Kutokana na mabadiliko ya kiutawala Arusha, serikali ikae makini ili jamaa asisababishe wazungu wakatoa travel advisory kwa raia wao

Nyota yake inawakaaaaa kama kawaida.. Ndivyo ilivyo, hakuna wa kuondoa hili.. tufurahie na yake 😅

Kazi iendelee...
Makonda sijui alioga mzizi wa aina gani? Awe nje ya madaraka anazungumziwa, awe ndani ya madaraka anazungumziwa 😅😅😅😅.

Na walio wengi tunaskiliza mikumbo tuhh.. Kuwa makonda ni gaidi..
 
Mtu yeyote aliyesimamia ualifu lazima achukiwe, Makonda, Sabaya na mwingine sikuizi simsikii wote hao ni genge moja hawana sifa za kupewa uongozi nchi hii.
• Bado sijaona sababu za kuwachukia makonda na sabaya..

• Tuache kufuata upepo, kama unaushaidi wa mauvu yao labda???
 
Actualy sema arusha mjini ndio dogo kwa dar, ila kwa ukubwa wa ardhi arusha ni kubwa kuliko dar, just asilimia kubwa ya mji ni mapori including vivutio
Huyu jamaa mjinga sana kaandika kimihemko
 
• Muda mwingine tujaribu kupunguza chuki..... Sioni faida yakumusema huyu jamaa kila sekunde..

• Ndani ya Siku mbili hizi, Ni Zaidi ya Threads 10, anajadiliwa Makonda... ☹️☹️
sidhani kama wanamsema Makonda kama Makonda, nafikiri wanaongelea weledi wa mamlaka ya uteuzi? iweje wampeleke mtu mwenye makondo kando ya kudhurumu uhai wa watu huKo Arusha ili hali wakijua kwamba walio mtuhumu (USA) ndio wenye royal tour na utalii huko Arusha?
Siku huyo Balozi akienda huko Arusha kikazi itakuwaje? Hii mamlaka ya uteuzi huwa inafikiriaje kuchukua risk za namna hii? Hata kama ni calculated risk, ingefaa sana wampeleke Singida, Tabora, Lindi, Mtwara ambako hakuna madhara ya utalii kama huko Arusha... au labda wana jambo lao la kumharibia halafu wamuweke kando ,mazima? sijui ni nini hii mamlaka ya uteuzi inataka, wakati mwingine inakaribisha maneno ya sintofahamu juu ya uwelezi wao...
 
Leo ni siku ya kiapo.... Tuwe watulivu
 
Huyo jamaa amewekwa kwa ajili ya maslahi ya chama, hasa kufifisha nguvu upande wa chadema.. Siyo kwamba hawajui kinachoendelea..... Uchaguzi una mambo mengi sana.. Kila rangi itaonekana.
 
Hivi kuandamana kwa amani na kupeleka ujumbe kwa watawala sio haki ya Mtanzania?!
Maandamano ya Arusha awamu Ile hayakuwa ya amani wahamasishaji waliwahongo vijana waliokata tamaa viroba vya zed na double punch 👊 wafanye vurugu
 
Hata watoe au wasipokuja wageni poa TU maadamu tunataka kumdhibiti Lema
 
Nakubaliana na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…