Kutokana na mwenendo mbaya wa Simba SC ufuatao ni ushauri wa bure kwao

Hizo BAN anazopigwa mara kwa mara zinasaidia Kukuondolea Umasikini mkubwa na Uhaba wa Akili ulionao?
Tuanze kukuuliza wewe kwanza kwanini unongoza kupigwa ban je wewe ndiye unayeongoza kwa kuandika pumba humu ama kupigwa ban kwako mara kwa mara inakufaidisha na kipi kiasi kwamba huwezi kubadilika kiakili?
 
Simba walikosea kumleta kocha ambae hajawah kufundisha soka afrika ni mgeni wa soka letu lakin pia kocha ni tatizo haiwezekan hadi leo hajapata first eleven..mwisho niwapongeze yanga kwa kutwaa ligi kwa mara ya 28..
Hao wenye uzoefu walianzia kufundisha soka wapi?
 
Makolo wamepigwa na kitu kizito kichwani mpaka akili ziwarudie ligi itakuwa imekwisha
 
Nakuunga mkono hasa kwa hoja namba 7.
 
Yaani timu umpe mgosi? Pawasa?... yule kocha hana tatizo jamani tatizo ni wachezaji wenyewe
 
[emoji94].... Djigui Diara aliondoka akiacha Simba ina point 24

Anarudi anakuta Simba ina point 25

Anajiuliza Ligi ilisimama au???!![emoji848][emoji848][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…