Kutokana na maendeleo ya kiteknolojia, waislamu bado wanazo sababu za kuzuia wanawake kwenda kuzika?

Kutokana na maendeleo ya kiteknolojia, waislamu bado wanazo sababu za kuzuia wanawake kwenda kuzika?

Jua tu mkuu Misingi yaUislam Haibadiliki Kisa maendeleo ya mwanadamu na hautasikia unaanza kuwa na version kama Quran ya kwanza basi itoke ya pili jua maneno na Misingi aliyoiweka Mungu Haibadiliki ila kumfurahisha mwanadamu
 
Utulilivu gani? Kulia ni kawaida kbsa kwenye msiba
Eehh Kawaida kwenye msiba sio kwenye mazishi. Kuna msibani na mazishini. Mazishini ni kupeleka kelele kutakopelekea kuondoa Utulivu.
 
Ukoo wangu waujuwa
Kwa unavyoendelea kuuliza maswali ya kipumbavu hivi, mtu anaelewa tu kwa urahisi kwamba hakuna kitu, sio kwako tu na kwa ukoo wako wote.

Jibu swali achana na maswali yasiyo na kichwa wala miguu.
 
Kichwa chako hakie

Kichwa chako hakielewi na hutaelewa maandiko yanawazuia wanawake wewe unalzimisha kwa nini wanawake, na kwa nini wanawake wanazaa, hiyo ni Ibada wao wanakaa nyumbani inakuwa ibada, wanaume wanaenda makaburini inakuwa ni Ibada kwao، kama unataka dini iwe unavyotaka wewe haiwezekani na itaendelea kuwa hivyo, nimemalizana na wewe.
Hakuna cha ibada wala nini. Nilimuelewa sana yule Muislamu alisema
Wanawake ni watu wa kulia lia kwahiyo wakienda makaburini itamsababishia maiti kutosamehewa na Allah kwa vilio vyao vinaweza kusababisha chukizo kwa Allah ndiyo maana hawaruhusiwi.
Ingekuwa ni ibada, basi haina haja ya kwenda msikitini.
downloadfile-1.png
 
Dni zinahitaji kufanyiwa system update.

Mafundisho ya dini nyingi hayapatani na wakati wa sasa ambapo Teknolojia na Mawasiliano vimekua kwa kasi.
 
Kuoa hakujawai kuwa na maana nyingine zaidi ya kuoa.
Nchi za waarabu zimefungama na dini ya uislamu na zinafuata sharia (sheria za kiislamu). Chochote kitakachopitishwa na kuhalarishwa kimapewa baraka na mashehe, Maamuma, na maustaz kinafuata sharia za kiislamu Kama hakipo nje ya uislamu hawawezi pitisha
, Kama ni utamaduni na hakipo nje ya uislamu na kimepita, kwanini hawaruhusu watu wajenge makanisa? Kuuza pombe? Kucheza makamari? Migahawa kuuza chakula kipindi cha ramadhani?
Hapo wamepitisha sheria mtoto wa miaka 9 aolewe na siyo hiyo maana unayoeleza wewe
Usipo elewa na hapa basi 😄

Sio kila muarabu ni muislam,, nchi ya Iraq Ina ongozwa na katiba pia kuna bunge na wanasiasa wapo hvyo demokrasia Ndio inayo chukua nafasi...

Ukisema inaongozwa kwa “Sheria za kiislamu “sio kweli kwasababu uislam unaongozwa Kwa Quran na sunna sio katiba iliyo wekwa na watu wachache hvyo basi sio shekhe, maamuma, ostadhi mwenye maamuzi kama ulivyo sema wewe ila nchi ya Iran Ina Raisi, wabunge na mawazili na wananchi na hao Ndio wenye maamuzi.

Hvyo ulizo elezea hapo makanisa, kamari, pombe ni umesema tu kwa kuonesha wazi haufuatilii unacho kiongea au unafanya ilimradi ubishi/utoto... chukua hii pombe inauzwa maeneo yote duniani hadi nchi za kiarabu pombe ilizuiliwa Riyadh mwaka 1952, wakati mtoto wa Mfalme Abdul Aziz alipompiga risasi na kumuua mwanadiplomasia wa Uingereza akiwa amelewa. Na imekuja kuruhusiwa kuuzwa mwaka 1972.

Huko pengine sirudii baki na unacho kiamini
 
Cha kushangaza Hao hao wanaokatazwa kwenye dini yao,
Akifariki jirani Mkristo wana hudhuria kwa kufuata taratibu zote za kikristo,ikiwemo kumtazama Marehemu kwa mara ya mwisho(kuaga mwili wa marehem)
Na kuhudhuria makaburini wkt wa mazishi.
Sheria za dini zote ziko wazi kabisa
Hao wanaokuja kwenye mazishi na kipita kama nyie kumuangalia marehemu kwa Uislam ni kosa kwani hatuna hilo
Maiti ataagwa na waliokaribu nae tu
Rafiki yangu mmoja niliesoma nae na huku familia yao wote tukijuana kwa miaka zaidi ya 50
Alipofariki tulishiriki mengi ila ilipofika kuuaga mwili sisi hatukuondoka kwenye viti vyetu
Na baadae tuliusindikiza msafara mpaka makaburini na mpaka wanamzika tulikuwepo
Kuna mambo hatuwezi kuyafanya kwa sababu hayamo kwenye Uislam na wanaofanya wanakosea
Sio Kila mwenye dini anaifuata dini
 
Wanawake si watu
Hapana sio kweli, tunawaheshimu sana na mna nguvu sana
Ila mna hisia kali sana na huruma sana kwa hiyo kwenda kushuhudia mwenzio akizikwa mnaumia na kulia sana hilo ndio limekatazwa na sio kama mleta mada anavyoliona
 
Hakuna dini inayoenda na wakati.
Unachouliza ni kwamba mpaka sasa bado uislamu hauoni haja ya kuingiza mambo ya kipagani yaani yakikafili (mambo ya kisasa)kwenye dini
Ewe mtu mweusi mtumwa wa fikra zinduka usingizini. Hizo dini umeletewa na waliokuletea wamepokea hayo mabadiliko unayoyaita ukafili!
Now Dubai wanawake wanaendesha magari na kupiga kura, nyie endeleeni na misimamo ya kijinga kwenye dini za watu.
 
Hakuna cha ibada wala nini. Nilimuelewa sana yule Muislamu alisema
Wanawake ni watu wa kulia lia kwahiyo wakienda makaburini itamsababishia maiti kutosamehewa na Allah kwa vilio vyao vinaweza kusababisha chukizo kwa Allah ndiyo maana hawaruhusiwi.
Ingekuwa ni ibada, basi haina haja ya kwenda msikitini.
View attachment 3214423
Mkuu hebu tuache kwanza mana hapa watakuja wale wa maswali ya bi. Aisha kuolewa na miaka 6 hata kunawa hajui, na issue ya bikra na kunywa pombe pepon. Tuongelee iasue zingine
 
Hapana sio kweli, tunawaheshimu sana na mna nguvu sana
Ila mna hisia kali sana na huruma sana kwa hiyo kwenda kushuhudia mwenzio akizikwa mnaumia na kulia sana hilo ndio limekatazwa na sio kama mleta mada anavyoliona
Kwahiyo ambao huwa hatulii ruksa kwenda makaburini?
 
Kwahiyo ambao huwa hatulii ruksa kwenda makaburini?
Hapana ila wote tu hamruhusiwi
Kazi ya kuzika tuachieni sisi
Ila kama ni mpendwa wako utamuaga home tu
Ila watu siku hizi hawana dogo hata uwakataze vipi bado watarekodi
Kwa hiyo mkitaka watawarekodia live ingawa pia sio vizuri
La muhimu ni kufuata mafundisho tu
 
Hapana ila wote tu hamruhusiwi
Kazi ya kuzika tuachieni sisi
Ila kama ni mpendwa wako utamuaga home tu
Ila watu siku hizi hawana dogo hata uwakataze vipi bado watarekodi
Kwa hiyo mkitaka watawarekodia live ingawa pia sio vizuri
La muhimu ni kufuata mafundisho tu
Hapa ndipo swali langu lilipo. Naona wengine wamejibu kijazba sana.

Jee watakaorekodi hawatakuwa wanavunja taratibu za uzikaji za Kiislamu?
 
Hapa ndipo swali langu lilipo. Naona wengine wamejibu kijazba sana.

Jee watakaorekodi hawatakuwa wanavunja taratibu za uzikaji za Kiislamu?
Kwa sababu technology imekuwa sana na hakuna tena siri
Ila kila wakati tunapokuwa mazishini huwa tunaombwa kuzima simu zetu kwa sababu za maandalizi ya mwanzo mpaka mwisho wa mazishi
Ni kawaida kusikia simu moja ikiita katikati ya mazishi
Lakini kurekodi pia hakuruhusiwi kwa privacy ya ndugu wa marehemu
Watu wengine huwa ni kero sana
Unamuona anarekodi hata marehemu hamhusu ili mradi tu atume kwa rafiki na kusema "hapa tunamzikq ndugu yetu"

Kuhusu kurekodi ili wanawake hakuna cha maana zaidi ya watu kukusanyika na kuona labda wanaposhusha maiti kaburini na hapo hufunikwa kitambaa juu ili wamsitiri mpendwa wao
Na wanaoruhusiwa kuingia kaburini na marehemu ni watu wa karibu nae sana
Wengine wanasubiri tu kufukia mchanga na kuaga

Nafikiri ni tofauti kubwa wanawake kuwepo na kuangalia clip za marehemu
 
Kwa sababu technology imekuwa sana na hakuna tena siri
Ila kila wakati tunapokuwa mazishini huwa tunaombwa kuzima simu zetu kwa sababu za maandalizi ya mwanzo mpaka mwisho wa mazishi
Ni kawaida kusikia simu moja ikiita katikati ya mazishi
Lakini kurekodi pia hakuruhusiwi kwa privacy ya ndugu wa marehemu
Watu wengine huwa ni kero sana
Unamuona anarekodi hata marehemu hamhusu ili mradi tu atume kwa rafiki na kusema "hapa tunamzikq ndugu yetu"

Kuhusu kurekodi ili wanawake hakuna cha maana zaidi ya watu kukusanyika na kuona labda wanaposhusha maiti kaburini na hapo hufunikwa kitambaa juu ili wamsitiri mpendwa wao
Na wanaoruhusiwa kuingia kaburini na marehemu ni watu wa karibu nae sana
Wengine wanasubiri tu kufukia mchanga na kuaga

Nafikiri ni tofauti kubwa wanawake kuwepo na kuangalia clip za marehemu
Na vipi ni kosa kuhudhuria kwenye mazishi ya mkristo?
 
Na vipi ni kosa kuhudhuria kwenye mazishi ya mkristo?
Mkuu Dini ni muongozo wa Allah aliyetuumba na kufanya Kila kitu kama unavyokiona, baada ya hapo akatupa muongozo wa kumuabudia kama anavyotaka yeye, Kwa waislam mazishi ni Ibada, kama kwenda msikitni na ibada nyingine, je uliwahi ona wa msikitni na kanisani wamechanganyika wanasali mskitini au kanisani? Anayeenda kwenye mazishi si ya dini yake huyo hajaenda kwenye Ibada Bali ameenda kujionyesha aonekane naye alikuwepo Ili watu wasimseme, pia zingatia ibada hazina kuuliza kwa nini hivi kwa nini vile, kwa sababu Muumini anaamini maneno ya Allah hayana kasoro kinachobaki ni kifuata tu, pia elewa wanaodai tushirikiane katika hizi Dini si watu wa Dini Bali ni watu wanaotaka jamii zishirikiane na si watu wa dini kabisa.
 
Back
Top Bottom