Kutokana na sera na misimamo yake, Donald Trump anaweza kuuawa wakati wowote

Kutokana na sera na misimamo yake, Donald Trump anaweza kuuawa wakati wowote

Huyu ndiyo engineer wa haya yote na baada ya miezi sita watakuja na data za pesa walizookoa baada ya kusitisha Misaada
Naona wametoa data za awali na yeye amezirepost kwenye account yake, jamaa hataki mchezo
1000021816.jpg

1000021813.jpg
 
Trump amekuja na misimamo na sera zinazogusa na kuathiri watu wengi ndani ya Marekani na nje ya marekani.

Trump anagusa imani za watu, tamaduni za watu na sasa anakwenda mbali kutaka kushirkiana na Waisraeli kuwaondoa wapelestina huko Gaza maamuzi ambayo pia yataamsha hisia za kidini na hata hisia za chuki za kibaguzi kwa misingi ya rangi na asili ya watu.

Trump kagusa mashoga, wahamiaji haramu(blacks), waajiriwa katika mashirika ya misaada ya Marekani duniani na sasa anakwenda kugusa wapelestina(waislaumu) mambo ambayo yanaweza yasimuache salama.

Muda utasema.
Kuna Kipindi akili yako inakua sawa mkuu na sio uchawa tu (kidding)...

By the way naunga mkono hoja yako, japo tusimuombea Mabaya bali tumuombee abadilike kimtazamo kwenye yale mambo yenye athari hasi kwa jamii akazie kuyaondoa. Ila yale ambayo ni faida kwa jamii ya walio wengi asiyaguse kabisa.

Kwa mfano

Ishu ya mashoga namuunga mkono
Ishu ya USAID namuunga mkono
IShu ya kumaliza vita Ukraine namuunga mkono
Ishu ya Gaza nampinga kwa nguvu zote
Ishu ya South Africa nampinga kwa nguvu zote
Ishu ya Panama nampinga kwa nguvu zote
Ishu ya Greenland nampinga kwa nguvu zote
 
Trump amekuja na misimamo na sera zinazogusa na kuathiri watu wengi ndani ya Marekani na nje ya marekani.

Trump anagusa imani za watu, tamaduni za watu na sasa anakwenda mbali kutaka kushirkiana na Waisraeli kuwaondoa wapelestina huko Gaza maamuzi ambayo pia yataamsha hisia za kidini na hata hisia za chuki za kibaguzi kwa misingi ya rangi na asili ya watu.

Trump kagusa mashoga, wahamiaji haramu(blacks), waajiriwa katika mashirika ya misaada ya Marekani duniani na sasa anakwenda kugusa wapelestina(waislaumu) mambo ambayo yanaweza yasimuache salama.

Muda utasema.
Usinikumbushe JPM
 
U.S. President Donald Trump should be given extensive protection at a high cost, employing advanced technology.

His actions have been significant and beneficial for the American people.

In Tanganyika, we once had a leader akin to Trump, but we failed to appreciate the precious gift we had.

When he was taken from us, we were left with sorrow resonating across the nation, yet remembering him does not change our plight.

Now, we find ourselves with a large group of people who chant "mother, mother, mother," but we seem to make no progress.
 
Kuna Kipindi akili yako inakua sawa mkuu na sio uchawa tu (kidding)...

By the way naunga mkono hoja yako, japo tusimuombea Mabaya bali tumuombee abadilike kimtazamo kwenye yale mambo yenye athari hasi kwa jamii akazie kuyaondoa. Ila yale ambayo ni faida kwa jamii ya walio wengi asiyaguse kabisa.

Kwa mfano

Ishu ya mashoga namuunga mkono
Ishu ya USAID namuunga mkono
IShu ya kumaliza vita Ukraine namuunga mkono
Ishu ya Gaza nampinga kwa nguvu zote
Ishu ya South Africa nampinga kwa nguvu zote
Ishu ya Panama nampinga kwa nguvu zote
Ishu ya Greenland nampinga kwa nguvu zote
Jama akikaza kwenye hizi ishu aisee sijui hali itakuwaje..dunia itakuwa ni ubabe ubabe bila mchezo
 
Jama akikaza kwenye hizi ishu aisee sijui hali itakuwaje..dunia itakuwa ni ubabe ubabe bila mchezo
Ila Trump anaweza kua na shida kwa ubongo... kuna wakati kujiamini kukizidi ujue kuna sababu za kichwani zaidi
 
Ila Trump anaweza kua na shida kwa ubongo... kuna wakati kujiamini kukizidi ujue kuna sababu za kichwani zaidi
... halafu kaweka jinga lingine linalofikiri lina akili!
... ANYWAY, LENGO NI KUPUNGUZA POPULATION DUNIANI NA KWA NJIA WANAZOTUMIA TAYARI WAMEISHAFAULU!
 
Back
Top Bottom