Wiki ya pili inakaribia sasa nipo ,sio kama sina hela hapana ila sipendi kupandishiwa gharama muda wowote wanaojisikia wao .Ukikaa muda kidogo unakuta vifurushi vimepanda .
Nipo kwenye mgomo mwendo wa kuvizia free Wi-Fi na kutafuta machimbo ya Free VpN
View attachment 2416540