Kutokana na hamahama hii, Mbowe azomewe?

Kutokana na hamahama hii, Mbowe azomewe?

Hii ni dhahiri kuwa CCM kila uchaguzi afanyao huwa anadondokea pua na hili wanalijua ila ni Siri yao. Wakija kwa wananchi wanawaambia CCM ni kiboko ila ukweli wanaujua wenyewe. Jiulizeni ni kwa nn huwa wanatumia nguvu nyingi kiasi hiki Kama wanakubalika?

Mbowe ni mwanasiasa makini sana, licha ya figisu zote hizi bado CHADEMA huendelea kushinda ila huwa wanatangazwa wengine
 
Timu ikifanya vibaya ,kocha hufukuzwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Timu ikifanya vibaya mpinzani wake si ndio sherehe? Toka lini washabiki wa man u wakaiombea mema Man City? Guardiola akichemka si ndio furaha kwa man U? Mbowe akichemka si ndio furaha ya CCM? Sasa ninyi CCM mnatuachia maswali mengi ni kwa nn mnataka Mbowe aondoke.
 
Habari wana jamvi.

Mwaka jana baada ya timu ya Arsenal kufanya vibaya kwenye ligu kuu ,mashabiki wake kote duniani walipaza na kumzomea kocha mkuu Wenger aondoke ili kupisha mabadiliko ya kiungozi kwenye timu hiyo.

Kocha Wenger aliwapuuza sana mashabiki hao lakini mwisho wa siku aliamua kusikiliza kilio chao na kuamua kuondoka kwa kukubali ukweli kwamba timu inapofanya vibaya wakulaumiwa ni kocha na ni lazima hutimuliwa.

Nimetolea mfano wa timu ya Arsenal kwa kulinganisha na ufanyaji vibaya wa chama kikuu cha upinzani nchini Chadema.
Chadema toka baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 imepoteza mvuto kwa wananchi ! Madiwani na wabunge wa chadema wanajivua nyasifa zao ndani ya chama hicho na kuomba kupokelewa ccm.! Yote haya yanatokea kocha akiwa Mbowe.

Kwa hali ilivyo sasa ndani ya chama hicho hamna namna ambayo Mbowe atazuia anguko la chadema nchini.
Ili kuruhusu mabadiliko na morali mpya ndani ya chadema ni lazima kocha Mbowe azomewe na kufukuzwa kama kocha Arsene Wenger wa Arsenal.

Hoja ya kwamba Mbowe akiondoka chadema itaangukia mikononi mwa wasaliti haina mashiko mbele ya wapenda mabadiliko.
Hata akina Lipumba , Mbatia , Cheyo , Mrema walikuwa wanasema hivi hivi eti wakiondoka chama kitakaliwa na wasaliti . Kiko wapi sasa?

#Mbowe must Go



Sent using Jamii Forums mobile app
Umesoma shule za kata?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njoo ulambe mbunye ya ma, ko

Sent using Jamii Forums mobile app
Unamwambia nani haya maneno? Mbona unakosa adabu na kama huna heshima wewe? Maana kila anayeufungua huu uzi wako ni kama unamwambia afanye ulivyoandika! Tunakukosea wapi? Mods hebu hangaikeni na huyu anayelikosea jukwaa adabu na heshima kwani tupo watu wenye staha na heshima kubwa sana katika jamii! Tulindie heshima na adabu zetu tafadhali!
 
Hapo wa kuzomewa na kutimuliwa ni mwenyekiti wa CCM anayechota pesa hazina kwa ajili ya kununua wapinzani na kurudia uchaguzi kila baada ya wiki mbili wakati tangu aingie madarakani deni la taifa limepaa kutoka trillion 28 hadi trillion 60, pesa za wastaafu zimechotwa zinafanyia kampeni za CCM, since 2015 hakuna salary incriment, sukari bei juu, cement bei juu, fao la kujitoa limefutwa ili pesa zitumiwe na wanaccm kufanya manunuzi ya binadamu.

Fisi wa lumumba endeleeni kusherehekea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Ufipa nzima+dikteta Mbowe wote ukiwachanganya mahali pamoja kuna ambae anaeweza kujenga hoja kama hii ya Etwege?

#Mbowe must go

Atuachie chama vijana.. Siasa za ushindani haziwezi tena
Siyo lazima ubakie humo! Unaweza kutembea kama walivyofanya kina mwita et al! Kubaki kwako kunaonyesha kuwa kuna unayoyafaidi hivyo acha kutuzuga! Na nina uhakika wewe ni mamluki na ni wa lumumba ika unajivika ucdm kuwavuta wajinga wenzako! Ondokeni wote tena wote kabisa kudhihirisha unafiki na uoga wenu! Kijana wa wapi akimbiaye mapambano kama siyo legelege! Cdm hawaoi wanaume, ulikosea kuja kutafuta bwana cdm!
 
Cc Elitwege:
Mbowe ni jabali na mwamba mkubwa unaoteleza ukiuparamia kuupanda! Yakupasa uwe na zana wezeshi kulipanda jabali hilo! Waulize kina waitara watakwambia habari ya mutoto wa mujini vile asivyojambishwa na washamba tena wa kuja! Kama ungekuwa ulizaliwa kipindi cha mafuta street age ilipokuwa inavuma nchi za maziwa makuu ungemoa heko Mbowe kwa kuiongoza club na hotel ya Mbowe kwa mafanikio makubwa! Siyo rahisi sana kama unavyoweza kuwaza kitoto kuwa kufanya biashara eneo lile kwa wakati ule kisha uimudu kisha leo vijisiasa vya bongo vikusumbue!
Mbowe humuwezi na hawezekani kirahisi kwa vijana wa lumumba kumchafua kitoto na hamtakaa muweze kumuumiza! Sidhani kama ni afya kukisemea kisicho chako kwani hakikuhusu na wewe siyo mwanachama wa cdm! Kinakuuma nini wao kukubali kuongozwa naye? Shughulikeni na hayo mapandikizi yenu kwanza na hao wafia chama mliowatenga na waachie Mbowe wao awaongoze!
 
Habari wana jamvi.

Mwaka jana baada ya timu ya Arsenal kufanya vibaya kwenye ligu kuu ,mashabiki wake kote duniani walipaza na kumzomea kocha mkuu Wenger aondoke ili kupisha mabadiliko ya kiungozi kwenye timu hiyo.

Kocha Wenger aliwapuuza sana mashabiki hao lakini mwisho wa siku aliamua kusikiliza kilio chao na kuamua kuondoka kwa kukubali ukweli kwamba timu inapofanya vibaya wakulaumiwa ni kocha na ni lazima hutimuliwa.

Nimetolea mfano wa timu ya Arsenal kwa kulinganisha na ufanyaji vibaya wa chama kikuu cha upinzani nchini Chadema.
Chadema toka baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 imepoteza mvuto kwa wananchi ! Madiwani na wabunge wa chadema wanajivua nyasifa zao ndani ya chama hicho na kuomba kupokelewa ccm.! Yote haya yanatokea kocha akiwa Mbowe.

Kwa hali ilivyo sasa ndani ya chama hicho hamna namna ambayo Mbowe atazuia anguko la chadema nchini.
Ili kuruhusu mabadiliko na morali mpya ndani ya chadema ni lazima kocha Mbowe azomewe na kufukuzwa kama kocha Arsene Wenger wa Arsenal.

Hoja ya kwamba Mbowe akiondoka chadema itaangukia mikononi mwa wasaliti haina mashiko mbele ya wapenda mabadiliko.
Hata akina Lipumba , Mbatia , Cheyo , Mrema walikuwa wanasema hivi hivi eti wakiondoka chama kitakaliwa na wasaliti . Kiko wapi sasa?

#Mbowe must Go



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu inaonekana Mh. Mbiwe hakupi usingizi. Inaonekana pia were pia umeteuliwa kiranja wa kuimba nyimbo za uhamasishaji ilianaewanyima usongizi aachie madaraka.In short you have pressed the wrong button, na huo wimbo haunogi tens.Switch to another song!
 
Back
Top Bottom