KUTOKA ZAMBIA: Hii ifungue njia kwa Watanzania wenye asili ya Kihindi na Kiarabu kuwa wakuu wa Majeshi

KUTOKA ZAMBIA: Hii ifungue njia kwa Watanzania wenye asili ya Kihindi na Kiarabu kuwa wakuu wa Majeshi

Tulishawahi kuwa nao huko nyuma lakini hawakufikia madaraka makubwa kiasi hicho enzi za miaka ya 60 na 80s walikuwepo wengi tu. Hanspope na Hatibu Gandhi (Hatty McGee)
Mkuu wa kikosi Cha ndegevita ngerengere morogoro kipindi Cha mkapa alikuwa mwarabu shombeshombe
 
Kama Hatibu Gandi alikua babu yako kazi yake ilikua nini na alisomea wapi pia ni kabila gani?
unaonekana oko very interested na huyu mtu? kiufupi sina mahusiano naye zaidi ya kufamiliana na mke wake kupitia mke wangu wakati huo ambaye yeye walikuwa wanafanya biashara pamoja na huku mama huyo akiwa mhasibu nilimpenda kwa jinsi alivyo kuwa anaishi kwa furaha na familia yake na akimtumikia MUNGU wakati huo nikiwa kijana mdogo sana ndo nimeoa tu na nikawa namweshimu mambo mengine ni kuweka kumbukumbu sawa za nchi yetu kwa kadri ya uzi ulivyokuwa.
 
unaonekana oko very interested na huyu mtu? kiufupi sina mahusiano naye zaidi ya kufamiliana na mke wake kupitia mke wangu wakati huo ambaye yeye walikuwa wanafanya biashara pamoja na huku mama huyo akiwa mhasibu nilimpenda kwa jinsi alivyo kuwa anaishi kwa furaha na familia yake na akimtumikia MUNGU wakati huo nikiwa kijana mdogo sana ndo nimeoa tu na nikawa namweshimu mambo mengine ni kuweka kumbukumbu sawa za nchi yetu kwa kadri ya uzi ulivyokuwa.

Hayo ndio maneno ya kiutu uzima mzee.
 
Mbona aliyeinua na kusimamisha bendera ya Taifa siku ya Uhuru alikuwa mhindi...1961
Aliyetunga Jina la Tanzania nae mhindi...
Historia pia ina thibitisha majina ya miji/Mike na mitaa mingi Nchini ni ya KIARABU..... au vipi ??? role yao inatosha sasa.
Waje wa China nao...
Although naweza sema kile kizazi kilifanya yale kwa sababu bado nchi yetu ilikuwa bado haijawa na wazawa wa kutosha wenye uwezo, taaluma na kujitolea kama kipindi tulichopo

Let talk hiki kizazi kipya cha wahindi na waarabu hawa hawa unaoishi nao huko uswahilini nk, not old one.
 
Hayo ndio maneno ya kiutu uzima mzee.
ila umesababisha niende mbali zaidi kwa kumuuliza huyo jamaa alikuwa anatokea familia moja ya Kisharif pale Bagamoyo kwa wale tuliosoma Bagamoyo tunaielewa hii familia ndo familia iliyokuwa ya watwana pale Bagamoyo Kikwete pamoja na kutoka katika familia ya kipekee lakini lazima familia hii ilikuwa lazima afahamiane nao ilikuwa huwezi kufanya kitu Bagamoyo cha maana bila familia hii ya kina sharif kuhusishwa pamoja na kina shehe Ramia. kwa sasa wamepigiga mdogo wake mmoja alikuwa anakuja disco bagamoyo sec akikukuta na demu mzuri anacheza naye yeye na lazima demu akuteme acha kabisa ukibisha ukishuka mjini utaipata wapambe lazima wakutie mkwala.
 
Nchi hii kwa ubaguzi, ukabila ulivoanza kuota mizizi, leo gabachori awe mkuu huko jeshini😆😅
Nakunya Sumbawanga mpaka Ferry Kigamboni, kila kimba naweka buku.

Nafasi tu za kawaida ofisi za serikali hawapewi, hata wao hawawazii eti DC mkurugenzi, hata ukienda wizara ya mambo ya nje sidhani ka wapo hata mabalozi wenye asili ya uarabu au uasia.

Everyday is Saturday................................😎
 
Kuna kitu kinakosekana katika habari hii. Ukweli ni kwamba Mkuu huyo wa majeshi ya Zambia ni chotara. Babake ni Mskochi toka Scotland wakati Mamake ni Mzambia. Fikiria Obama anajulikana kama Mmarekani mweusi. Je wajua kwamba Baba yake alikuwa Mwafrika toka Kenya ila Mama yake ndiye mzungu.
 
Hao kwetu zamani ilikuwa ni kwa sababu walikuwa wasomi na hivyo wazungu ndio waliwaweka hapo

Ila baada ya uhuru mambo yakawa tofauti baada ya wao kustaafu mabadiliko yakaanza

Serikali ndio inatakiwa ihamasishe watu kujiunga na majeshi yote au ofisi za serikali
Ila kama serikali ikikaa kimya au haiwataki wazawa wenye asili tofauti
Huo ni ubaguzi wa hali ya juu kwani hata akitokea mmoja akafanya kazi serikalini watu watamsema sana kwa sababu hakuna utamaduni wa kuwasajili huko

Ubaguzi unaanzia juu na watu hufuata rejea wachache waliopo serikalini au chamani

Mataifa mengi wanatoa ajira maadamu umezaliwa hapo hata uwe na asili ya wapi
Tubadilike
 
Rangi si kigezo cha kukosa nafasi kubwa SERIKALINI......

Hayati Jerry Rawlings (Rip) alikuwa hadi Rais wa Ghana.....

Uzalendo hulelewa.....uzalendo si uzawa wa rangi ya ngozi tu.....



Hayati Baba wa taifa JKN alilijua hilo vyema tu.......


KILA LA HERI KWA HUYO MZALENDO WA ZAMBIA

#SiempreJMT
#NchiKwanza
 
Although naweza sema kile kizazi kilifanya yale kwa sababu bado nchi yetu ilikuwa bado haijawa na wazawa wa kutosha wenye uwezo, taaluma na kujitolea kama kipindi tulichopo

Let talk hiki kizazi kipya cha wahindi na waarabu hawa hawa unaoishi nao huko uswahilini nk, not old one.
Full ubaguzi..... ubaguzi umekubuhu kuliko wa sauzi.
 
Back
Top Bottom