Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Rais ni taasisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameshasema Iran wakimuua ameacha maagizo wawe obliteratedNi kweli kaongea kitu kama hicho?Akiuwawa na mambo yote yanafika mwisho.
Mtasubiri sana.Tulieni jaman super power china na urusi si wapo watatoa hela kutusaidia
👍Hivi hao wa Marekani wamekua na akili kama za wabongo walivo sikia slogan yake ya "America first" wenyewe walikua wana elewa nini mpaka wamchague.
Kwa akili zako umeona nimeandika CCM?Kwahiyo wewe kwa mtizamo wako utawala wa CCM Tanzania ni bora kiliko wa trump US?
Kwa nini tusijitegemee wenyewe ?Tulieni jaman super power china na urusi si wapo watatoa hela kutusaidia
Kila mmoja ashinde mechi zake, na hizi ni ndoto za watu masikini na nchi masikini tuTrump amekuja na misimamo na sera zinazogusa na kuathiri watu wengi ndani ya Marekani na nje ya marekani.
Trump anagusa imani za watu, tamaduni za watu na sasa anakwenda mbali kutaka kushirkiana na Waisraeli kuwaondoa wapelestina huko Gaza maamuzi ambayo pia yataamsha hisia za kidini na hata hisia za chuki za kibaguzi kwa misingi ya rangi na asili ya watu.
Trump kagusa mashoga, wahamiaji haramu(blacks), waajiriwa katika mashirika ya misaada ya Marekani duniani na sasa anakwenda kugusa wapelestina(waislaumu) mambo ambayo yanaweza yasimuache salama.
Muda utasema.
Putin alichokifanya ni kibaya zaidi ya hicho.Kwani Putin alifanya kitu gani cha kuikandamiza nchi zingine na kujiondoa katika mashirika ?
Mkuu mbona unafoka sana? Ni sera ipi imekuudhi? Kufukuza wahamiaji haramu? Kukatisha misaada isiyo na tija? Kupinga ndoa za jinsia moja? Au ni kipi kimekukera?Trump ni kichaa na dunia haiwezi kumuachaa kichaa aishi.
Ni suala la Muda tu.
Huwezi kuendesha nchi kama familia yako. Wamarekani wenye akili hawamtaki ila ni vile wajinga hawakosi wakamchagua Trump.
Haha, huyu ndio anapitia mafaili sasa hiviWiki hii atakuja tena na kauli nyingine Tata huyu Mzee ataendelea kuichangamsha dunia Hadi tuchanganyikiwe..dunia itaendelea Sana kujadili kauli zake huku wenyewe wakiendelea kujenga uchumi wao
Kwamba Elon Musk hana akili?Trump ni kichaa na dunia haiwezi kumuachaa kichaa aishi.
Ni suala la Muda tu.
Huwezi kuendesha nchi kama familia yako. Wamarekani wenye akili hawamtaki ila ni vile wajinga hawakosi wakamchagua Trump.
Huyu ndiyo engineer wa haya yote na baada ya miezi sita watakuja na data za pesa walizookoa baada ya kusitisha MisaadaHaha, huyu ndio anapitia mafaili sasa hivi
View attachment 3226584
Sijawahi kuona uzi wako usitabirie wenzio vifo inaonekana wewe ni mshiriki mkubwa wa mauaji!Trump amekuja na misimamo na sera zinazogusa na kuathiri watu wengi ndani ya Marekani na nje ya marekani.
Trump anagusa imani za watu, tamaduni za watu na sasa anakwenda mbali kutaka kushirkiana na Waisraeli kuwaondoa wapelestina huko Gaza maamuzi ambayo pia yataamsha hisia za kidini na hata hisia za chuki za kibaguzi kwa misingi ya rangi na asili ya watu.
Trump kagusa mashoga, wahamiaji haramu(blacks), waajiriwa katika mashirika ya misaada ya Marekani duniani na sasa anakwenda kugusa wapelestina(waislaumu) mambo ambayo yanaweza yasimuache salama.
Muda utasema.
Alifanya nini familiar em nambiePutin alichokifanya ni kibaya zaidi ya hicho.