Kutokana na sera na misimamo yake, Donald Trump anaweza kuuawa wakati wowote

Kutokana na sera na misimamo yake, Donald Trump anaweza kuuawa wakati wowote

Trump ni Magufuli mtupu kabisa.
Ni kweli wote wana matatizo ya akili. Huyu mzee ana mambo mazuri kama ya kukataa ushoga lakini kuna mambo yuko hovyo kabisaa. Hiyo ya kuwahamisha Wapalestina ni ndoto za mchana bora awaze kuwahamisha Wayahudi warudi kwao Europe kwa kina Hitler
 
Watamuua huyu.

Akimaliza miaka minne nitashangaa sana.

CIA wenyewe ndio huwa wanawatuma kuua viongozi wa nje, kwa hiyo wanajua mbinu zote za kumuua Trump.

Nina hakika kuna mtu anapanga kumuua Trump sasa hivi.
Kuna mahali uliwahi kusema kwamba kuna genius ulimsoma alikuwa anafanya mahesabu ya infinity mpaka akachanganyikiwa. Huyo genius alichanganyikiwa kwa sababu infinity was not his natural bliss.

Infinity is a natural-bliss for Elon Musk.Elon Musk ndiye mshauri wa Donald Trump. Kila wanalopanga linafanikiwa na litafanikiwa to the infinity-potential.Mipango yoyote yenye nia ovu kwa Donald Trump na Elon Musk itafeli.

Hata engineer aliyegundua kwa mara ya kwanza neno "infinity" na kuliingiza kwenye field ya engineering alikuwa na nyota inayofanana na ya Elon Musk. Elon Musk ni engineer na pia ni mfanyabiashara.Natumaini Elon Musk alishamsoma huyo engineer na kumuelewa barbara kuhusu mambo ya infinity-potential,hivyo anajua analolifanya .
 
Trump amekuja na misimamo na sera zinazogusa na kuathiri watu wengi ndani ya Marekani na nje ya marekani.

Trump anagusa imani za watu, tamaduni za watu na sasa anakwenda mbali kutaka kushirkiana na Waisraeli kuwaondoa wapelestina huko Gaza maamuzi ambayo pia yataamsha hisia za kidini na hata hisia za chuki za kibaguzi kwa misingi ya rangi na asili ya watu.

Trump kagusa mashoga, wahamiaji haramu(blacks), waajiriwa katika mashirika ya misaada ya Marekani duniani na sasa anakwenda kugusa wapelestina(waislaumu) mambo ambayo yanaweza yasimuache salama.

Muda utasema.
Hafi mtu na cha moto mtakiona
Mtanyooka
 
CHADEMA tunapaswa kuandamana na kukemea uvunjwaji huu wa Katiba unaofanywa waziwazi na Donald Trump.

Hv anatufunfisha nn huyu babu?

Rais huyo ameitwa Tyrant, Dictator na sii tumekaa tu kimya kabisa kanavile hatufirigisi. Unacceptable.

mbona wengine tuliwaita madikteta bana?
 
Hawawezi kumuua, JD Vance ni mhafidhina zaidi yake. Yaani pamoja na yote hayo, ni bora Trump, makamu wake ni hatari zaidi.
 
Niliandika humu mtazika muda sio mrefu ....Hesabuni miaka minne kwanza ..Fikiria zile failed attempts mbili.

Ishu kama ataliwa kichwa: je ,Nan atabeba msala ? Iran awe makini sana na raia wake ..
Iran akamuue Trump ili iweje, ukiona hivyo basi ujue ni kazi ya mosad ili kutafuta vita kati ya US na Iran, basi. Katika upuuzi wote wa Trump ujinga mkubwa ni kupelekeshwa na Israel na ukiangalia kwa makini ni kama Israel inatawala US kwa mgongo wa nyuma
 
Iran akamuue Trump ili iweje, ukiona hivyo basi ujue ni kazi ya mosad ili kutafuta vita kati ya US na Iran, basi. Katika upuuzi wote wa Trump ujinga mkubwa ni kupelekeshwa na Israel na ukiangalia kwa makini ni kama Israel inatawala US kwa mgongo wa nyuma
Ni kwamba anaweza kusingiziwa kama utata wa tukio la september 11 la Osama ..Fuatilia wale wawili waliomkosa wamekamatwa ila hawajapewa jina la "magaidi'' hapo anangojewa mwenye asili ya asia ndiyo anaitwa gaidi.

Kwana , huyu anakamilisha ndoto ya kuwaondoka wapalestina pale Gaza ili jamaa achukue eneo lote mazima , halafu anapotezwa msala anamuangukia yule nyoka (Iran) kama israel wanavyomuita.
 
Eti Iran wakimuua hahaha na huo upuuzi ulianzishwa na Waisrael unaamini? Hiyo bangi unayotumia inatoka nchi gani ndugu yangu
Natumia bangi ya nchini Tanzania, kwani amesema hivyo au hajasema kwa mujibu wa hiyo video ? Suala la mimi kuamini ama kutoamini ni jambo lingine
 
Kuna mahali uliwahi kusema kwamba kuna genius ulimsoma alikuwa anafanya mahesabu ya infinity mpaka akachanganyikiwa. Huyo genius alichanganyikiwa kwa sababu infinity was not his natural bliss.

Infinity is a natural-bliss for Elon Musk.Elon Musk ndiye mshauri wa Donald Trump. Kila wanalopanga linafanikiwa na litafanikiwa to the infinity-potential.Mipango yoyote yenye nia ovu kwa Donald Trump na Elon Musk itafeli.

Hata engineer aliyegundua kwa mara ya kwanza neno "infinity" na kuliingiza kwenye field ya engineering alikuwa na nyota inayofanana na ya Elon Musk. Elon Musk ni engineer na pia ni mfanyabiashara.Natumaini Elon Musk alishamsoma huyo engineer na kumuelewa barbara kuhusu mambo ya infinity-potential,hivyo anajua analolifanya .

You have an unhealthy and religious adniration.

Elon Musk is a highly overrated overprivileged asshole with mental health problems.

And many people are just starting to find this out.

While many people are perpertual fanboys.
 
Trump amekuja na misimamo na sera zinazogusa na kuathiri watu wengi ndani ya Marekani na nje ya marekani.

Trump anagusa imani za watu, tamaduni za watu na sasa anakwenda mbali kutaka kushirkiana na Waisraeli kuwaondoa wapelestina huko Gaza maamuzi ambayo pia yataamsha hisia za kidini na hata hisia za chuki za kibaguzi kwa misingi ya rangi na asili ya watu.

Trump kagusa mashoga, wahamiaji haramu(blacks), waajiriwa katika mashirika ya misaada ya Marekani duniani na sasa anakwenda kugusa wapelestina(waislaumu) mambo ambayo yanaweza yasimuache salama.

Muda utasema.
Kuna watu wanawaona wazungu makafiri halafu unakimbilia kwao bahati nzuri America Haina DINI DINI wao wanaishi watakavyo so Wacha marekani Atibue mambo ya udini safi kabisa me mwenyew sipendi udini wakikasirika wabikira 72 warudi kwao vikuruti
 
Watamuua huyu.

Akimaliza miaka minne nitashangaa sana.

CIA wenyewe ndio huwa wanawatuma kuua viongozi wa nje, kwa hiyo wanajua mbinu zote za kumuua Trump.

Nina hakika kuna mtu anapanga kumuua Trump sasa hivi.
Walishapanga, na hata hivi sasa mipango imeimarishwa, ila wasipofanikisha ndani ya hii February ndiyo basi tena
 
Point Yako nimeielewa Familiar na ndy maana juzi kati Elon musk nae kachangia kuikandamiza shirika la USAID, kweli Trump anapenda matajiri wenzake.
Ulikuwa unashangaa mahela ya ku promote ushoga yanatoka wapi ?
🤔🤔🤔
 
Trump amekuja na misimamo na sera zinazogusa na kuathiri watu wengi ndani ya Marekani na nje ya marekani.

Trump anagusa imani za watu, tamaduni za watu na sasa anakwenda mbali kutaka kushirkiana na Waisraeli kuwaondoa wapelestina huko Gaza maamuzi ambayo pia yataamsha hisia za kidini na hata hisia za chuki za kibaguzi kwa misingi ya rangi na asili ya watu.

Trump kagusa mashoga, wahamiaji haramu(blacks), waajiriwa katika mashirika ya misaada ya Marekani duniani na sasa anakwenda kugusa wapelestina(waislaumu) mambo ambayo yanaweza yasimuache salama.

Muda utasema.
 
Bro wewe una cheo gani hapo USA umejua ya ndani hivi Mkuu??

Sisi wengine wote tunategemea tupate taarifa toka kwenye media tu!!
Iko hivyo mkuu Trump amedeal hasa na masuala ya jinsia na transgender

Hakuna mwenye ubavu wa kukemea ushoga Marekani hata awe raisi
 
Iko hivyo mkuu Trump amedeal hasa na masuala ya jinsia na transgender

Hakuna mwenye ubavu wa kukemea ushoga Marekani hata awe raisi
Inawezekana ukawa na hoja ngoja nisikubishie... nifatilie kwanza. Maana kweli sijaona mahala amezungumzia gay kama gay...
 
Trump amekuja na misimamo na sera zinazogusa na kuathiri watu wengi ndani ya Marekani na nje ya marekani.

Trump anagusa imani za watu, tamaduni za watu na sasa anakwenda mbali kutaka kushirkiana na Waisraeli kuwaondoa wapelestina huko Gaza maamuzi ambayo pia yataamsha hisia za kidini na hata hisia za chuki za kibaguzi kwa misingi ya rangi na asili ya watu.

Trump kagusa mashoga, wahamiaji haramu(blacks), waajiriwa katika mashirika ya misaada ya Marekani duniani na sasa anakwenda kugusa wapelestina(waislaumu) mambo ambayo yanaweza yasimuache salama.

Muda utasema.
Alishaapa kutoogopa acha awanyooshe watu wavivu wa kufikiri na wavivu wa kufanya kazi na majizi.
 
Trump amekuja na misimamo na sera zinazogusa na kuathiri watu wengi ndani ya Marekani na nje ya marekani.

Trump anagusa imani za watu, tamaduni za watu na sasa anakwenda mbali kutaka kushirkiana na Waisraeli kuwaondoa wapelestina huko Gaza maamuzi ambayo pia yataamsha hisia za kidini na hata hisia za chuki za kibaguzi kwa misingi ya rangi na asili ya watu.

Trump kagusa mashoga, wahamiaji haramu(blacks), waajiriwa katika mashirika ya misaada ya Marekani duniani na sasa anakwenda kugusa wapelestina(waislaumu) mambo ambayo yanaweza yasimuache salama.

Muda utasema.
Hafi mtu na chamoto mtakiona😅😅😅
 
Back
Top Bottom