Uchaguzi 2020 Kutoka viwanja vya CCM, Lindi: Membe atangaza nia ya Urais!

Uchaguzi 2020 Kutoka viwanja vya CCM, Lindi: Membe atangaza nia ya Urais!

Membe anatangaza nia ya kugombea urais au anafanya campaign za urais? simuelewi kabisa
 
Duh! Kwa halo waliyonayo magamba, mpaka sasa hakuna mgombea wa ccm kwenye majibu ya watanzania, ninachokiona mbele yao ni giza totoro.
Mpaka sasa sijaona Rais ajaye kupitia ccm.
 
Piga kelele hadi mishipa ikusimame lakini Membe hawezi kuwa rais wa nchi hii

Kama ulikua hujui...hilo nalifahamu fika...hata Membe anajua hilo. Ila cha msingi urais ubaki CCM na asiwe Lowassa. Hilo ndilo la msingi kwetu.
 
nilisali kwenye kaburi la nyerere ndio mambo ya kuliambia taifa?????
HUYU MEMBA bora JK
 
Hivi huyu jamaa alipataje uwaziri?Ni mtupu sana kichwani,kama watia nia wengine wanaongea kama vile matatizo ya serikali haya hayawahusu.
 
Hao watu wanamwita Membe ni raisi labda wa mtwara
 
Tusubiri zamu yetu honey wala usijali tutawakalisha woote hao

Hahahahahahaaa natamani ningepata hiyo nafasi hawa wamama wajinga sana.
Au hawaruhusiwi nini?
Lakini kila mwanaume aliyefanikiwa nyuma yake yupo mwanamke shupavu, ushupavu wao uko wapi?
 
... Mbona Wabunge Wa Ukawa Wamejazana Hapo. Namuona Mangungo Na Mama Wa Cdm
 
Nimekua disappointed sana.Nilitegemea makubwa kutoka kwa Membe lakini nilichokiona ni tofauti.
Hivi ungekua mke wa mtangaza nia usingeongea japo jambo kidogo?
Hata kumsifia? Hawa wamama wanatia aibu sana.

Mwenyewe kani disappoint sana Leo nilijua ataongea ya maana badala yake kachaganya madesa. Yani nilichotegemea tofauti kabisa.
Hawa wake za viongozi weupe mno hivi hawajifunzagi hata kuongea ili kuonekana wana support. Wanatia aibu hivi utakosaje cha kuongea kumu support mume.
 
Badala ya kuweka nia mbele yeye analeta majungu jukwaani. Kwa mwendo huu tunasafari ndefu sana
 
YAAAAAAAANI membe ni weakest kabisa mweupe bureeeeeeeeee hata kwa mwigulu hasogei
 
No wonder kusini wanaendelea kuwa masikini
 
Duh! Kwa halo waliyonayo magamba, mpaka sasa hakuna mgombea wa ccm kwenye majibu ya watanzania, ninachokiona mbele yao ni giza totoro.
Mpaka sasa sijaona Rais ajaye kupitia ccm.

LABDA HUKUMSIKILIZA makongoro
 
Back
Top Bottom