Tangu waanze kutangaza nia membe Leo ameharibu.
1.hajaeleza dira dhidi ni historia yake.
2.kutukana wapinzani wakati hajapitishwa bado na cc .
3.Ameshindwa kuwa na Hoja sahihi zaidi ya kueleza tambo za rushwa bila kuzifahamu sheria za rushwa .
4.Kuivua nguo serikali wakati yeye ni mmoja wapo.
5.Kueleza habari za kaburi la nyerere wakati makongoro analala juu ya kaburi la baba yake.
5.Amefeli kuelezea kwanini awe yeye na si mwingine.
6.Pia amejishushia hadhi pale aliposema kawa kiongozi wa CCM tangu enzi za nyerere,Mwinyi,Mkapa ila hakuwahi kuwa hata balozi wa CCM wa nyumba kumi means viongozi wa awamu tatu hawakumuamini .Busara angekaa kimya angetangazia nia chumbani akiwa yeye na mke wake.
Kweli amekosa washauri wa kumweleza cha kusema ? na waandishi wa hotuba mlishindwa kumwandikia ya msingi zaidi ya Ngoma za kimwela?,
Ndio maana Nasema Leo mh membe umetia aibu kweli hotuba ya kuwania urais uzungumzie "Ukiwa rais utakataza pombe kwa wanaume wanaowanywea watu" Kweli membe uko serious hata Huyo shemeji hawezi kukubeba kwa style hii .Hotuba yako haukuipanga ktk mtindo wa nini cha kufanya kwa Tanzania ijayo ndo maana ulikuwa ukisema nani kama membe watu kimya.
Tunakushauri kaa pembeni maana huwezi kujenga Hoja zenye mantiki na mashiko.
Ahsante
Twalb zubeir
FBI .