Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna jamaa humu alisema eti mtu mweusi ni kima aliyechangamka, sasa sijui kwa nini alifikia hatua ya kusema hayo maneno!!!Kwa hatia hiyo ninaamini serikali yake itafanya vizuri.
Ngozi nyeupe Wana kitu cha ziada kichwani kuliko sisi
Tulishawahi kuwa nao huko nyuma lakini hawakufikia madaraka makubwa kiasi hicho enzi za miaka ya 60 na 80s walikuwepo wengi tu. Hanspope na Hatibu Gandhi (Hatty McGee)
Mwaka gani hiyo mkuu : Wewe ulikuwa unaishi Mbeya sehemu gani, umecheza na mtoto yupi ???Tumecheza Sana kwake enzi za utundu wetu apo Iwambi mbeya Kwa Walden,kwenye vibustani vyake (home)
Marekani imejaa watu wenye asili ya mataifa mbali mbali katika kila nyadhifa, imagine Musk heshima anayopewa japo asili yake ni South Africa, tuacheni ubaguzi.Muhindi au mwarabu akishika wadhifa mleta mada jua utakuwa unanyewa mdomoni kila siku iitwayo leo
Marekani sio nchi ya wazungu..ni wahindi wekundu..ila wazungu walipoingia waliwaua sana..hawana claim ya kuwa amerika ni ardhi yao tofauti na sisi waafrika afrika ndio kwetu halisi.Marekani imejaa watu wenye asili ya mataifa mbali mbali katika kila nyadhifa, imagine Musk heshima anayopewa japo asili yake ni South Africa, tuacheni ubaguzi.
Haiwezekani,hawana madaraka wanatudharau hiviMarekani imejaa watu wenye asili ya mataifa mbali mbali katika kila nyadhifa, imagine Musk heshima anayopewa japo asili yake ni South Africa, tuacheni ubaguzi.
Unamwamini mzungu ili iweje? Mzungu almekulia na kusoma Zambia, haiwezi kumfanya awe mzalendo wa Zambia.Kwa hatia hiyo ninaamini serikali yake itafanya vizuri.
Ngozi nyeupe Wana kitu cha ziada kichwani kuliko sisi
Hata ushenzi wametuzidiKwa hatia hiyo ninaamini serikali yake itafanya vizuri.
Ngozi nyeupe Wana kitu cha ziada kichwani kuliko sisi
Unamwamini mzungu ili iweje? Mzungu almekulia na kusoma Zambia, haiwezi kumfanya awe mzalendo wa Zambia.
Mzungu popote alipo ikifika saa ya kuitumikia nchi yake ya asili hubadilika na kufanya yake.
Unakumbuka Kenya ilivyotumika kuusaidia Israel dhidi ya Id Amin kuokoa mateka? Si ikuwa raia wa Kenya yule?
Usimwamini mzungu hata kama ni kichaa
Ukimpinga huyo jamaa aliye sema Hivyo unakuwa ujatafakari bila kujali umimi.Kuna jamaa humu alisema eti mtu mweusi ni kima aliyechangamka, sasa sijui kwa nini alifikia hatua ya kusema hayo maneno!!!
Ushenzi upi? Kwako Ushenzi ni nini?
TEH..TEH... Kwa kifupi tu huyu mjane Gandi ni rafiki wa mke wangu! upo hapoWewe ulisimuliwa au akili yako imekufikirisha kua hayo majina yao lazima watakua wahindi au waarabu au uliwaona kwa macho yako?
Bila shaka yeyote nadhani wakati wa akina Hans pope na Hatibu Gandi wewe ulikua si kiumbe wa kuhsabika katika huu ulimwengu
Na kama vile siku za usoni atatokea mtu kama wewe na kutuambia mtangazaji wa TBC /ITV nadhani FARHIYA MIDDLE alikua muhindi au muarabu
TEH..TEH... Kwa kifupi tu huyu mjane Gandi ni rafiki wa mke wangu! upo hapo
Mimi simuamini mzungu, mimi ninaamini uwezo/ufanisi wa mtu.Unamwamini mzungu ili iweje? Mzungu almekulia na kusoma Zambia, haiwezi kumfanya awe mzalendo wa Zambia.
Mzungu popote alipo ikifika saa ya kuitumikia nchi yake ya asili hubadilika na kufanya yake.
Unakumbuka Kenya ilivyotumika kuusaidia Israel dhidi ya Id Amin kuokoa mateka? Si ikuwa raia wa Kenya yule?
Usimwamini mzungu hata kama ni kichaa.
Mbona aliyeinua na kusimamisha bendera ya Taifa siku ya Uhuru alikuwa mhindi...1961Mkuu wa kikosi cha Anga cha jeshi la Zambia, Lt. General Collin Barry.
Rais wa sasa Hakainde Hichilema alipokuwa anakusanya kikosi kazi ameamua kumchukua m_skottish Collin Barry asaidie kuipeleka mbele Zambia.
Pamoja na kukulia na kusomea Zambia na wazazi wake ubaguzi kwa nchini humo haukuwa na nafasi kumfanya asiendeleze hisia na kipaji kilichomfikisha hapo alipo.
Nini kinashindikana hapa nchini?
View attachment 1916496
usijitoe haraka anaweza kuwa mke wangu kuwa bibi yangu!Umeshinda