MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
- #21
Acheni Kunifafanisha na huyo Mtu Oky?Genta ushafura tayari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni Kunifafanisha na huyo Mtu Oky?Genta ushafura tayari.
Nilivyosoma heading tu, nikajua ni Genta tu huyu. Kumbe sio!Mawazo yaki Gentamicine
Aaaaaaaaaaaaaaaa! Ulivyotoa BARAKOA, nimekutambua kuwa ndiye GENTAAAAAA!Hizo BAN anazopigwa mara kwa mara zinasaidia Kukuondolea Umasikini mkubwa na Uhaba wa Akili ulionao?
Tuanze kukuuliza wewe kwanza kwanini unongoza kupigwa ban je wewe ndiye unayeongoza kwa kuandika pumba humu ama kupigwa ban kwako mara kwa mara inakufaidisha na kipi kiasi kwamba huwezi kubadilika kiakili?Hizo BAN anazopigwa mara kwa mara zinasaidia Kukuondolea Umasikini mkubwa na Uhaba wa Akili ulionao?
...masikioniMakolo ni kama kenge hawasikii mpaka watoke damu
Lini alimpigiaMpaka mtakapoeleza kwanini zidane hapokei simu ya pablo
Muache atajinyonga nitakosa mtu wa kurekebisha akiliGenta at work, pole kwa unayopitia
Hao wenye uzoefu walianzia kufundisha soka wapi?Simba walikosea kumleta kocha ambae hajawah kufundisha soka afrika ni mgeni wa soka letu lakin pia kocha ni tatizo haiwezekan hadi leo hajapata first eleven..mwisho niwapongeze yanga kwa kutwaa ligi kwa mara ya 28..
Nakuunga mkono hasa kwa hoja namba 7.1. Mtimueni upesi Kocha Mkuu Franco, Msaidizi wake Matola na Meneja Rweymamu.
2. Mpeni Kazi kwa Kipindi hiki Kocha Ndayiragije kisha asaidiwe na ama Pawasa au Mgosi kisha Meneja awe ni Nico Nyagawa.
3. Wachezaji watafutiwe haraka Mwanasaikolojia na nampendekeza awe ni mwana Simba SC Chris Mauki.
4. CEO wa Simba SC Barbara na Mwenyekiti wa Wanachama Simba SC Mangungu wawe karibu sana ikiwezekana kuliko muda wote na Matawi ya Klabu nchini.
5. Simba SC itafute Mkuregenzi wa Ufundi ambaye atajikita zaidi katika Kuijenga Simba SC kwa kuanzia na Vijana ( Kikosi B ) na aje na Mikakati ya Kuimarisha Simba SC kwa miaka Mitatu au Mitano ijayo.
6. Msemaji mpya wa Simba SC Ahmed Ally asijikite zaidi katika Propaganda za Kushindana na Msemaji Mkongwe wa Yanga SC Haji Manara bali aisome Kwanza Klabu na atangulize zaidi Uweledi (Professionalism) na aachane na Uswahili ambao haumpendezi na unaweza Kumuharibia hata Kiutendaji.
7. Simba SC ikubali (japo inauma) kuwa kwa Msimu huu iliteleza katika Usajili na Kujipanga Kimalengo na Kimkakati kuliko Watani zao Yanga SC na kwamba Mbio za Ubingwa zinafifia hivyo basi ijikite zaidi katika Kombe la FA (ASFC) ili ilibebe na ishiriki Kimataifa mwakani huku ikifanya Scouting ya Umakini kwa Wachezaji wazuri wa Kuichezea Simba SC mwakani tofauti na hawa Wabovu waliopo iliyowasajili kwa bahati nasibu na kwa 10% nyingi.
Yanga SC wamejipanga na Wanastahili.
Ni taratibu mkuu. Tutajipanga na kurudi upya tukiwa imara zaidi. Ni kama utopolo alivyosubiri miaka 4 bila kombe wala kikombe.Makolo ni kama kenge hawasikii mpaka watoke damu