Kutokana na kupanda kwa gharama za vifurushi, napumzika rasmi kununua vocha na kujiunga na vifurushi kwa muda usiojulikana

Kwa staili hii washa siweki vocha na kujinga kipumbavu tena labda kwa dharura ikiwa salio langu la kawaida la mwezi limeisha.

Nikitimiza mwezi mmoja katika kampeni yangu hii binafsi nitajiona mimi kweli mwamba .
 
Hili la free VPN hebu nipe ufafanuzi Kama ulifanikiwa au lah.na Kama ulifanikiwa unisaidie na Mimi mkuu.
 
Kampuni nao wamefeli kuweka Bei ndogo marakumi hata wange limit muda was kuisha wapunguze ila bando liwe kubwa hapa bado wangepiga hela Sana tu
 
Voda na HALOTEL
Umefeli hapo ,Voda mifumo yao ipo imara hairuhusu janja janja za VPN kwa Halotel nyingi zimepigwa hata kabla ya kupigwa nyingi zipo slow inakuwa Sawa na kupoteza muda tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…