Kutokana na hii story yangu hauwezi nikuta humu nashabikia kutoa watoto EMs na ISs na kuwapeleka kayumba

naona povu linakutoka kama mama mjamzito. Vp una stress za kutokuajiriwa ?

Mimi wanangu nawafundisha hustling nilifaulu vizuri sana A-level nikapata scholarship kujiunga Southampton Solent University. Maisha ya kibishi niliyoishi toka primary ndio yalinisaidia kuishi katika nchi ya kigeni. Ni ujinga kutegemea kila kitu ufundishwe na mwalimu wakati ulishafundishwa kujua kusoma na kuandika na vitabu unavyo halafu useme huelewi ukisoma peke yako.
 
Naona walimu wa EMs mmeamua kuleta hii mada mwezi january baada ya kuona shule zenu hazipati wanafunzi wa kutosha mara baada ya watanzania kushtuka kuwa wanaibiwa. Eti mtoto wa chekechea anatozwa ada sh milioni 4 kwa mwaka. Huu si utapeli mmmmae zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…