA KUIEPUSHA CCM na aibu
Yaan bora mchuano uwe MAKONGORO, MAGUFULI na MWIGULU ila sio hao wengine
Wabunge wa UKAWA hawana imani na Slaa waneona wamuunge mkono Membe!