Huo ugaidi abaki nao nyumbani kwake.• Kwenye masuala ya siasa, tuhuma ni kitu cha kawaida sana... Labda kama mgeni hapa Tz.
• hii nchi inahitaji viongozi gaidi.. Ila hawa wa kila kitu kupiga makofi kila saa, hawafai hata kwa bure.
Wewe hivi Arusha kuna nini hapo? Hata kwenye Jeshi la Polisi nyinyi sio Kanda maalum!Huku kaskazini siyo kwa Makonda!Drama zake siyo Rchuga labda mkoa mwingine
Kama ni hivyo mnavyodhani, basi hiyo ni fursa kuchanusha utalii kanda zingine. Utalii si Arusha peke yake
Mawazo ya hovyo sana haya,punguza kuwaabudu hao US, nao wanamadhambi yao yasiyo pimika.Tatizo la kufikiria kisiasa badala ya kufikiria kitaifa. Makonda siyo muda wenzetu wa Kenya watawakumbusha wageni kwamba huyu yuko kwenye list ya Marekani na Ulaya kama Muuaji na haruhusiwi kwenda nchi zao.
Hii haitasaidia wageni wetu wa Arusha na Mbuga zetu.
Wangempeleka huko Mwanza kwao.
Nenda kamshaki, akane shutuma za kipuuzi Ili iweje.Huyo kwani aliwahi kukana shutuma zake za uhalifu alizozifanya pale Mawingu na sehemu nyingine?
Aliwahi kumuomba msamaha Warioba?
Huyo ni mhuni muhalifu tu.
Kwenye nchi za wenzetu alitakiwa awe ananyea debe.
Mwanasiasa mzuri ni yule anayekubalika na wananchi na sio kupendwa na wanasiasa wenzie. Hii tabia ya kuwachafua watu wanakubalika na wananchi imepitwa na wakati.Kama unadhani upinzani hawampendi think again, ndani ya chama chenyewe ndio maadui zake wakubwa walipo, unajua kilichomtoa kwenye uenezi?
Ana nini kwani mpaka arudi dar? Kuna nini hapa?usie mtaka unaletewa hadi getini pako......
until the mission is accomplished 🐒Ana nini kwani mpaka arudi dar? Kuna nini hapa?
Wehu kumbe mnajuanaWe n8 mwehu mwenzake
Unataka msisimko nendeni kwa mwanachama mwenzenu p.diddyBoring
Wewe na wajinga wenzio mnawaona wazungu kama miungu fulani sio?Bora umeandika uzi huu kunikumbisha.
Ngoja niwatonye wazungu hapa Arusha wachukue tahdhari na wakautaarifu ubalozi wao kuwa mtoa roho sasa ndiyo RC mpya wa Arusha.
Ili travel warning iandikwe haraka.
Mkoa wa Arusha ni mkoa wa kitalii, unapokea maelfu ya watalii kutoka ulaya na marekani. Ni vyema basi, kutokana na mabadiliko ya kiutawala, na watalii huwa hawapendi rabsha, wamekuja kupumzika na kula raha, Dodoma(makao makuu) jicho lao liwe Arusha.
Hata vyombo vya dola Arusha vikipewa amri na huyo jamaa isiyoeleweka visifanye jambo kubwa litakaloathiri usalama bila kuwasiliana na Dodoma. Najua jamaa akifika ataanza kutoa amri za vitisho, karaha kwa kila mtu aliyepo Arusha.
Hii watalii hawapendi. Ni angalizo tu
Kula Bomu.......Athumaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii