Nyie hamna watu wenye sifa ya kuwa Rais zaidi ya Lipumba na Safari!
Amejua kuwa amechemsha sasa anajifariji kwa kujaribu kuinanga CCM ....
Shughuli ya leo imepambwa na usanii mtupu.Sasa hao wasanii wanini?
nilishasema katika wagombea wote ccm hamna mpuuzi kama MEMBEKwa ufupi Bernad C Membe ni ndumilakuwili, muoga na mshirikina...!!
Hatakuwa tofauti na Mrisho.....
Kwa uzoefu anaosema anao hakutakiwa kutoa hotuba ya ulaghai na ya hovyo hovyo kiasi kile kile... Anyway inawezekana watu wa kusini na pwani ndo walivo.... Wanapenda soga!!
Shughuli ya leo imepambwa na usanii mtupu.Sasa hao wasanii wanini?
Pamoja na chama chako kumtosa dada yako badoHakika UKAWA wanayo kazi yani wanapigwa kutoka kila mkoa leo watapigwa kutoka Lindi na baadae watapigwa kutoka Dar....! Bavicha hawana jinsi inabidi wacheze ngoma ya CCM maana sasa wameamini Rais wa nchi hii lazima atoke CCM!
Sasa Mkuu Ritz kwa nini awaongelee hao jamaa hata kabla hajapitishwa na chama chake?
Nilitegemea kwa kuwa tupo katika mapambano ndani ya chama chake angejikita sana huko, mfano jinsi gani atarudisha imani ya chama chake ambacho kwa matokeo ya serikali za mitaa yanaonesha hawakufanya vizuri kama chaguzi za nyuma.
Angeongea ni jinsi gani atawaunganisha makanda wa juu wa chama chake iwapo atapitishwa na chama chake.
Angeongelea jinsi ambavyo mathalani miladi ya chama itasimamiwa ili kukisaidia chama kutotegemea kwa sehemu kubwa ruzuku toka serikalini!
Angeongelea pia mathalani mianya katika chama chake na ataziziba vipi
Then mwishoni angeongelea maswala ya SERA kwa maana nini serikali yake itasimamia pamoja na uwepo wa ilani ya chama.
Kwa mlengi huo, angeonekana zaidi kama mtia nia wa sisiemu na sio kama tayari yeye ni mgombe mteule katika nafasi ya urais.
Cc Team Membe
Hao watu wanamwita Membe ni raisi labda wa mtwara
Membe, wewe ni msomi wa kiwango cha juu unaposema umeongea na Mwalimu Nyerere kwenye kaburi lake kuhusu wewe kugombea urais umemishangaza sana.
Mwalimu Nyerere ni marehemu sasa hivi sasa unaposema umeongea na marehemu sijakuelewa ujue.
Halafu Nyerere na Mungu hawawezi kujadiliana kuhusu wewe daahh!!!.
Haya tuendelee kukusikiliza.
...Si Membe wala Mtu wako Edo wote hawatafika popote...,kwa kifupi hawafai na watakatwa wote kwenye CC subiri uone!
Wote hafai sijaona jipya zaidi ya mipashomimi sio team membe, lakini kusema ukweli kati ya mamvi na membe, membe ni bora kuliko. bahati mbaya hatateuliwa, monduli atachukua hii nchi na membe atatakiwa kuhama nchi hii. sina mengine zaidi hayao.
Sio wote, ila kuna baadhi wako hivyo! Kama walivyo wa UKAWA.labda niseme hivi wagombea wa ccm ni wepesi kuliko pamba , pia ni waongo !.
Nakumbuka kwenye uzinduzi wa mkutano wa ACT - Wazalendo kule Mwanza kuna mbunge wa CCM alipata mualiko watu walipiga sana kelele kuwa ACT - Tanzania na CCM lao moja.
Sasa leo kulikoni tena kwenye mkutano wa Membe kutangaza nia ya kugombea urais kumejaa wabunge wa Ukawa.
Cc; Mkandara Mchambuzi Mag3 Nguruvi3
Mkuu wangu MalalikaSasa Mkuu Ritz kwa nini awaongelee hao jamaa hata kabla hajapitishwa na chama chake?
Nilitegemea kwa kuwa tupo katika mapambano ndani ya chama chake angejikita sana huko, mfano jinsi gani atarudisha imani ya chama chake ambacho kwa matokeo ya serikali za mitaa yanaonesha hawakufanya vizuri kama chaguzi za nyuma.
Angeongea ni jinsi gani atawaunganisha makanda wa juu wa chama chake iwapo atapitishwa na chama chake.
Angeongelea jinsi ambavyo mathalani miladi ya chama itasimamiwa ili kukisaidia chama kutotegemea kwa sehemu kubwa ruzuku toka serikalini!
Angeongelea pia mathalani mianya katika chama chake na ataziziba vipi
Then mwishoni angeongelea maswala ya SERA kwa maana nini serikali yake itasimamia pamoja na uwepo wa ilani ya chama.
Kwa mlengi huo, angeonekana zaidi kama mtia nia wa sisiemu na sio kama tayari yeye ni mgombe mteule katika nafasi ya urais.
Cc Team Membe
...Si Membe wala Mtu wako Edo wote hawatafika popote...,kwa kifupi hawafai na watakatwa wote kwenye CC subiri uone!