Kutokana na hamahama hii, Mbowe azomewe?

Kutokana na hamahama hii, Mbowe azomewe?

Habari wana jamvi.

Mwaka jana baada ya timu ya Arsenal kufanya vibaya kwenye ligu kuu ,mashabiki wake kote duniani walipaza na kumzomea kocha mkuu Wenger aondoke ili kupisha mabadiliko ya kiungozi kwenye timu hiyo.

Kocha Wenger aliwapuuza sana mashabiki hao lakini mwisho wa siku aliamua kusikiliza kilio chao na kuamua kuondoka kwa kukubali ukweli kwamba timu inapofanya vibaya wakulaumiwa ni kocha na ni lazima hutimuliwa.

Nimetolea mfano wa timu ya Arsenal kwa kulinganisha na ufanyaji vibaya wa chama kikuu cha upinzani nchini Chadema.
Chadema toka baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 imepoteza mvuto kwa wananchi ! Madiwani na wabunge wa chadema wanajivua nyasifa zao ndani ya chama hicho na kuomba kupokelewa ccm.! Yote haya yanatokea kocha akiwa Mbowe.

Kwa hali ilivyo sasa ndani ya chama hicho hamna namna ambayo Mbowe atazuia anguko la chadema nchini.
Ili kuruhusu mabadiliko na morali mpya ndani ya chadema ni lazima kocha Mbowe azomewe na kufukuzwa kama kocha Arsene Wenger wa Arsenal.

Hoja ya kwamba Mbowe akiondoka chadema itaangukia mikononi mwa wasaliti haina mashiko mbele ya wapenda mabadiliko.
Hata akina Lipumba , Mbatia , Cheyo , Mrema walikuwa wanasema hivi hivi eti wakiondoka chama kitakaliwa na wasaliti . Kiko wapi sasa?

#Mbowe must Go



Sent using Jamii Forums mobile app

Why ushauri kama huo usimpe lipumba au cheyo?
 
Mbowe alipo kula hela ya fisadi Lowasa bilion 7+ Mbowe nilimwogopa...

Ukitaka kujua mziki wa Mbowe mulize @dr slaa hadi jamaa kambia nchi

Bet ya lowasa ilikuwa sahihi kabisa
 
Anayestahili kuzomewa ni huyu kichaa anayetuongoza, Mr: slow slow pamoja na timu yao kwa ujumla! Elewa wanaohama wanasumbuliwa na upepo wa njaa, hili ni jambo la muda tu, baada ya siku mambo yatakaa sawa! Mbowe si tatizo. Kati ya watu wenye njaa nawe ni mmojawapo, nenda kapokee buku 7 zako. Mbowe endelea kupambana wengi tupo nyuma yako brooo!
 
Anayestahili kuzomewa ni huyu kichaa anayetuongoza, Mr: slow slow pamoja na timu yao kwa ujumla! Elewa wanaohama wanasumbuliwa na upepo wa njaa, hili ni jambo la muda tu, baada ya siku mambo yatakaa sawa! Mbowe si tatizo. Kati ya watu wenye njaa nawe ni mmojawapo, nenda kapokee buku 7 zako. Mbowe endelea kupambana wengi tupo nyuma yako brooo!
Unamanisha kuhama kwa Sumaye ,Lowasa ilikuwa ni njaa?
 
Habari wana jamvi.

Mwaka jana baada ya timu ya Arsenal kufanya vibaya kwenye ligu kuu ,mashabiki wake kote duniani walipaza na kumzomea kocha mkuu Wenger aondoke ili kupisha mabadiliko ya kiungozi kwenye timu hiyo.

Kocha Wenger aliwapuuza sana mashabiki hao lakini mwisho wa siku aliamua kusikiliza kilio chao na kuamua kuondoka kwa kukubali ukweli kwamba timu inapofanya vibaya wakulaumiwa ni kocha na ni lazima hutimuliwa.

Nimetolea mfano wa timu ya Arsenal kwa kulinganisha na ufanyaji vibaya wa chama kikuu cha upinzani nchini Chadema.
Chadema toka baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 imepoteza mvuto kwa wananchi ! Madiwani na wabunge wa chadema wanajivua nyasifa zao ndani ya chama hicho na kuomba kupokelewa ccm.! Yote haya yanatokea kocha akiwa Mbowe.

Kwa hali ilivyo sasa ndani ya chama hicho hamna namna ambayo Mbowe atazuia anguko la chadema nchini.
Ili kuruhusu mabadiliko na morali mpya ndani ya chadema ni lazima kocha Mbowe azomewe na kufukuzwa kama kocha Arsene Wenger wa Arsenal.

Hoja ya kwamba Mbowe akiondoka chadema itaangukia mikononi mwa wasaliti haina mashiko mbele ya wapenda mabadiliko.
Hata akina Lipumba , Mbatia , Cheyo , Mrema walikuwa wanasema hivi hivi eti wakiondoka chama kitakaliwa na wasaliti . Kiko wapi sasa?

#Mbowe must Go



Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema lini imepoteza mvuto? Hiyo hamahama unayoeleza hapa ni ipi? Kuna tofauti kubwa kati ya "kuhama" na "kuhamishwa"...nenda kajipange upya. Na huu upuuzi wenu wadaka makombo wa kumshupalia Mbowe kwa hoja ya kukaa madarakani muda mrefu, huku mkiwapandisha ndege na kuwapa posho akina Mrema, John Momose na Dovutwa mkome!
 
Chadema lini imepoteza mvuto? Hiyo hamahama unayoeleza hapa ni ipi? Kuna tofauti kubwa kati ya "kuhama" na "kuhamishwa"...nenda kajipange upya. Na huu upuuzi wenu wadaka makombo wa kumshupalia Mbowe kwa hoja ya kukaa madarakani muda mrefu, huku mkiwapandisha ndege na kuwapa posho akina Mrema, John Momose na Dovutwa mkome!
Tangu chaguzi za marudio zianze ,chadema imeshinda kata moja tu, kwa maoni yako hii ni salama??
 
Habari wana jamvi.

Mwaka jana baada ya timu ya Arsenal kufanya vibaya kwenye ligu kuu ,mashabiki wake kote duniani walipaza na kumzomea kocha mkuu Wenger aondoke ili kupisha mabadiliko ya kiungozi kwenye timu hiyo.

Kocha Wenger aliwapuuza sana mashabiki hao lakini mwisho wa siku aliamua kusikiliza kilio chao na kuamua kuondoka kwa kukubali ukweli kwamba timu inapofanya vibaya wakulaumiwa ni kocha na ni lazima hutimuliwa.

Nimetolea mfano wa timu ya Arsenal kwa kulinganisha na ufanyaji vibaya wa chama kikuu cha upinzani nchini Chadema.
Chadema toka baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 imepoteza mvuto kwa wananchi ! Madiwani na wabunge wa chadema wanajivua nyasifa zao ndani ya chama hicho na kuomba kupokelewa ccm.! Yote haya yanatokea kocha akiwa Mbowe.

Kwa hali ilivyo sasa ndani ya chama hicho hamna namna ambayo Mbowe atazuia anguko la chadema nchini.
Ili kuruhusu mabadiliko na morali mpya ndani ya chadema ni lazima kocha Mbowe azomewe na kufukuzwa kama kocha Arsene Wenger wa Arsenal.

Hoja ya kwamba Mbowe akiondoka chadema itaangukia mikononi mwa wasaliti haina mashiko mbele ya wapenda mabadiliko.
Hata akina Lipumba , Mbatia , Cheyo , Mrema walikuwa wanasema hivi hivi eti wakiondoka chama kitakaliwa na wasaliti . Kiko wapi sasa?

#Mbowe must Go



Sent using Jamii Forums mobile app
Chedema ni arsenal ya mbowe
 
Tangu chaguzi za marudio zianze ,chadema imeshinda kata moja tu, kwa maoni yako hii ni salama??
Ukweli ni kwamba kwa msukumo wa nguvu ya dola, kichaa alishatoa amri ya kwamba Mkurugenzi asitangaze ushindi kwa upinzani na hata kama watashinda! na kule palipo tangaza mshindi wa chama pinzani(Mbeya) Si ni hadi waliomba msamaha kwa kutangaza matokeo yale!
 
Ukweli ni kwamba kwa msukumo wa nguvu ya dola, kichaa alishatoa amri ya kwamba Mkurugenzi asitangaze ushindi kwa upinzani na hata kama watashinda! na kule palipo tangaza mshindi wa chama pinzani(Mbeya) Si ni hadi waliomba msamaha kwa kutangaza matokeo yale!
Hii ni uongo wa chadema kujipa matumaini hewa.
 
Habari wana jamvi.

Mwaka jana baada ya timu ya Arsenal kufanya vibaya kwenye ligu kuu ,mashabiki wake kote duniani walipaza na kumzomea kocha mkuu Wenger aondoke ili kupisha mabadiliko ya kiungozi kwenye timu hiyo.

Kocha Wenger aliwapuuza sana mashabiki hao lakini mwisho wa siku aliamua kusikiliza kilio chao na kuamua kuondoka kwa kukubali ukweli kwamba timu inapofanya vibaya wakulaumiwa ni kocha na ni lazima hutimuliwa.

Nimetolea mfano wa timu ya Arsenal kwa kulinganisha na ufanyaji vibaya wa chama kikuu cha upinzani nchini Chadema.
Chadema toka baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 imepoteza mvuto kwa wananchi ! Madiwani na wabunge wa chadema wanajivua nyasifa zao ndani ya chama hicho na kuomba kupokelewa ccm.! Yote haya yanatokea kocha akiwa Mbowe.

Kwa hali ilivyo sasa ndani ya chama hicho hamna namna ambayo Mbowe atazuia anguko la chadema nchini.
Ili kuruhusu mabadiliko na morali mpya ndani ya chadema ni lazima kocha Mbowe azomewe na kufukuzwa kama kocha Arsene Wenger wa Arsenal.

Hoja ya kwamba Mbowe akiondoka chadema itaangukia mikononi mwa wasaliti haina mashiko mbele ya wapenda mabadiliko.
Hata akina Lipumba , Mbatia , Cheyo , Mrema walikuwa wanasema hivi hivi eti wakiondoka chama kitakaliwa na wasaliti . Kiko wapi sasa?

#Mbowe must Go



Sent using Jamii Forums mobile app

Not kichaa @ Jiwe must go and leave our democracy alone? WTF
 
Back
Top Bottom