Kamanda soma hii kiduchu.
Anawaonea huruma wenzao(Upinzani) kuwa tokea mfumo wa vyama vingi hawajawahi kushinda urais.
-Anawashangaa kuwa kila uchaguzi wanaweka mgombea yule yule ambaye anakuwa kama mfamle.
- Kila uchaguzi wanasingizia kuibiwa kura.
- Anasema kuwa wale wafalme hawataki kuachia ngazi na kubadilisha uongozi wa kifalme( Anaelezea sokosoko utakalopata kama ukitaka kugombea nafasi ya juu utafukuzwa kama panya).
- Anasema uongozi ule ule unaoshindwa miaka yote hawawezi kushinda,watachapwa asubuhi mapema.