Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hivi hao wa Marekani wamekua na akili kama za wabongo walivo sikia slogan yake ya "America first" wenyewe walikua wana elewa nini mpaka wamchague.Trump amekuja na misimamo na sera zinazogusa na kuathiri watu wengi ndani ya Marekani na nje ya marekani.
Trump anagusa imani za watu, tamaduni za watu na sasa anakwenda mbali kutaka kushirkiana na Waisraeli kuwaondoa wapelestina huko Gaza maamuzi ambayo pia yataamsha hisia za kidini na hata hisia za chuki za kibaguzi kwa misingi ya rangi na asili ya watu.
Trump kagusa mashoga, wahamiaji haramu(blacks), waajiriwa katika mashirika ya misaada ya Marekani duniani na sasa anakwenda kugusa wapelestina(waislaumu) mambo ambayo yanaweza yasimuache salama.
Muda utasema.
Trump is unpredictable president.Mtu kudaka urais Marambili means anaaminiwa
Trump ni Magufuli mtupu kabisa.Trump amekuja na misimamo na sera zinazogusa na kuathiri watu wengi ndani ya Marekani na nje ya marekani.
Trump anagusa imani za watu, tamaduni za watu na sasa anakwenda mbali kutaka kushirkiana na Waisraeli kuwaondoa wapelestina huko Gaza maamuzi ambayo pia yataamsha hisia za kidini na hata hisia za chuki za kibaguzi kwa misingi ya rangi na asili ya watu.
Trump kagusa mashoga, wahamiaji haramu(blacks), waajiriwa katika mashirika ya misaada ya Marekani duniani na sasa anakwenda kugusa wapelestina(waislaumu) mambo ambayo yanaweza yasimuache salama.
Muda utasema.
Well said mkuu,, Very unpredictable.Trump is unpredictable president.
Jpm alikua masikini, pia na roho ya chuki dhidi ya matajiri Trump ni tycoon sana anapenda matajiri wenzake hiyo ndo tofauti yao.Trump ni Magufuli mtupu kabisa.
Kwahiyo wewe kwa mtizamo wako utawala wa CCM Tanzania ni bora kiliko wa trump US?Trump ni kichaa na dunia haiwezi kumuachaa kichaa aishi.
Ni suala la Muda tu.
Huwezi kuendesha nchi kama familia yako. Wamarekani wenye akili hawamtaki ila ni vile wajinga hawakosi wakamchagua Trump.
Point Yako nimeielewa Familiar na ndy maana juzi kati Elon musk nae kachangia kuikandamiza shirika la USAID, kweli Trump anapenda matajiri wenzake.Jpm alikua masikini, pia na roho ya chuki dhidi ya matajiri Trump ni tycoon sana anapenda matajiri wenzake hiyo ndo tofauti yao.
Hatoweza ataishia kuuwawa tu. Hata kwenye system kuna watu wataathirika hivyo wanaweza kumuhujumu.Trump wmeamua kuubadili mfumo wote wa Marekani na dunia kiujumla
Kwani Putin alifanya kitu gani cha kuikandamiza nchi zingine na kujiondoa katika mashirika ?Ingekuwa rahisi hivyo Putin angekuwa ameshaliwa kichwa
Ni kweli kaongea kitu kama hicho?Akiuwawa na mambo yote yanafika mwisho.Amesema wakimuua kuna maagizo maalum ameacha 🐼