kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Hebu tusubiri risasi nyingine kwenye sikio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye mfumo wa dunia hapo bado hajaweza.Trump wmeamua kuubadili mfumo wote wa Marekani na dunia kiujumla
Trump linakataa ushoga na kubadili jinsia kuna shiga gani katika hilo?? Trump anasema mkae makwenu mjenge nchi zenu serikali zenu ziwatumikie mlipe kodi huko kwenu kuna shida gani katika hilo?? Trump anasema watu wasituletee magonjwa ya kufikirika kama Covid na kuchukua mahela bila sababu kuna shida gani hapo?? Trump amekataa hela zao kuibiwa kupitia kitu kinaitwa USAID ambayo ni magenge ya kuiba hizo hela kwa kuleta miradi ya ajabu ikiwa nyuma yake ina kaneno kanaitwa Gender Equity literally means ushoga kuna shida??Trump ni kichaa na dunia haiwezi kumuachaa kichaa aishi.
Ni suala la Muda tu.
Huwezi kuendesha nchi kama familia yako. Wamarekani wenye akili hawamtaki ila ni vile wajinga hawakosi wakamchagua Trump.
Hamna tajiri isio pata wealth bila kutimia mbinu za primitive accumulation of wealth haupo dunia nzimaTofautisha matajiri na mafisadi
Unajifariji tu,hata kipindi Cha kwanza mlisema hivyo,ooh,atauwawa,mpaka akamaliza.siyo rahisi kama unavyodhaniDonald shikilia hapo hapo mkuu
Bro wewe una cheo gani hapo USA umejua ya ndani hivi Mkuu??Trump hajawahi kukemea ushoga msijidanganye
Trump amekuja na misimamo na sera zinazogusa na kuathiri watu wengi ndani ya Marekani na nje ya marekani.
Trump anagusa imani za watu, tamaduni za watu na sasa anakwenda mbali kutaka kushirkiana na Waisraeli kuwaondoa wapelestina huko Gaza maamuzi ambayo pia yataamsha hisia za kidini na hata hisia za chuki za kibaguzi kwa misingi ya rangi na asili ya watu.
Trump kagusa mashoga, wahamiaji haramu(blacks), waajiriwa katika mashirika ya misaada ya Marekani duniani na sasa anakwenda kugusa wapelestina(waislaumu) mambo ambayo yanaweza yasimuache salama.
Muda utasema.
Round hii mtatoa milio ya kila aina.Unajifariji tu,hata kipindi Cha kwanza mlisema hivyo,ooh,atauwawa,mpaka akamaliza.siyo rahisi kama unavyodhani
Sasa hivi kawaingilia CIA kawapa option ya ku resign wote, CIA yote.Trump amekuja na misimamo na sera zinazogusa na kuathiri watu wengi ndani ya Marekani na nje ya marekani.
Trump anagusa imani za watu, tamaduni za watu na sasa anakwenda mbali kutaka kushirkiana na Waisraeli kuwaondoa wapelestina huko Gaza maamuzi ambayo pia yataamsha hisia za kidini na hata hisia za chuki za kibaguzi kwa misingi ya rangi na asili ya watu.
Trump kagusa mashoga, wahamiaji haramu(blacks), waajiriwa katika mashirika ya misaada ya Marekani duniani na sasa anakwenda kugusa wapelestina(waislaumu) mambo ambayo yanaweza yasimuache salama.
Muda utasema.
Aliwaambia jambo la kwanza nasafisha safisha illegal immigrants woteHivi hao wa Marekani wamekua na akili kama za wabongo walivo sikia slogan yake ya "America first" wenyewe walikua wana elewa nini mpaka wamchague.
Viva Donald Trump viva .Sasa hivi kawaingilia CIA kawapa option ya ku resign wote, CIA yote.
![]()
CIA offers buyouts to employees as Trump aims to transform federal government
CIA employees have received letters offering them buyouts if they volunteer to resign.www.cbsnews.com
Watamuondoa tu. Ni swala la muda.Sasa hivi kawaingilia CIA kawapa option ya ku resign wote, CIA yote.
![]()
CIA offers buyouts to employees as Trump aims to transform federal government
CIA employees have received letters offering them buyouts if they volunteer to resign.www.cbsnews.com
Watamuua huyu.Viva Donald Trump viva .
Viva Elon Musk viva.
Yani unaenda kumwambia Luca Brasi hitman mwenyewe ajiuzulu, unategemea nini hapo?Watamuondoa tu,. Ni swala la muda.
Ameprndekeza, wasipotaka basi. Hajalazimisha mtu. Halafu muktadha wa Hitla na Trump ni tofauti.Hiyo ya kuwahamisha wa Palestine huko Gaza hatafanikiwa.Hata Adolf Hitler alitaka kuwauwa wa Israel wote lakini alishindwa.
Nyau de adriz eti kachekaDonald shikilia hapo hapo mkuu