Uchaguzi 2020 Kutoka viwanja vya CCM, Lindi: Membe atangaza nia ya Urais!

Uchaguzi 2020 Kutoka viwanja vya CCM, Lindi: Membe atangaza nia ya Urais!

muda c mref ametambulishwa jukwaani kama kada wa ccm na kupewa kipaza sauti aimbe wimbo..pamoja naye ni mastaa wa bongo muv akina kigosi,JB,mkwere na wengne...lakin kwann wasanii kwa kipindi wamekua na muamko mkubwa sana na siasa kuliko wakati mwingine...
 
Utoe speech mara ngapi?? We si kila siku unatoa speech kuhusu kiba

Hahahahahaaaa, Wallah nimecheka sana.
Kiba yule ni msanii tu na mimi ni shabiki.
Mimi naongelea mume, wewe nae uchokozi tu.
 
Hivi unapokuwa unatangaza nia unatakiwa kusema nini na nini? Na usiseme nini?

Naombeni jibu halafu tuje tuichambue hii hotuba ya BM
 
Membe ana sifa zote zinazohitajika, hana waratibu wazuri wa shughuli, maboresho yanahitajika haraka sana!
 
"Nikichaguliwa kuwa rais lazma nihakikishe wakina baba wanawaheshimu wakina mama" Ahadi zilezile la 2005, maisha bora kwa kila Mtanzania zimeanza. Ahadi hii ina target kura za akina mama, na akiwaongezea kanga basi kazi amemaliza.
 
Hotuba ya Rais ajaye Wa Tanzania Benard Membe imekua ya mfano na hata Yeye mwenyewe ameitendea haki kwa kuiwasilisha vizuri
ana sifa za Rais na mpinzani wake pekee hadi sasa ni Makongoro Nyerere..
 
amesema atawapa wanawake wa tanzania pesa iki waachike...pia kasema wanaume wanaokunywa pombe wakome...akiingia madarakani atawashughulikia
 
Ila kutangaza nia wakati hutaki kusema ubaya au udhaifu wa kiongozi aliyepo sio kazi ndogo.Nadhani ndio mtihani aliokutana nao Membe matokeo yake inabidi uzungukezunguke tu.

Namsubiri Pinda, sijui atasema nin wakati ni waziri mkuu

Bilali yeye akaishia tu kusema ataongoza kisayansi, sasa sijui kikwete anaongoza ki-art
 
Achana na suala la yeye kujikita kwenye mambo yake.

Membe azuiliwi kuzungumza mambo ya upande wa pili huko kwa wapinzani. Chukueni ushauri wake....ufalme sio dili...kila siku mtakuwa mnashindwa halafu mnakuja na sababu zile zile...acheni yeye ahofie mambo yake ya kupitishwa na chama.

HAMY-D
Huwa sina tabia ya ubishi, wala ya kujaribu kumuelewesha mtu ambaye ananjaa.

Tegemea hii ndiyo reply yangu ya kwanza na ya mwisho.

Watu tunaleta njaa zetu katika maswala nyeti kabisa kama haya, baada ya kutafakiri na kumjua mtia nia ataifanyia nini Tanzania tunalwta matumbo yetu yenye njaa.

Baada ya bomba linalounganisha tumbo lako na Monduli kukatwa umekuwa kama mwehu, hutafakari, hufikirii wala husomi, linalokujia ko hwani ndio huliandika ili upata msosi toka bomba jipya ulilounganishiwa.

Kuwa mstaarabu Mkuu, soma taratibu fumba macho, tafakari then type hoja bila kulifikiria tumbo lako.
 
Last edited by a moderator:
Hotuba ya Rais ajaye Wa Tanzania Benard Membe imekua ya mfano na hata Yeye mwenyewe ameitendea haki kwa kuiwasilisha vizuri
ana sifa za Rais na mpinzani wake pekee hadi sasa ni Makongoro Nyerere..

Membe ndie rais ajaye
 
Duh pombe gani inapatikana lindi maan leo siyo jamaa hakuwa sawa

Wewe ndio unasema hakuwa sawa. Jamaa kapafomu at extra level. Si umeona mwenyewe Alivyosgangiliwa. Tanzani tuna safari ndefu.
 
Wengi wa wanaCCM wanaotangaza kugombea uraisi wamekuwa wakijigamba kutaka kuleta mabadiliko.

Wengi wameonyesha kutoridhishwa na mwenendo wa serikali ya sasa, hivyo kujinadi kuleta mabadiliko..

Wote ni wanafiki, na wasanii. Wapo humohumo ndani ya CCM, na wengine hata serikalini. Wamekumbatia yote yanayoendelea sasa. Wameshindwa kuyataka hayo mabadiliko hata kwa maneno tu, leo wanatuhadaa kuleta mabadiliko


Wapo wanaCCM wawili tu waliodhihirisha kweli kutaka mabadiliko kwenye mienendo mibovu ya chama chao

Hao sio wengine bali ni Mansoor Himid na mzee Moyo.

Wengine wote waliokumbatia system ya kifisadi ya hicho chama, wakistawishwa kwa matunda ya wizi na ubadhirifu wa mali na haki za watanzania masikini, kisha leo wanasimama hadharani kusema eti wanataka kugombea ili walete mabadiliko ni waongo na wasanii

Hamkuaminika kwa madogo, tuwaaminije kwa makubwa?!!!
 
Mama CCM itawalazimisha wagombea wote waende kwenye midahalo, naanza kuona kung'aa kwa Mwigulu, January na Mzee Wasira.

Mwandosya simjui kwenye midahalo, Muhongo sifa nyingi ataharibu, Membe apunguze kujiamini, Makongoro uswahili mwingi.

Ila wa mwisho kuliko wote, Fisadi Lowassa, araishia kupata vigugumizi tu huku akikodoa macho kama vijana wake watamuelekeza kwa ishara ajibu nini.
 
Ebu twendeni taratibu na swala hli, Tutazame upande wa pili wa shilingi. Kwa nini watu mnafikiri Membe hafai? Ana mapungufu gani kama kiongozi na kwa nini watu mnafikiri Mwigulu amefanya vizuri kuliko Membe katika kuweka nia!. NIA ni kitu gani?

Hivi kati ya wagombea wote wa CCM kuna mmoja ambaye nyie mnafikiri ni bora zaidi ya wengine? na kwa nini?
 
Ila kutangaza nia wakati hutaki kusema ubaya au udhaifu wa kiongozi aliyepo sio kazi ndogo.Nadhani ndio mtihani aliokutana nao Membe matokeo yake inabidi uzungukezunguke tu.


Namsubiri Pinda, sijui atasema nin wakati ni waziri mkuu

Bilali yeye akaishia tu kusema ataongoza kisayansi, sasa sijui kikwete anaongoza ki-art

Yeye Atalia tu
 
Back
Top Bottom