Kutokana na hii story yangu hauwezi nikuta humu nashabikia kutoa watoto EMs na ISs na kuwapeleka kayumba

kama una mpenda mwanao wa kike huwez kumpeleka kayumba big no ....hizo kayumba ni kwa ajili ya watoto wa kiume
 
Kama nakuelewa ivπŸ€”
 
Huwezi kuwa na hela alafuvukampeleka mwanao shule za umma. Walimu, miundombinu, vifundishio, maabara, chakula, n.k ni duni sana. Shule nyingine hazina hata vyoo au ni matundu 2 kwa wanafunzi 1000
 
Kusomesha mtoto ili apate ajira ni mawazo ya kimasikini sana.

Somesha mtoto ili aje kukuza biashara uliyoanzisha. Kama atapenda kuajiriwa iwe ni upendo wake tu, siyo kulazimika kutafuta ajira ili kujikimu kimaisha.

Changamka, Siyo unakaa tu unajamba mashuzi hakuna unachofanya, unasubiria mtoto wako apate ajira.
 
Binafsi sijaelewa hii kampeni ni ya nini na ni kwa maslahi ya nani.

Je inaendeshwa na victims (watoto waliosomeshwa EMs wakalost kwenye maisha) au inaendeshwa na wazazi (wenye kupenda watu wafanane/wafuate mitazamo yao)
Kuna mjamaa maisha yamempiga sasa anataka watoto wetu wabebe kidumu na ufagio kama wake.
 
Sawa. Yote ni mitazamo huru.
 
1000000000%
 
Huwezi kuwa na hela alafuvukampeleka mwanao shule za umma. Walimu, miundombinu, vifundishio, maabara, chakula, n.k ni duni sana. Shule nyingine hazina hata vyoo au ni matundu 2 kwa wanafunzi 1000
Shule za EMs watoto wanalishwa kuku broiler ambazo ni sumu at the end of the day watoto wana miaka 14 wana presha na kisukari
 
Dunia inakuwa giza kwa upande wa kayumba πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…mateso wanayopata Mungu anajua πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Sio ukayumba Bali uzembe wako mwenyewe!

Unasomaje Hadi form four to six huna uwezo wa kuongea kiingereza Cha kawaida!!?

Na presentation za chuo no rahisi coz unakua umeshasoma na kukariri content kwahiyo unasema like ulicho display kwenye power point !!

Uzembe sana kushindwa ku present materials!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…