Uchaguzi 2020 Kutoka viwanja vya CCM, Lindi: Membe atangaza nia ya Urais!

Uchaguzi 2020 Kutoka viwanja vya CCM, Lindi: Membe atangaza nia ya Urais!

"Hatutamfumbia macho mla rushwa,lazima nchi tuiweke kwenye mstari wa Mwl.Nyerere,Mwinyi, Mkapa na Kikwete" SWALI. Ni kweli hizi awamu zote hazija wafumbui macho wala rushwa? na nchi ilitoka kwenye mstari awamu ya tatu na nne hadi irudishwe kwenye mstari wa Mwl. Nyerere,Mwinyi,Mkapana Kikwete? kazi kwenu wana jf! kwa hoja za kina na si propaganda!

Hiyo ni sentensi ya kichaa kichaa tu. Sasa kama serikali ya Kikwete ipo kwenye msitari sahihi, hiyo inayorudishwa "kwenye msitari huo" ni serikali ya nani?
 
Urais ni lahisi Tanzania kwa sababu ya viwango vya uelewa wa watanzania....jiulize nini walikuwa wakishangilia!
 
Membe ni mtia nia aliewa disappoint wapambe wake kuliko timu zingine zote ... hotuba ya matambiko na mizimu mwanzo mwisho ...
 
Nimemsikia Bwana Maembe,lakini anachoongea ni sawa na mlevi!Hakika wamelewa madaraka maana wanavyotufikiria kwamba watanzania ni MAZOMBIE..........
 
"Hatutamfumbia macho mla rushwa,lazima nchi tuiweke kwenye mstari wa Mwl.Nyerere,Mwinyi, Mkapa na Kikwete" SWALI. Ni kweli hizi awamu zote hazija wafumbui macho wala rushwa? na nchi ilitoka kwenye mstari awamu ya tatu na nne hadi irudishwe kwenye mstari wa Mwl. Nyerere,Mwinyi,Mkapana Kikwete? kazi kwenu wana jf! kwa hoja za kina na si propaganda!

Membe kasema atahakikisha anawalinda Maraisi wastafu kwa njia yoyote ile hakuna Mtu atakayewagusa. Hii Statement Siyo Nzuri... kuna baadahi ya Maraisi wanaonekana ni Mafisadi inakuwaje hapo? Membe Ulitakiwa Ukae kimya usiliongelee hila ila Iwe Siri Yako utakapo chukua Madaraka. Kwa mantiki tuliyo nayo sasa ni kwamba Utawalinda mafisadi
 
"Hatutamfumbia macho mla rushwa,lazima nchi tuiweke kwenye mstari wa Mwl.Nyerere,Mwinyi, Mkapa na Kikwete" SWALI. Ni kweli hizi awamu zote hazija wafumbui macho wala rushwa? na nchi ilitoka kwenye mstari awamu ya tatu na nne hadi irudishwe kwenye mstari wa Mwl. Nyerere,Mwinyi,Mkapana Kikwete? kazi kwenu wana jf! kwa hoja za kina na si propaganda!
LOWASA AMETOKA AWAMU IPI YA URAIS???
kAMA HILO LIPO HIVYO JE IN AWAMU IPI IMEJAA RUSHWA AMBAYO MEMBE ANATAKA KUIONDOA???
 
Na mashaka na wale aliowatuma kuuliza kama anakubalika au la?
 
Mh! uchaguz upite vichaa waishe mjini ckuamin hotuba ya msomi inaweza kua ivo kma mganga wa kienyeji na ramuli chonganishi
 
kufilisika kwa uhalisia wa kitu au jambo ni kubaya sana,nilisikiliza hotuba yake nikabaki najiuliza maswali lukuki yasiyo na majibu kama kweli huyu mtu anajitambua au anaona wadanganyika ni mazombie tu?

Anaota ndoto za mchana, membe kwenda ikulu ni sawa na Tembo kupenya kwenye Tundu la sindano.
 
Hakuna mtu mwenye akili timamu,upendo wa dhati na Tanzania Na asiye na maslahi binafsi anayeweza kuchagua CCM. WOOTE wanao ona CCM bado Inafaa ni lazima wa we aidha hawana akili timamu au hawana upendo na uchungu wa dhati na nchi yetu au kama a na b hawana basi wana sukumwa na maslahi binafsi yao na familia zao.
 
membe ametuangusha sana wana kusini. amezidiwa mpaka na kijana january makamba. yaani waziri wa mambo ya nje anazungumza mashudu kiasi kile.
 
Jitafakari hata wewe kama unampango wa kulipa kura CCM hapo October. Kama unaona haupo makundi hayo matatu basi jua uko kundi la kwanza la wasio na akili timamu ndio maana hata uelewa mdogo HUNA.
 
Hakuna mtu mwenye akili timamu,upendo wa dhati na Tanzania Na asiye na maslahi binafsi anayeweza kuchagua CCM. WOOTE wanao ona CCM bado Inafaa ni lazima wa we aidha hawana akili timamu au hawana upendo na uchungu wa dhati na nchi yetu au kama a na b hawana basi wana sukumwa na maslahi binafsi yao na familia zao.

huo ndo ukweli mkuu. kuendelea kuchagua ccm ni majanga.
 
Dah kwakwel mimi sikutegemea Mh. Membe angetoa hotuba ka ile, kwanza kajichanganya katia nia uchaguz wa 2010 na co huu mara kwa mar anataja mwak huo badala ya 2015, lakin pia maneno yake ya kusema wanawak watapewa mikop ili hata wakiachana na wanaume zao wajikim kaul hii inapingana na uvumil kweny ndoa badal yake itakua jno kwa jno, kasema wanywa pombe akiingia ikul mtaipata fresh bt hotub nyepes sanaa
 
Dah kwakwel mimi sikutegemea Mh. Membe angetoa hotuba ka ile, kwanza kajichanganya katia nia uchaguz wa 2010 na co huu mara kwa mar anataja mwak huo badala ya 2015, lakin pia maneno yake ya kusema wanawak watapewa mikop ili hata wakiachana na wanaume zao wajikim kaul hii inapingana na uvumil kweny ndoa badal yake itakua jno kwa jno, kasema wanywa pombe akiingia ikul mtaipata fresh bt hotub nyepes sanaa

katika Hotuba Dhaifu kuliko zote zilizotolewa Ya MEMBE imeongoza. AIBU SANA , NI TOFAUTI na NILIVYOKUWA NAMCHUKULIA .
 
Akiteuliwa kugombea, picha itamsaidia kumpa kura za wamama.

Nakumbuka ata chuo sie tusiokuwa "presentable" tulikuwa tunadisadvantage kwenye angle hiyo maaba viumbe wetu hawa kitu cha kwanza walikuwa wanangalia muonekano wa mtu.Mitaani, vijijini na uswahilini ndio usiseme.

Kwahiyo Hiyo Pua Yake Ndiyo Itawavutia Akina Mama Zetu? Hebu Watake Radhi.
 
katika Hotuba Dhaifu kuliko zote zilizotolewa Ya MEMBE imeongoza. AIBU SANA , NI TOFAUTI na NILIVYOKUWA NAMCHUKULIA .

Yaan mkuu upo ka mimi yan nilitegemea hotuba yenye madini kias cha kuipa Ukawa homa yan dah aisee hata kambi yake nahis wamejickia vbya sana.
 
1467255_458300874338426_2832509939649014248_n.jpg
 
Back
Top Bottom